BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,517
- 8,453
Profesa Mukandala ameyasema hayo leo Jumanne Mei 21, 2024 akitoa muhadhara wa kiprofesa UDSM ikiwa ni miaka 28 tangu meli hiyo izame jijini Mwanza. Katika maelezo yake, amesema meli hiyo ilifanya kazi miaka 17 nchini pasina kusajiliwa na wala haikupaswa kuletwa nchini.
Profesa Mukandala anatoa muhadhara wa kiprofesa kutoka Idara ya Sayansi ya Siasa na Utawala wa Umma ikiwa ni baada ya miaka 45 tangu muhadhara wa mwisho wenye hadhi hiyo ufanyike.
MWANANCHI
Poa Soma Mhadhara wa Uprofesa: Machungu ya MV Bukoba, Dola na soko