samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,607
- 4,817
Mkuu umeiweka vyema, Kuna wapuuzi wanatia kichefu chefu sana nchi hii... Kama mnampenda sana tengenezeni wizara yenu mumpe ila sio hii.Eti tunachezea shilingi chooni upuuzi, hivi Muhongo amekuwa waziri malaika kuwa bila yeye Tanzania haitakuwepo, Tanzania ilikuwepo bila Muhongo na itaendelea kuwepo bila Muhongo, kama Muhongo ni shilingi yako acha itumbukie chooni tuone kama tutakufa.
very stupid