Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

SO, WHAT??
Kama ana faili zao za uchafu awaache waingie IKULU? Kwa sababu alizotoa Prof. Mwandosya (ninayemuheshimu sana) itakuwa vyema kuwaruhusu watu kama Apson kuingilia kwa kuweka sawa mambo isipokuwa wasiruhusiwe kugombea.
Kinachoonekana ni kutaka kuingia IKULU na uchafu!

Anjo
Ndg Anjo,ulihitaji kuiangalia hoja ya Mwandosya na uielewe vizuri.
 
Ndg Anjo,ulihitaji kuiangalia hoja ya Mwandosya na uielewe vizuri.
Mkuu, kuna watu ama ni mataahira au wanatumika vibaya na mafisadi. Huyu Anjo ni mmoja wapo
 
In this country most of our leaders are extremely selfish. Akina mwandosya et al.....hawana lolote..ni kwa sababu wanaona maslahi Yao yameguswa..sijawahi kuona even a single day Hawa Hawa wakipambana tupate katiba bora tujenge misingi Imara ya demokrasia na haki/ fursa sawa kwa wote.ndo watetezi maarufu wa status quo.

By the way wanaomponda Apson...they are not doing so kwa sababu kweli they love our country au wanaona anachokifanya Apsoni si sahihi....in fact wako Kambi nyingine...well..probably membe...I mean taifa let tumekuwa selfish sana....na yote hayo ni kupenda mkato na kula bila jasho.
 
Profesa maji Marefu ni mjanja kuliko profesa Mwandosya , kwanza baada ya kuugua Taaluma yote aliyosoma ilfutika kichwani pengine kasalia na STD 7 tu ,si unajua sasa kazeeka vibaya na kile alichokisomea hakifanyii kazi hivyo Taaluma yake aliyosomea keshaisahau hata akipewa mtihani wa Darasa la 7 wa Juzi atafeli tu. chezea Elimu ya Tz wewe......


Ni kweli kaka Majimarefu ana akili kuliko Mwandosya, umenena vyema kabisa
 
In this country most of our leaders are extremely selfish. Akina mwandosya et al.....hawana lolote..ni kwa sababu wanaona maslahi Yao yameguswa..sijawahi kuona even a single day Hawa Hawa wakipambana tupate katiba bora tujenge misingi Imara ya demokrasia na haki/ fursa sawa kwa wote.ndo watetezi maarufu wa status quo.

By the way wanaomponda Apson...they are not doing so kwa sababu kweli they love our country au wanaona anachokifanya Apsoni si sahihi....in fact wako Kambi nyingine...well..probably membe...I mean taifa let tumekuwa selfish sana....na yote hayo ni kupenda mkato na kula bila jasho.

Kama kuna ambaye hata kuelewa basi atakuwa na matatizo makubwa sana kichwani, umemaliza kila kitu.
 
Mkuu, kuna watu ama ni mataahira au wanatumika vibaya na mafisadi. Huyu Anjo ni mmoja wapo


Kuna anaye tumika vibaya kama nyie vijana wa Membe....Kama juzi mumemfanyie rais udakuzi kwenye maongezi yake then mnaweka kwenye mitandao (kijana wenu SALUM HAPPY) huku mkishindwa kutambua kuwa kumfanyia rais udakuzi ni uhaini mkubwa sana. yaani nyie na kambi yenu hiyo azimo kabisa.
 
sijawahi kushabikia ujinga na sita shabikia ujinga Apsoni ntamsema vibaya mwanzo mwisho huwezi kutoka kuwa mkuu wa usalama mpaka kuwa mpiga debe wa wagombea urais hii ni zaidi ya kulala na bundi.
 
Kuna anaye tumika vibaya kama nyie vijana wa Membe....Kama juzi mumemfanyie rais udakuzi kwenye maongezi yake then mnaweka kwenye mitandao (kijana wenu SALUM HAPPY) huku mkishindwa kutambua kuwa kumfanyia rais udakuzi ni uhaini mkubwa sana. yaani nyie na kambi yenu hiyo azimo kabisa.

udakuzi ndiyo kitu gani na wewe mwehu au unataka kusema udukuzi?
 
Hawa wazee na makuwadi wao wakishatoka kwenye system...ndo wanaanza kulialia..kwamba wanachezewa rafu..yet walivyokuwa madarakani..walikuwa wanaona Kama watakaa hapo milele....pathetic.....
 
Hawa wazee na makuwadi wao wakishatoka kwenye system...ndo wanaanza kulialia..kwamba wanachezewa rafu..yet walivyokuwa madarakani..walikuwa wanaona Kama watakaa hapo milele....pathetic.....
Kaka Masanja umenena
 
udakuzi ndiyo kitu gani na wewe mwehu au unataka kusema udukuzi?
Kaka, huyo Ocampo four ni kibaraka wa Lowasa. Ndo wanaotumika na Apson kumpamba Lowasa mitandaoni. Fuatilia tu mijadala anayoanzisha
 
Eeeh leo Mwandosya ndiyo anaona umhimu huo kwakuwa maslahi yake yameguswa. Mbona hajagusia askari wanaopewa vyeo vya kisiasa kama DC, RC n.k. CCM acheni ubinafsi tulitakiwankuwa na katiba mpya ya maana ili upuuzi huo wote utoke sasa mmechakachua rasmu mnaanza kutafuta mchawi

Atueleze pia wakati IGP Mahita anaonyesha majambia kuituhumu CUF eti ni wauwaji, ilikuwa ni siasa au kwa mtazamo wake mwandosya Mahita hakuwa mtu muhimu kama alivyo Apson?
 
Mkuu, kuna watu ama ni mataahira au wanatumika vibaya na mafisadi. Huyu Anjo ni mmoja wapo

Kutoa lugha ya matusi haitaondoa ukweli!
IKULU ni mahali pa watu walio wasafi. Sihitaji kumtetea "mtangaza nia ya urais" yoyote.
Ninachokiangalia hapa ni mantiki ya kuingia huko "ukubwani".
Hivi kwa maoni yenu (mliotumia lugha chafu) mnataka kiongozi aingie IKULU bila kumfahamu ipasavyo? Kama faili za watu hazina matatizo kwa nini wanakuwa waoga zikifunguliwa? Bila shaka zingekuwa hazina matatizo wasingepiga kerere!
Kelele zinaletwa na kutojiamini na kujijua kuwa zikifunguliwa wataumbuka.
Inawezekana Mwandosya hana matatizo ila akawa anatoa angalizo. Tatizo la angalizo ni kuweza kuleta mianya ya watu wachafu kuingia IKULU.
Anjo
 
Kwa sasa wala sio nec ya chama chochote itakayotuamulia rais kwa taarifa yenu...naona mnapoekekea ni kuwafanya watanzania wote mazuzu na kuwa wenye pesa na vimtandao vya kishenzi ndo wanaweza kuwa wakuu wa kaya..are u too blind to see that they will be unexpected twisting of events vry soon?rais wa 2015 hataletwa na kelele hizi na majungu ila wananchi naam wenye nchi wata wa suprise.
 
Kutoa lugha ya matusi haitaondoa ukweli!
IKULU ni mahali pa watu walio wasafi. Sihitaji kumtetea "mtangaza nia ya urais" yoyote.
Ninachokiangalia hapa ni mantiki ya kuingia huko "ukubwani".
Hivi kwa maoni yenu (mliotumia lugha chafu) mnataka kiongozi aingie IKULU bila kumfahamu ipasavyo? Kama faili za watu hazina matatizo kwa nini wanakuwa waoga zikifunguliwa? Bila shaka zingekuwa hazina matatizo wasingepiga kerere!
Kelele zinaletwa na kutojiamini na kujijua kuwa zikifunguliwa wataumbuka.
Inawezekana Mwandosya hana matatizo ila akawa anatoa angalizo. Tatizo la angalizo ni kuweza kuleta mianya ya watu wachafu kuingia IKULU.
Anjo
Kwani hizo faili unajua zilipo na zinavyotunzwa? Mambo mengine ni zaidi ya uwezo wako
 
Profesa Bongo? Si unawaona ma-profesa akina Kapuya vitendo vyao ! Ujue Tanzania kila Jambo linawezekana,Hapa Tz Mtu anaweza kusoma kwa kuiba mitihani au kununua mitihani kuanzia std 7, form 4,Six,chuo kikuu ,degree,masters,phd hadi huo Uprofesa.Elimu ya Tz ni ya Ujanja ujanja tu, ni wachache sana wenye Taaluma na Elimu Harisia .jaribu kujiuliza ufanisi wa kazi wa Maprofesa wa Tz linganisha na watu wenye Elimu ya kawaida utapata jawabu. Mwandosya Nadhani ni aina ya wasomi wale waliosoma kijanja -janja na kujiita maprofesa wakiwa hawana Tofauti Profesa Maji marefu.
Mwandosya hajasoma chuo bongo na alikuwa na akili sana , ila ndiyo ccm imeshamuharibu hatumii tena ubongo kufikiria sasa hivi.
 
Mwandosya hajasoma chuo bongo na alikuwa na akili sana , ila ndiyo ccm imeshamuharibu hatumii tena ubongo kufikiria sasa hivi.

Na maradhi yanayo mpeleka India mara kwa mara nayo yanachangia kupunguza akili yake
 
Naona makada wa ccm wote wataunga against Lowassa.
Tatizo ni rushwa anayogwa Lowassa ama kilichomo kwenye mafaili yao?
Kama wanampinga sababu ya matumizi ya fedha kuwania uongozi,kila la kheri ila kama wana hofu mafaili yao hayako poa na Lowassa atawashughulikia,basi wajiandae kisaikolojia mapemaa
 
Back
Top Bottom