Yeah sasa watu blah blah nyingi kujiteteaPoint ya profesor ni kuwa hatuna utamaduni wa kusoma
Wana jamba vibaya mnoLeo nimepata jibu kwa nini mabasi ya tabora, kigoma yana harufu nzito ndani
Iran na Turkiye na Malaysia na Indonesia ni nchi za kiislam ila zina wasomi wakubwa duniani.sababu ya uwepo wa uislamu tanzagiza ndiyo maana labda hali iko hivyo, wazungu ni Christian au wana chimbuko la ukristo atleast …
Hukuwa na ulazima wa kunijibu kwa sababu hujanielewaIssue si kununua, kusoma.
Unafanya nini ukiwa kwenye usafiri wa umma?
Kwa kuwa issue ni kusoma, unaweza kutembea na kitabu hard copy au soft copy ili kila upatapo nafasi usome badala ya kupiga soga.
Hivi mabasi yanavyojazana na kulundikana watu kama nyanya kwenye tenga wakijambianaPoint ya profesor ni kuwa hatuna utamaduni wa kusoma
Mzungu anaustaarabu mzuri sana, mkiwa mnasubiria usafiri wa umma mnapanga foleni na anaingia mmojammoja haijalishi babu kijana au mtoto, ukikuta mtoto amekaa hata kama umemzidi umri subiri gari lingine.. hapo kariakoo kama unakuja tegeta siku moja bado kidogo nikanyagwe skio na mtu aliyeingilia dirishani kwenye usafiri huo wa umma..Huyu Prof kwakuwa wazungu mabasi yao yanasimama kwenye take away basi zile burger, hot dogs na can za cocacola siyo vyakula?
Labda wazungu wamestaarabika hawana fujo kama za Wasukuma wa Maswa wakiwa watatu kwenye bus utatamani ushuke au unaweza kusamehe nauli yako, halafu hawakai pamoja, mmoja mbele, mmoja katika na mwingine siti ya nyuma halafu wanataka wapige story zao kwa kilugha. Shubaamiti.
Huo usafiri haukuruhusu hata kusoma kwa mbanano huoNimefuatilia interview ya Prof. Safari aliyofanya majuzi, pamoja na mengine, nimeondoka na nukuu hiyo kwamba watanzania hawana utamaduni wa kusoma, kwe ye usafiri wa umma wanashindana kula.
Hii ni kweli kabisa, ni kama tuna mzimu wenye njaa ya kula, basi likisimama ni mbio madirishani au hotelini kufakamia menu, baada ya hapo matumbo ndiii kama Meya wa stendi ya zamani kabla ya ile ya JPM.
Upande basi moja na waha au wasukuma, wanatembea na stoku ya viazi na karanga walivyochemsha jana, au ugali na dagaa.
.......Wajapani wanalalaNimefuatilia interview ya Prof. Safari aliyofanya majuzi, pamoja na mengine, nimeondoka na nukuu hiyo kwamba watanzania hawana utamaduni wa kusoma, kwe ye usafiri wa umma wanashindana kula.
Hii ni kweli kabisa, ni kama tuna mzimu wenye njaa ya kula, basi likisimama ni mbio madirishani au hotelini kufakamia menu, baada ya hapo matumbo ndiii kama Meya wa stendi ya zamani kabla ya ile ya JPM.
Upande basi moja na waha au wasukuma, wanatembea na stoku ya viazi na karanga walivyochemsha jana, au ugali na dagaa.
Wasukuma wa Mwanhuzi Maswa na Wabarabaig nao ni Waislam?sababu ya uwepo wa uislamu tanzagiza ndiyo maana labda hali iko hivyo, wazungu ni Christian au wana chimbuko la ukristo atleast …
Iran na Turkiye na Malaysia na Indonesia ni nchi za kiislam ila zina wasomi wakubwa duniani.
Point yako ya kipumbavu,usiingize udini haufai.