Viba prof wa ukwelView attachment 2328366
Rais Samia amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA).
Prof Mwandosya anachukua nafasi ya Prof Jamidu Yahaya ambaye amemaliza muda wake.
Tukumbuke Prof Mwandosya alitofautiana msimamo na Rais Magufuli katika masuala kadhaa ya kijamii.
Mawili kati ya hayo ni kusikitika hadharani Mbunge wa Mbeya mjini, Mr Mbilinyi aka "Sugu" kufungwa kwa sababu ambazo hazikuwa wazi, na alimtembelea huko lupango.
Pili, ni kuonyesha masikitiko yake alipopigwa risasi Tundu Lissu..
Magufuli alimvua uongozi katika nafasi za Uenyekiti wa Bodi mbili, ile ya Mwalimu Nyerere College-Kigamboni na MUST-Mbeya University od Science and Technology.
Mama kasawazisha.
Viva Mama Samia.