VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Dr. Jakaya Mrisho Kikwete,kupitia kwa Baraza la Chuo na mashauriano na Rais John P. J. Magufuli, amemuongezea mwaka mmoja uongozini Makamu Mkuu wa Chuo hicho,Prof. Rwekaza Sympho Mukandala.
Prof. Mukandala,jana,alitarajiwa kumaliza kipindi chake cha pili cha miaka mitano. Aliteuliwa kuwa Makamu Mkuu wa UDSM mwaka 2006. Sasa atahudumu hadi Disemba 4 mwaka 2017.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.pdf
Prof. Mukandala,jana,alitarajiwa kumaliza kipindi chake cha pili cha miaka mitano. Aliteuliwa kuwa Makamu Mkuu wa UDSM mwaka 2006. Sasa atahudumu hadi Disemba 4 mwaka 2017.
Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
MAKAMU MKUU WA CHUO KIKUU CHA DAR ES SALAAM.pdf