Mkuu naona huna akili kama mkuu wa usalama anayo mafaili yote ya wanasiasa na viongozi wa nchi hii leo unasema eti hakuna shida akijihusisha na siasa akistafu napata shida na akili yako kama ungemsikiliza vema mwandosya usingesema haya unayosema kama juha,Apson amekosea sana anatakiwa naye auawe kama kombe tu.
Mkuu, aliyeongea hapa ni Mwandosya kutokana na athari alizopata toka kwa Apson
Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.
Kaka usipate shida hapo mwenzio kaongea kinyume. Yani kinafki! Akimaanisha Apson asipoangalia yatamkuta..
First lady hajakosea kutuletea Membe?
Michepuko nayo isiingiye kwenye siasa?
Maana nao, wanajua siri nyingi za ndaaani kabisa, aiseeeeeeh !
iwe fundisho kivipi? Kwani unaamini alichosema Mwandosya? Hivi haujui Kuwa mwandosya anatafuta pa kutokea? Sasa atatokaje ? Kaamua kutoka kwa kutumia jina la Mzee APSON ili apate chati,kasahau Kuwa yeye na mwenzake Membe nao wana Madhambi Yao Tele watu wameamua kuuchuna kwanza, tambua Kuwa Profesa maji marefu ni mjanja kuliko profesa Mwandosya kutokana na mbinu anazotumia kutoka.Mi nadhani iwe fundisho kwa viongoz wandamiz wa vyombo.vya Ulinzi.na Usalam kujiepusha na mambo ya siasa. Sasa unaona, ex Inteligency jina linatajwa tajwa tu kiholela, inabidi wahusika walijue hilo. Matokeo yake jina linakuwa tarnished kwa mambo ambayo hayana maana kabisa.
Mkuu, wewe unajisumbua tu kujiaminisha hayo. Ni wananchi ndio wataamua Rais ajaye. Si Membe wala Lowasa ambaye ni chaguo la wananchi.
Hahahahahaha kaka hawa watu watapata pressure aisee..... Membe hauziki hata kwa dawa, bila shaka umefikisha ujumbe vizuri kabisa
Pesa, hasa inayopatikana kwa njia ya uhalifu, kwa watu wenye madaraka makubwa inawajengea kiburi fulani hivi.
Ningekuwa Apson ningekaa kimya kuliko kuja kuumbuka, maana watu tunajiuliza akiwa Mkurugenzi TISS alifanya biashara gani hadi kutajirika hivyo?
Kuna matajiri wakubwa kama Bakhressa ambao wako kimyaa!!
unamaanisha Mwandosya ndio ka conclude?Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.
Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.
wanajulikana walimuua,na walifungwa maisha au walihukimiwa kunyongwaInaonekana unaijua vizuri story ya kombe,tujuze basi nani aliyemuua!
Mkuu, kwani Mwandosya si mwanasiasa? Au unamaanisha Apson?Mwandosya acha uwoga, Unapojiingiza katika siasa, siri zako zote 97% zitaanikwa