Katikomile
JF-Expert Member
- Jul 12, 2007
- 471
- 74
Katika lile sakata la mafisadi wa elimu Tanzania, nashindwa kuelewa hasa kazi ya tume ya vyuo vikuu nchini (TCU) ni nini?
Jana Prof. Mayunga, boss wa Tanzania Commission for Universities, amesema eti wao hawawezi kusema vile vyeti vya waheshimiwa ni feki ama sio kwa sababu hawajapelekewa wakaviona. Hapo ndo napata homa ya matumbo kabisa!!!!!!!!!!!
Hivi si ndio hao hao TCU wanatuimbia kila siku kwamba tukipata chuo cha nje kutaka kusoma ni bora uwaone wao kwanza wakushauri kama chuo hicho ni accredited or not?
Sasa mwanaharakati Msemakweli katika kitabu chake si kataja hivyo vyuo, na kwenye website ya bunge si kuna qualification za hao waheshimiwa na hivyo vyuo vyao?
Je, TCU hawaoni kama wamekwisharahisishiwa kazi?
AU NDO STYLE YA FUNIKA KOMBE?????????
Jana Prof. Mayunga, boss wa Tanzania Commission for Universities, amesema eti wao hawawezi kusema vile vyeti vya waheshimiwa ni feki ama sio kwa sababu hawajapelekewa wakaviona. Hapo ndo napata homa ya matumbo kabisa!!!!!!!!!!!
Hivi si ndio hao hao TCU wanatuimbia kila siku kwamba tukipata chuo cha nje kutaka kusoma ni bora uwaone wao kwanza wakushauri kama chuo hicho ni accredited or not?
Sasa mwanaharakati Msemakweli katika kitabu chake si kataja hivyo vyuo, na kwenye website ya bunge si kuna qualification za hao waheshimiwa na hivyo vyuo vyao?
Je, TCU hawaoni kama wamekwisharahisishiwa kazi?
AU NDO STYLE YA FUNIKA KOMBE?????????