KIDUNDULIMA
JF-Expert Member
- Aug 18, 2010
- 966
- 541
Kwani ziliuzwa kwa mnada au.walipanga bei kutokana na gharama halisi ya nyumba hiyo?Za nssf ni za kuuza ila yeye alitumia madaraka yakuwa board member which is agsinst na utaratibu.hapo kuna conflict of intesest hakupaswa kununua kwa kuinfluence price au hata uuzaji maana zilipaswa ziuzwe kwa open tendering