Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Mkuu vipi hajazungumzia mgombea wenu anayeletwa na WAMA... Nafkiri ni jambo la msingi aongeze page moja ili akemee mke wa rais kutuletea mgombea ambaye kamwe hawezi kushnda hata kwa dawa
 
Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.

First lady hajakosea kutuletea Membe?
 
Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.

Mi nadhani iwe fundisho kwa viongoz wandamiz wa vyombo.vya Ulinzi.na Usalam kujiepusha na mambo ya siasa. Sasa unaona, ex Inteligency jina linatajwa tajwa tu kiholela, inabidi wahusika walijue hilo. Matokeo yake jina linakuwa tarnished kwa mambo ambayo hayana maana kabisa.
 
Je kina Tibaigana na Mboma haiwahusu wao? au kwa kuwa hawapo upande wa Lwaigani?


kaka utaona na kusikia mengi safari hii........Lowassa anawatoa nyongo ila wana miss point ndogo sana kuwa Membe hauziki kwa namna yoyote ile.
 
Mi nadhani iwe fundisho kwa viongoz wandamiz wa vyombo.vya Ulinzi.na Usalam kujiepusha na mambo ya siasa. Sasa unaona, ex Inteligency jina linatajwa tajwa tu kiholela, inabidi wahusika walijue hilo. Matokeo yake jina linakuwa tarnished kwa mambo ambayo hayana maana kabisa.
Ushauri wako umejaa busara ya hali ya juu sana. Kama wahusika watasikia na kuuzingatia, itakuwa jambo jema sana
 
Ni kweli Mkuu hakuwa na uhakika. Ila message tunayopata hapa ni kwamba kulikuwa na matumizi makubwa ya fedha. Swali la kujiuliza ni kwamba Thom Mwang'onda alipata wapi fedha hizo? Na je kwa nini madaraka utafute kwa kiasi kikubwa cha fedha?


Refer to 2005 election ndio uje tena u comment hapa.
 
kaka utaona na kusikia mengi safari hii........Lowassa anawatoa nyongo ila wana miss point ndogo sana kuwa Membe hauziki kwa namna yoyote ile.
Hivi ni nani anakudanganya kuwa Membe na Lowasa ndo wagombea pekee ndani ya CCM? Mbona wapo wengi tu?
 
joka la mdimu linatapatapa limeshagongwa kichwa
hapana chezea laigwan ngoyaiiiii



hahahahahaha yaaani mkuu Obama wa bongo hawa majamaa watakufa, kila sekunde, kila dakika, kila saa, kila siku, kila mwezi, kila mwaka ni Lweigwanan tu....Joka la mdimu hata umpake poda awe kama Michael Jackson HAUZIKI KABISA na wananchi hawamtaki
 
Kaka, kwani First Lady ni Mkurugenzi au Mkuu wa chombo cha Dola? Au mstaafu?

First lady Sii ndiyo anawaminisha kuwa joka la mdimu anakuwa rais......wakati Membe hauziki vijiweni wanakuambia bora hata Kigwangala kuliko huyo jamaa
 
Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.

Vipi kuhusu yule aliyekua mkuu wa majeshi mzee Mboma kugombea ubunge?
 
First lady Sii ndiyo anawaminisha kuwa joka la mdimu anakuwa rais......wakati Membe hauziki vijiweni wanakuambia bora hata Kigwangala kuliko huyo jamaa
Labda kama na wewe unapata vijiweni. Ila ukweli ni kwamba hata huyo Membe hatoshi kwenye hiyo nafasi
 
Back
Top Bottom