Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Ni kweli Mkuu hakuwa na uhakika. Ila message tunayopata hapa ni kwamba kulikuwa na matumizi makubwa ya fedha. Swali la kujiuliza ni kwamba Thom Mwang'onda alipata wapi fedha hizo? Na je kwa nini madaraka utafute kwa kiasi kikubwa cha fedha?

Umeshawahi kujiuliza JK madaraka aliyapataa kwa kiasi gani? na pesa alizitoa wapi? au kuny.a any.e kuku peke yake?
 
Wajiepushe na siasa alafu wakale wapi?maisha ya viongozi wengi wa uma ni Vicious Cycle of Superiority,wameshazoea high status na mafungu makubwa,alafu leo wakae Kama mama wa nyumbani.Hili ndio tatizo la kuzoea kula bila jasho.


hahahaha ni shidaaaa
 
Hivi mbona hakumlalamikia general Shimbo?

Double srandard nyingine bana!

Hakumtaja mtu kwa jina, aliweka general tu kuwa wanausalama waliokuwa ngazi za juu.....kwa hiyo hata shimbo kama ni miongoni mwao yumo.....
 
Wajiepushe na siasa alafu wakale wapi?maisha ya viongozi wengi wa uma ni Vicious Cycle of Superiority,wameshazoea high status na mafungu makubwa,alafu leo wakae Kama mama wa nyumbani.Hili ndio tatizo la kuzoea kula bila jasho.
Hilo nalo neno watu a/c zao bank zimenona ukiwafuatilia ni posho tu, mtu anatengeneza 100 million na zaidi kupitia posho tu hivyo akija uraiani lazima pamshinde na atataka kuingia kwenye siasa azidi kujitengenezea mazingira ya uheshimiwa ambapo unasaini posho ambazo huhusiki kwenye kuzifanyia retirements wakati huku uswahili unakomaa kuambatanisha na receipt na zingine unarudisha
 
Lakini pia Mwandosya kwenye kitabu chake alichemka baadhi ya sehemu. Mfano alipoandika “Makadirio ya fedha walizotumia yalikuwa kati ya Sh. milioni 300 hadi bilioni moja,” naona si sahihi. Huwezi ukasema wakadiria kwa tofauti kubwa kama hiyo. Hapo hakuwa na uhakika kabisa ya anachoandika.

MKUU SIKU ZOTE MAKADIRIO HUWA SIYO GHARAMA HALISI BILA KUJALI TOFAUTI Ya ukubwa
 
Back
Top Bottom