fuateni maelekezo ya wakili msomi,kulialia hakutawasaidiaTanzania katiba ni pambo tu.
nadhani Chadema hawataki chama kitumike katika uhalali wao; yaani wasijiite wabunge viti maalumu kutoka chademaShida yote ya nini?
Kama ni uanachama tayari wamewavua.
Na kama nafasi za ubunge Chadema haizitaki Sasa mapambano hayo ya kila siku kwa ajili ya nn?
Watawala wa kiafrika huwa hawaogopi mahakama, bali huogopa nguvu ya umma tu.Huu ndio ukweli... watu wakiambiwa wanatoa povu. Kama Spika ni jeuri, apelekwe mahakamani
Akili zenu nyie CCM zitoke wapi CHADEMA wachezee hamna kitu vichwani mwenu. Wabunge wa Viti Maalum hawana majimbo kwa hiyo wanawakilisha Vyama na wanachama wao. Vile Viti 19 ni vya CHADEMA na hao Covid-19 siyo wanachama tena wamefukuzwa kwa hiyo Viti ni wazi na wakuvijaza ni CHADEMA na wakujaza wako wengi tu kwenye Chama. Viti haviwezi kujazwa na CCM na wajinga hao walijua hilo ndo maana walitumia mbinu chafu bila kufuata taratibu wakawaapisha gereji wanachama wa CHADEMA wengine wakitolewa mahabusu usiku wa manane wengine wakiwa Mahakamani kwa kesi za kubambikiziwa. Hivi sasa Viti vyote 19 viko wazi na visipojazwa na CHADEMA vitabaki wazi mpaka Uchaguzi ujao kwa hiyo Prof. Safari anasema kweli kuwa tafsiri ya mahakama inahitajika kusafisha bali ya hewa ili Viti vipate Wabunge halali.CDM tabu yote hii ya nini?? Maamuzi yenu ni kwamba mmeshawavua uanachama, kwanini mnateseka ?
Wananchi wameshawashitukia kwa taarifa yenu
Ni heri mkubali tu mapema raia waanze kuzoea kulikoni mje mkubali mwishoni na vidonda havitapona (muwaruhusu hao covid19 sababu mlikubaliana wenyewe,msicheze na akili zetu)
Akili zenu nyie CCM zitoke wapi CHADEMA wacheze hamna kitu kichwani. Wabunge wa Viti Maalum hawana majimbo kwa hiyo wanawakilisha Vyama na wanachama wao. Vile Viti 19 ni vya CHADEMA na hao Covid-19 siyo wanachama tena wamefukuzwa kwa hiyo Viti ni wazi na wakuvijaza ni CHADEMA na qakujaza wako wengi tu. Viti haviwezi kujazwa na CCM na wajinga hao wanajua hilo ndo maana walitumia mbinu chafu bila kufuata taratibu ya wakawaapisha gereji wanachama wa CHADEMA wengine wakitolewa mahabusu usiku. Hivi sasa Viti viko wazi na visipojazwa na CHADEMA vitabaki wazi mpaka Uchaguzi ujao kwa hiyo Prof. Safari anasema kweli kuwa tafsiri ya mahakama inahitajika kusafisha bali ya hewa ili Viti vipate Wabunge halali.
Unaona hawa watu wanavyotumika kuendelea kukihujumu CHADEMA?Profesa Safari, aliyewahi kuwa makamu mwenyekiti wa Chadema kuanzia 2014 hadi 2019, alisema kuna haja ya kufungua kesi kupata tafsiri kama Mdee na wenzake bado ni wabunge halali baada ya Kamati Kuu ya Chadema kuwavua uanachama.
“Mahakama ndiyo ina haki ya kutafsiri,” alisema.
Kama ni mwadilifu kama unavyodhani, basi ujue hapa anatumika kuhujumu chama alichowahi kuwa mwanachama wake.Nampongeza Safari kwa uadilifu wake, ingawa hakuna mahakama ya kushindana na mhimili wa serikali au bunge now.Ni kupoteza muda tu
Mkuu unadhani ni sahihi kwa asiye Mwanachama was CHADEMA kuendelea kubaki Bungeni Kwa kofia ya Chama ambacho hakimtambui?CDM tabu yote hii ya nini?? Maamuzi yenu ni kwamba mmeshawavua uanachama, kwanini mnateseka ?
Wananchi wameshawashitukia kwa taarifa yenu
Ni heri mkubali tu mapema raia waanze kuzoea kulikoni mje mkubali mwishoni na vidonda havitapona (muwaruhusu hao covid19 sababu mlikubaliana wenyewe,msicheze na akili zetu)
hapana mkuu, lakini wakikata rufaa watarejeshewa uanachama wao as it was at first.so wataendelea kuwa wabunge kwa mwavuli wa cdm,believe or not but truthy will remain truthy🤔🤔Mkuu unadhani ni sahihi kwa asiye Mwanachama was CHADEMA kuendelea kubaki Bungeni Kwa kofia ya Chama ambacho hakimtambui?
Kama shida ni Ubunge si wawape tu huo Ubunge Kwa namna zao wao na siyo kulazimisha kutumia jina la CHADEMA?
... kuna shida! Umeshavuliwa uanachama halafu unajitambulisha kwa jina la chama kilichokuvua uanachama; sio sahihi. Chadema hawana shida na ubunge wao; kisichotakiwa ni wao kujitambulisha kama wanachama wa Chadema. Membe alivuliwa uanachama wa CCM na ukakoma muda ule ule; vivyo hivyo kwa Sofia Simba, na wengine wengi!Shida yote ya nini?
Kama ni uanachama tayari wamewavua.
Na kama nafasi za ubunge Chadema haizitaki Sasa mapambano hayo ya kila siku kwa ajili ya nn?
"...chama alichowahi kuwa Mwanachama wake".Kama ni mwadilifu kama unavyodhani, basi ujue hapa anatumika kuhujumu chama alichowahi kuwa mwanachama wake.
Ushauri anaotoa hapa hauonyeshi uadilifu wowote. Huyu anatumika tu sasa kuendelea kukihujumu CHADEMA. Ni ushauri wa kipuuzi sana aliotoa.
... exactly; kinachogomba ni kung'ang'ania ubunge kwa chama ambacho sio wanachama tena. Kama vipi wawape ubunge kwa utaratibu mwingine na sio kuilazimishia Chadema. Waende CCM wakapewe hivyo viti maalumu kutokea huko; very simple.Mkuu unadhani ni sahihi kwa asiye Mwanachama was CHADEMA kuendelea kubaki Bungeni Kwa kofia ya Chama ambacho hakimtambui?
Kama shida ni Ubunge si wawape tu huo Ubunge Kwa namna zao wao na siyo kulazimisha kutumia jina la CHADEMA?
.... kuna umuhimu huo; kuiomba mahakama iwazuie kujitambulisha kwa namna yoyote na Chadema. Huo ubunge hauna issue, waendelee nao ila marufuku kujiita wanachama wa Chadema.Wale siyo wanachama wa CHADEMA mpaka sasa hivyo hakuna sababu ya kupoteza muda kwenda mahakamani
Mpaka sasahivi hao siyo wanachama wa CHADEMA.... kuna umuhimu huo; kuiomba mahakama iwazuie kujitambulisha kwa namna yoyote na Chadema. Huo ubunge hauna issue, waendelee nao ila marufuku kujiita wanachama wa Chadema.
Nilidhani hivyo. Wewe unajua bado ni mwanachama wa chama hicho?"...chama alichowahi kuwa Mwanachama wake".
Kwani amekihama?!!
Wakawashtaki km nan wakati walishawavua uanachama?? Mbona pr anajichanganya??Tanzania katiba ni pambo tu.
....kumbe kwenu CHADEMA mtu akiwa si kiongozi Tena anakuwa amekihama eee?!!Nilidhani hivyo. Wewe unajua bado ni mwanachama wa chama hicho?
Hata kama "hakukihama" na kujiunga na chama kingine, nilidhani alishakoma kuwa mwanachama wa CHADEMA.
Hapa unaonyesha upumbavu wako. Umeniona nikiwa CHADEMA?....kumbe kwenu CHADEMA mtu akiwa si kiongozi Tena anakuwa amekihama eee?!!
Huyo bado ni CHADEMA kindakindaki....
Mtu huna taarifa sahihi halafu unaanza kubwabwaja kuwa wakili "anatumiwa"...
Hakika mko na ILLUSION Sana....