Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

Prof. Mukandala afanya kufuru UDSM

VUTA-NKUVUTE

JF-Expert Member
Joined
Nov 25, 2010
Posts
6,140
Reaction score
18,004
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?
 
ahh nshomileeeeeeeeeeeeee......kuraaaaaaaaaaaaaaaakuraaaaaaaaaaaaaaaaaababa!!!!!!!!!!!!!
 
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi udsm jinsi wanavyolalamika na ukwasi uliopo hapo udsm kiasi kwamba wanafikiria kuacha kazi. Ukiangalia story nzima wanamlalamikia huyo jamaa, na kama ndio anafanya ufisadi wa namna hiyo basi hafai kuwepo hapo ili kukinusuru hicho chuo. mbona wakati wa luhanga mambo yalikuwa mazuri!!!.
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

He should resign!! UDSM students youshould stage a strike. lakini mind nyie sio madaktari hamna athali zozote kwa taifa. Nyie
 
Haaahaa! Jamaa namfagilia kwa kujipenda na kufanya mazoezi karibu kila asubuhi....ila mambo mengine namshangaa sana. Toka akiwa REDET mpaka leo hii namshangaa sana huyu bwana mkubwa,lol!
 
Wakuu naomba kujua huyu jamaa anapokea shilingi ngapi kwa mwezi na Posho(kama zipo) ni shilingi ngapi?
na je wakuu wote wa vyuo vikuu wana mishahara sawa au mishahara inategemea ni chuo kipi na kina uthamani gani kwa taifa?
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

Wait a minute, assuming uliyondika hapa ni kweli, je hizo V8 zilitumwa zikiwa kwenye auto pilot mode?
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

mkuu mm apo kwenye red hzo gari zinafana na zile ndege zinazoendeshwa bila rubani? mana unasema bila m2 yyto ndani
 
Hii tabia ilianza kimya kimya kwa mawaziri sasa inasambaa kwa watumishi wengine. Hakuna magari Iringa? Chuo cha Mkwawa hawawezi kumtembeza huyu Mukandala kwa muda mfupi aliokuwa hapo Iringa? Kwa nchi maskini kama hii inakuwaje mkuu wa chuo (mkuu wa chuo!) asafiri kwa ndege huku gari lijazwe mafuta na kumfuata Iringa kwa safari za hapo mtaani Iringa? Kweli Mukandara anaweza kusimama mbele za watu na kuhubiri utawala bora?

Huyu Mukandala siyo hilo tu, anaishi kwenye nyumba yake Makongo, lakini kwa tamaa zake bado amechukuwa nyumba za lecturers hapo chuo kikuu? Sijui inakuwaje anakaa kwenye nyumba mbili kwa wakati mmoja? Au anatumia kwa shughuli 'maalum?'. Sijui ni kitu gani waliangalia na kumfanya huyu Prof awe mkuu wa chuo? Anakiuwa kabisa.
 
Kuna jamaa zangu wanafanya kazi udsm jinsi wanavyolalamika na ukwasi uliopo hapo udsm kiasi kwamba wanafikiria kuacha kazi. Ukiangalia story nzima wanamlalamikia huyo jamaa, na kama ndio anafanya ufisadi wa namna hiyo basi hafai kuwepo hapo ili kukinusuru hicho chuo. mbona wakati wa luhanga mambo yalikuwa mazuri!!!.

chuo kina ukwasi halafu watu wanaacha tena kazi? They must be crazy!
 
Hii tabia ilianza kimya kimya kwa mawaziri sasa inasambaa kwa watumishi wengine. Hakuna magari Iringa? Chuo cha Mkwawa hawawezi kumtembeza huyu Mukandala kwa muda mfupi aliokuwa hapo Iringa? Kwa nchi maskini kama hii inakuwaje mkuu wa chuo (mkuu wa chuo!) asafiri kwa ndege huku gari lijazwe mafuta na kumfuata Iringa kwa safari za hapo mtaani Iringa? Kweli Mukandara anaweza kusimama mbele za watu na kuhubiri utawala bora?

Huyu Mukandala siyo hilo tu, anaishi kwenye nyumba yake Makongo, lakini kwa tamaa zake bado amechukuwa nyumba za lecturers hapo chuo kikuu? Sijui inakuwaje anakaa kwenye nyumba mbili kwa wakati mmoja? Au anatumia kwa shughuli 'maalum?'. Sijui ni kitu gani waliangalia na kumfanya huyu Prof awe mkuu wa chuo? Anakiuwa kabisa.

Akiue chuo mara ngapi!!!, kimeshakufa kabisa, kipo kipo tu!!!, Bila huyu jamaa kuondoka pale hakutakuwa na jipya.
 
Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam,Prof.Rwekaza Sympho Mukandala amefanya kufuru kimatumizi UDSM.Katika safari yake ya kutembelea Chuo Kikuu Kishiriki cha Elimu cha Mkwawa Iringa almaarufu kama MUCE,Prof.Mukandala amekodi ndege ndogo ya kumpeleka huko yeye na msaidizi wake mmoja kwa thamani ya takribani shilingi milioni nne.

Kama hiyo haitoshi,Prof.Mukandala aliagiza magari yake mawili ya kifahari aina ya V8 kutangulia Iringa kumpokea yakiwa 'full tank' na bila mtu yeyote ndani yake.Fedha zote anazozitumia ni mali ya UDSM.Nchi hii yaelekea wapi jamani?

Source pse hatutaki majungu humu JF
 
Na bado! Kama tuhuma hz ni kwel, kila m2 ataomba ukuu wa chuo.
 
Kweli watanzania wengi hatujabarikiwa umakini na udadisi. Vinginevyo si rahisi kunywa hii story kaka ilivyo.

Kwa kuanza, what is million nne kwa serikali au taasisi zaidi ya kununua rims za karatasi haitoshi hata toner ya printer 10 ije kuwa maslahi ya wafanyakazi
 
Back
Top Bottom