Prof. Muhongo asema kuwa hii habari ya 16% Share kwenye Madini huenda tumeliwa!

Nakuelewa- maswali ya kujiuliza je ni wakati gani madini yanakuwa mali na yanakuwa ni mali ya nani?
Yakiwa ardhini ni yenu 100%, ukichimba mwenyewe ni yako 100%; lakini yakichimbwa na mtu mwingine sio yenu tena kwa asilimia za awali. Hapo ndio penye tatizo.
Kuanzia kwenye weledi, competence, capital, marketing, na hasa kwenye integrity tuna shida sana. Ndio maana tunaambulia mirahaba kiduchu na uharibifu mkubwa wa mazingira na matatizo ya afya.
Tukitaka tunaweza badili game, ila sio kwa manguvu na utaifishaji.
 
Kama unalo jambo la maana la kujadili, tulizana na liweke hapa tulijadili. Vinginevyo unanipotezea muda tu.
Huwa sina muda hata kidogo na watu ambao wanatumikishwa tu kama ma'robot' na hao wakoloni wapya wa dunia.

Watu wanapelekwa shule ili wapate elimu ya kuelewa na kudadisi mambo, badala yake wanakuwa kama watumwa wa enzi hizi mpya?
Eti "uanaharakati", unajua uharakati ni kitu gani wewe?'
 
Issue ni kuweka limit ya wageni wanaoletwa nchini kwa uchochoro wa “expert”. Magufuli alishtukia hii kitu na ndo maana alianza kuwanyima wengi vibali.
 
Back
Top Bottom