Mhuuu !kuwauzia nyumba wafanyakazi wa NSSF lilifanyika kwa ubaguzi maana wale makafiri au wagalatia kama walivyokuwa wanaitwa na wenzao( wakati huo) walifichwa kuhusu uuzaji huo.
Si uyaweke unaogopa nini?Prof assad ndio ovyo kabisa awadanganye wasiomjua,mambo yake yakiwekwa hapa nitashangaa hakuna mtu pale ni fisadi tu.