kitowowoti
JF-Expert Member
- Feb 25, 2016
- 638
- 402
Wala usipate shida.sheria ya makampuni IPO wazi mwenye share/hisa nyingi ndivyo mwenye voting power nukta..Mgawo/dividend hutolewa baada ya faida halisi kulipa Kodi za Serikali,hapa kama faida baada kulipa Kodi ni Tsh 100 Serikali itapata Tsh 16\=nukta..kama kampuni itapata hasara hakuna mgawo.hatutoboi maana ni rahisi kuonyesha kampuni imepata hasara,ukiiflate bei za capital asset itaaffect profit na allowable expenses pia.usipotaja mapato,au taja kidogo .tuna vijana wamesoma viziri ni wakati Sasa majukumu haya kupewa vijana,tuwaamini tuwape vijanaAulizwe Kabudi na kina Mwendazake walioileta 😁😁
Japo Sina uhakika Kwa anachosema Kwa sababu unaposema hatuingii kwenye Management na wakati Huwa zinaundwa kampuni tanzu Zenye uwakilishi wa Serikali kwenye Management inaleta mkanganyo..
Nimemsikia Dotto akisema tutakuwa na uwakilishi kwenye management ya kampuni tanzu Kwa level zote.
/=