peleka kaujinga huko kama hujaona alichofanya.kwani TANZANIYA BILA MENGI NA MKONO.HAKUNA TZ??.NENDA ZAKO KAKAE MOSHI.Eti tunachezea shilingi chooni upuuzi, hivi Muhongo amekuwa waziri malaika kuwa bila yeye Tanzania haitakuwepo, Tanzania ilikuwepo bila Muhongo na itaendelea kuwepo bila Muhongo, kama Muhongo ni shilingi yako acha itumbukie chooni tuone kama tutakufa.
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.
Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!
Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo
Kweli kabisa. Watu wanachanganya mambo. Usomi na uadilifu. Anaweza Muhongo akawa amesoma hayo mawe yake sana lakini akakosa uadilifu, kasoro ambayo sasa inataka kugharimu Uwaziri wake. Domo kama la Muhongo, na maneno yanayotoka humo, si sifa ya uongozi hata kwa kiwango cha katibu kata. Mwacheni aendelee na utafiti wa mawe yake lakini si kuongoza binadamu, domo lake ni chafu mno.Hana lolote tangu alipoingia pale Nishati na Madini nilishuhudia dharau na majigambo ya kitoto.
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.
Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!
Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.
Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!
Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo
Ndugu yangu Nakuunga mkono katika hili, kinachonisikitisha sana ni kuona jinsi gani baadhi ya watanzania wanavyoshabikia fitina na chuki binafsi za baadhi ya watu dhidi ya prof Muhongo badala ya kutafakali na kuchimba chanzo cha tatizo. Cha kushangaza zaidi hawa watu wanaochangia humu JF ambao wengi wao ni wasomi wa kuweza kupambanua mambo lakini ndo kwanza wanachangia kifinyu muno bila kufanya jitihada za kufikiri zaidi nje ya box. Hakuna asiyejua uadui wa Prof Muhongo na Mengi pamoja na Mukono kufuatia kauli za ukweli za Prof kuhusu hao watu wawili. Leo hii ukiwauuliza wachangiaji wengi wa hum JF kuhusu kosa la Muhongo watakwambia ni kauli za dharau, Je kuambia watu ukweli ndo dharau? Usimchukie anayekuambia ukweli chukua hatua kumuhakikishia kwamba hakuwa sahiihi. Kama Mengi aliabiwa hawezi biashara ya gesi,kiustaarabu angetakiwa kuhakikishia umma kuwa anaweza kwa kufuata taratibu zilizopo ili apate kitalu cha gesi na siyo kutafuta sympathy na upendeleo kutoka serikalni. Pamoja na report ya CAG na PAC kutomuhusisha Pof Muhongo moja kwa moja bado watu wanang'ang'ania atoke wakiogozwa na magazeti ya Mengi. Amkeni watanzania acheni uvivu wa kufikiri
Ndugu zangu watanzania wenzangu, tunaweza kusema chochote na lolote juu ya Prof. Muhongo. Tunaweza kukubaliana na mapendekezo ya PAC ya kutaka atimuliwe kwenye nafasi anayoitumikia. Ni sawa kwakuwa wengi wetu tumeaminishwa hivyo. Waswahili wana usemi usemao ukitaka kumpiga mbwa mwite kwa jina lake ili usimwonee huruma. Prof.Muhongo kiukweli anazushiwa tu, hakuna mahali ripoti ya CAG imeonesha Muhongo kuchukua hata senti tano ya escrow lkn jamaa walivyomkomalia!!.
Kama kilivyosema hapo juu, ninarudia kwamba tunaweza kumfanya lolote Prof. Muhongo lakini tujue kuwa yeye ni kama shilingi inayochewa kwenye tundu la choo!
Siku si nyingi mara baada ya kupoteza uwaziri, tutaanza kusema bora Muhongo, bora Muhongo. Itakuwa too late! Muhongo. Mimi nasema, tumpe nafasi nyingine Muhongo
Unamwa, Katafute nchi ambayo cheti cha lasaba kina umuhimu kuliko cha prof. Tuache kuchoshana humu na akili matope zenu.tuwekee ushahidi kuwa alifeli lasaba, alisoma lini nazamani kulikuwa nadarasala saba.?
Anza kuandamana tokea sasa maana waliotoa hizo hela za miradi ya umeme vijijini, MCC ya Marekani wanaondoa hela yao kwa sababu ya ufisadi wa kina Muhongo na IPTL.Sisi tulionufaika na juhudi zake za kutuletea umeme huku vijijini tumejiandaa, akiwajibishwa kwa sababu ya ungese ungese TUTAANDAMANA
Huko huko anakowachoma vijiti tigoni ndiko ataendelea kufanya kazi ili mshike adabu, hii siyo nchi ya wachagga