Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Hapo sasa maccm yanapotoana ngeu kabla hata chakula hakijapakuliwa, walafi ni walafi tu hata wakihisi harufu mate yanawatoka, Joka la Mdimu linapelekeshwa kweli kweli, sie CDM tunagoja watwangane vichwa tupite kiulaini
 
Mkuu huyu jamaa alikuwa hana pesa wakati wa awamu ya Mwinyi, pesa alikuja kuzipata katika awamu ya Mkapa bila shaka alishiriki katika ufisadi mbali mbali uliofanyika katika awamu ya Mkapa na kuweza kupata pesa chungu nzima alizoweza kutumia kujenga nyumba yake ya hali ya juu na za wanawe Dar na Mbeya na pia kununua mashamba makubwa Mbeya.

Ni kweli Mkuu hakuwa na uhakika. Ila message tunayopata hapa ni kwamba kulikuwa na matumizi makubwa ya fedha. Swali la kujiuliza ni kwamba Thom Mwang'onda alipata wapi fedha hizo? Na je kwa nini madaraka utafute kwa kiasi kikubwa cha fedha?
 
kusema kweli kauli hii inauzito...kama imefikia hadi usalama wa Taifa wanaingia kwenye siasa sijui nn kinafuata.
 
mwandosya akae asubiri kufa tu mtu mwenyewe mgonjwa , we chabruma na memebe wenu mkae mkao wa kunyolewa LOWASSA ni unstopable na mnajua vyema , LOWASSA rais wetu mpendwa mtarajiwa.
Mkuu, wewe unajisumbua tu kujiaminisha hayo. Ni wananchi ndio wataamua Rais ajaye. Si Membe wala Lowasa ambaye ni chaguo la wananchi.
 
Mkuu huyu jamaa alikuwa hana pesa wakati wa awamu ya Mwinyi, pesa alikuja kuzipata katika awamu ya Mkapa bila shaka alishiriki katika ufisadi mbali mbali uliofanyika katika awamu ya Mkapa na kuweza kupata pesa chungu nzima alizoweza kutumia kujenga nyumba yake ya hali ya juu na za wanawe Dar na Mbeya na pia kununua mashamba makubwa Mbeya.
Nakubaliana na wewe Mkuu. Hii ni kwa sababu Apson Mwang'onda amekuwa Mkurugenzi Mkuu wa TISS wakati wote wa utawala wa Mkapa. Kwani ameteuliwa mwaka 1996 na kustaafu mwaka 2006. Bila shaka ufisadi uliojitokeza wakati wa Mkapa alishiriki moja kwa moja hasa EPA
 
Ni kweli Mkuu hakuwa na uhakika. Ila message tunayopata hapa ni kwamba kulikuwa na matumizi makubwa ya fedha. Swali la kujiuliza ni kwamba Thom Mwang'onda alipata wapi fedha hizo? Na je kwa nini madaraka utafute kwa kiasi kikubwa cha fedha?
EPA ilitumika kwa kazi hiyo.
Ndo maana hakuna "mkubwa" aliyeshitakiwa.
 
Ndio maana walimuua Imran Kombe...
 
Labda kama na wewe unapata vijiweni. Ila ukweli ni kwamba hata huyo Membe hatoshi kwenye hiyo nafasi


hahahahahaha kaka umeturaisishia kitu muhimu sana....... Chabruma na Hot lady andiko kuwa sawa, na Chabruma kuwa jack Gotham imethibitisha sasa kuwa mumehamia katika kambi ya Pinda ahahahahahahaha....naona matunda ya kulamba tender ya NIDA.....

kwa nini mumemkimbia joka la mdimu au kwa kuwa hapokei simu zenu, inasemekena anapokea simu ya mkulu, first lady na nyalandu na riz tu....
 
Mkuu huyu jamaa alikuwa hana pesa wakati wa awamu ya Mwinyi, pesa alikuja kuzipata katika awamu ya Mkapa bila shaka alishiriki katika ufisadi mbali mbali uliofanyika katika awamu ya Mkapa na kuweza kupata pesa chungu nzima alizoweza kutumia kujenga nyumba yake ya hali ya juu na za wanawe Dar na Mbeya na pia kununua mashamba makubwa Mbeya.
Pesa, hasa inayopatikana kwa njia ya uhalifu, kwa watu wenye madaraka makubwa inawajengea kiburi fulani hivi.
Ningekuwa Apson ningekaa kimya kuliko kuja kuumbuka, maana watu tunajiuliza akiwa Mkurugenzi TISS alifanya biashara gani hadi kutajirika hivyo?
Kuna matajiri wakubwa kama Bakhressa ambao wako kimyaa!!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Mkuu, binafsi siamini kama hawa wakurugenzi wastasfu wana njaa

mkuu wanataka au wangependa ku maintain status-qua. kumbuka Mzanaki (RIP) aliwahi sema mtu akizoea kula nyama za watu hataacha kufanya hivyo.

Pia kuna suala la hawa watu wa aina hiyo kuhofia utendaji wao wa kazi hapo awali - hivyo watahakikisha mtawala ajae atakua rafiki na sio adui au haeleweki. Kombe yu wapi - lakini Mungu si binadamu, hukumu ya waliomuua itakuja wakati usiotegemewa!!
 
Mkuu, wewe unajisumbua tu kujiaminisha hayo. Ni wananchi ndio wataamua Rais ajaye. Si Membe wala Lowasa ambaye ni chaguo la wananchi.

Nchii hii hatuitoi kwa watu wanafiki nafiki kama MEMBE , kaeni kuleni pesa zake ila IKULU haingii, LOWASSA daima dumu.
 
mwandosya akae asubiri kufa tu mtu mwenyewe mgonjwa , we chabruma na memebe wenu mkae mkao wa kunyolewa LOWASSA ni unstopable na mnajua vyema , LOWASSA rais wetu mpendwa mtarajiwa.


Hahahahahaha kaka hawa watu watapata pressure aisee..... Membe hauziki hata kwa dawa, bila shaka umefikisha ujumbe vizuri kabisa
 
akuna wa kumdhibiti lowassa ndan ya ccm....
 
Nchii hii hatuitoi kwa watu wanafiki nafiki kama MEMBE , kaeni kuleni pesa zake ila IKULU haingii, LOWASSA daima dumu.


ukienda mitaa ya makumbusho sifa yake kubwa ni Disinformation - (an act of deception and false statements to convince someone of untruth) kama alivyofanya kwenye richmond na anavyoendelea kufanya kwa mheshimiwa rais wetu.......
 
akuna wa kumdhibiti lowassa ndan ya ccm....

Wanaojaribu wanakufa kwa kihoro........kisa wanapewa uhakika na mke wa rais hahahahahaha tokea lini mke wa rais kawachagulia wananchi rais never on earth na haijawai kutokea duniani milele na milele daima. Amin
 
Pesa, hasa inayopatikana kwa njia ya uhalifu, kwa watu wenye madaraka makubwa inawajengea kiburi fulani hivi.
Ningekuwa Apson ningekaa kimya kuliko kuja kuumbuka, maana watu tunajiuliza akiwa Mkurugenzi TISS alifanya biashara gani hadi kutajirika hivyo?
Kuna matajiri wakubwa kama Bakhressa ambao wako kimyaa!!

Riz one kuwa mwanasheria wa kawaida tu ametoa wapi utajiri kiasi hicho? kabla hujauliza swali jiangalie kwanza na angalia wanaokuzunguka ndio uje na swali tena.
 
Back
Top Bottom