Prof. Mwandosya ateuliwa kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya EWURA

View attachment 2328366

Rais Samia amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA).
Prof Mwandosya anachukua nafasi ya Prof Jamidu Yahaya ambaye amemaliza muda wake.

Tukumbuke Prof Mwandosya alitofautiana msimamo na Rais Magufuli katika masuala kadhaa ya kijamii.
Mawili kati ya hayo ni kusikitika hadharani Mbunge wa Mbeya mjini, Mr Mbilinyi aka "Sugu" kufungwa kwa sababu ambazo hazikuwa wazi, na alimtembelea huko lupango.
Pili, ni kuonyesha masikitiko yake alipopigwa risasi Tundu Lissu..
Magufuli alimvua uongozi katika nafasi za Uenyekiti wa Bodi mbili, ile ya Mwalimu Nyerere College-Kigamboni na MUST-Mbeya University od Science and Technology.

Mama kasawazisha.

Viva Mama Samia.
Viba prof wa ukwel
 
View attachment 2328366

Rais Samia amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA).
Prof Mwandosya anachukua nafasi ya Prof Jamidu Yahaya ambaye amemaliza muda wake.

Tukumbuke Prof Mwandosya alitofautiana msimamo na Rais Magufuli katika masuala kadhaa ya kijamii.
Mawili kati ya hayo ni kusikitika hadharani Mbunge wa Mbeya mjini, Mr Mbilinyi aka "Sugu" kufungwa kwa sababu ambazo hazikuwa wazi, na alimtembelea huko lupango.
Pili, ni kuonyesha masikitiko yake alipopigwa risasi Tundu Lissu..
Magufuli alimvua uongozi katika nafasi za Uenyekiti wa Bodi mbili, ile ya Mwalimu Nyerere College-Kigamboni na MUST-Mbeya University od Science and Technology.

Mama kasawazisha.

Viva Mama Samia.
MWENDAZAKE Alikuwa JINI YULE
 
Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??

Hivi maana ya kustaafu ni nini hasa katika nchi za ulimwengu wa tatu????


Halafu na wewe mtoa mada uanze kukua. Badala ya kuandika shida wanazopitia Watanzania unasifia tu.
Ila kweli aisee

Hivi hatuwezi kunasibisha uzuri wa mh

Rais bila kumbomoa the late Magufuli ?
 
Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??

Hivi maana ya kustaafu ni nini hasa katika nchi za ulimwengu wa tatu????


Halafu na wewe mtoa mada uanze kukua. Badala ya kuandika shida wanazopitia Watanzania unasifia tu.
Mmesahau kuwa kusukuma kilikuwa kinakorogwa Baraza la Mawaziri?
 
Kwa mwenda huu vijana teuzi mtazisikia tu redioni hadi muache kuvaa milegezo na kuweka earphones 🎧 masikioni licha degree mlizonazo.

Na mbaya zaidi hata ajira za moja kwa moja kama vile ualimu na udaktari nazo hazieleweki.
 
Hatutamsikia akikosoa tena
Lamba asali inawanyamazisha wengi…
Upinzani Tz ni maigizo
 
View attachment 2328366

Rais Samia amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA).
Prof Mwandosya anachukua nafasi ya Prof Jamidu Yahaya ambaye amemaliza muda wake.

Tukumbuke Prof Mwandosya alitofautiana msimamo na Rais Magufuli katika masuala kadhaa ya kijamii.
Mawili kati ya hayo ni kusikitika hadharani Mbunge wa Mbeya mjini, Mr Mbilinyi aka "Sugu" kufungwa kwa sababu ambazo hazikuwa wazi, na alimtembelea huko lupango.
Pili, ni kuonyesha masikitiko yake alipopigwa risasi Tundu Lissu..
Magufuli alimvua uongozi katika nafasi za Uenyekiti wa Bodi mbili, ile ya Mwalimu Nyerere College-Kigamboni na MUST-Mbeya University od Science and Technology.

Mama kasawazisha.

Viva Mama Samia.
She is doing good, you can't leave intellectual man like prof. M . J . Mwandosya out of the system. Nchi hii Iko matatizo mengi wanazuoni kama hawa tunatakiwa kuwa tumia vema kwenye kutoa ushauri mbali mbali kwa Taifa.kongole kwake mama yetu
 
Mimi Naomba mtuwekee picha halisi ya Mwandosya kwa Sasa.Tuone jinsi alivyokuwa Babuu.Waacheni Wastaafu wapumzikee jamani. Tena huyu alistaafu zamani Sana.Wampe pia Nafasi ya uteuzi Mh.Malechela na Pius Msekwa
 
Asawazishe Kitaa hali sio hali hayo mengine watajuana wenyewe (ukizingatia yeye sio mgeni kwenye hilo genge lao, hata kipindi hicho alikuwa ni mmoja wa viongozi wa genge)
 
Mimi Naomba mtuwekee picha halisi ya Mwandosya kwa Sasa.Tuone jinsi alivyokuwa Babuu.Waacheni Wastaafu wapumzikee jamani. Tena huyu alistaafu zamani Sana.Wampe pia Nafasi ya uteuzi Mh.Malechela na Pius Msekwa

Sasa Mwandosya mwenye miaka 72 tu ni mzee kulinganisha na Msekwa mwenye 85 au Malecela mwenye 88? Mbona Mwandosya karibu sawa tu umri na Kikwete! Kwa hiyo hapo tuseme naye Kikwete ni mzee kama skina Msekwa na Malecela! Ajabu! Ingia hapo Google utaona Mwandosya kazakiwa Desemba 1949 na Kikwete Oktoba 1950. Mwandosya anapitwa umri hata na Anna Makinda kwa miezi kadhaa! Watu wengine wanaonekana wazee kwa udongo wa miili yao! Mfano Lowassa kazakiwa August 1953, mdogo kuliko hata kwa Kikwete kwa miaka 3, lakini ukimuona utadhani alizaliwa 1940. Au Warioba aliyezaliwa 1940 anaonekana mzee kuliko Malecela aliyezaliwa 1934 au Msekwa aliyezaliwa 1935.
 
View attachment 2328366

Rais Samia amemteua Profesa Mark Mwandosya kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA).
Prof Mwandosya anachukua nafasi ya Prof Jamidu Yahaya ambaye amemaliza muda wake.

Tukumbuke Prof Mwandosya alitofautiana msimamo na Rais Magufuli katika masuala kadhaa ya kijamii.
Mawili kati ya hayo ni kusikitika hadharani Mbunge wa Mbeya mjini, Mr Mbilinyi aka "Sugu" kufungwa kwa sababu ambazo hazikuwa wazi, na alimtembelea huko lupango.
Pili, ni kuonyesha masikitiko yake alipopigwa risasi Tundu Lissu..
Magufuli alimvua uongozi katika nafasi za Uenyekiti wa Bodi mbili, ile ya Mwalimu Nyerere College-Kigamboni na MUST-Mbeya University od Science and Technology.

Mama kasawazisha.

Viva Mama Samia.
Ana kitu gani adimu na kigeni kukileta kwenye utumishi wa umma huyu babu? Ulaghai tu wa kisiasa unaotafutwa kuungwa mkono na watu wa kanda ya nyanda za juu kusini hasa Rungwe anakotokea
 
Kulikuwa na haja gani kuelezea tofauti zake na Magufuli??

Hivi maana ya kustaafu ni nini hasa katika nchi za ulimwengu wa tatu????


Halafu na wewe mtoa mada uanze kukua. Badala ya kuandika shida wanazopitia Watanzania unasifia tu.
We ulisifu wakati wa mwendazake inatosha
 
Kwa mwenda huu vijana teuzi mtazisikia tu redioni hadi muache kuvaa milegezo na kuweka earphones 🎧 masikioni licha degree mlizonazo.

Na mbaya zaidi hata ajira za moja kwa moja kama vile ualimu na udaktari nazo hazieleweki.
Nafasi kama hizi sidhani
Kwa mwenda huu vijana teuzi mtazisikia tu redioni hadi muache kuvaa milegezo na kuweka earphones 🎧 masikioni licha degree mlizonazo.

Na mbaya zaidi hata ajira za moja kwa moja kama vile ualimu na udaktari nazo hazieleweki.

Kwa mwenda huu vijana teuzi mtazisikia tu redioni hadi muache kuvaa milegezo na kuweka earphones 🎧 masikioni licha degree mlizonazo.

Na mbaya zaidi hata ajira za moja kwa moja kama vile ualimu na udaktari nazo hazieleweki.
Nadhani nafasi hizi ni kwa ajili wa Waandamizi (seniors) wenye utumishi uliotukuka waliopitia ktk madaraka makubwa ya kitaifa. Sidhani kama ni kwa vijana wenye degree za awali au za umahiri. Turejee kwa Wateule (Wenyeviti) wa bodi mbalimbali e.g DAWASCO, TANESCO, TANAPA, NCAA n.k
 
Back
Top Bottom