Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Prof. Mark Mwandosya Amlipua Apson Mwang'onda Bungeni

Kwa kuwa hakuna sheria inayowabana wastaafu hao then huo ni ushauri wake tu ambao ningependa UPUUZWE.

Alikuwa wapi kina Tibaigana walipojitosa kwenye ubunge.

Huyu mzee hana lolote kwa sasa angoje kufa tu afya yenyewe spana mkononi.
 
Mimi nazan kinachomtisha mwandosya ni system ambayo yeye kw kuwa hana historia ndefu na utumishi na chama ameshindw kupata uungwaji mkono na sasa anaogopa kuukosa uraisi kwa mala ya tatu.
 
Kwa kuwa hakuna sheria inayowabana wastaafu hao then huo ni ushauri wake tu ambao ningependa UPUUZWE.

Alikuwa wapi kina Tibaigana walipojitosa kwenye ubunge.

Huyu mzee hana lolote kwa sasa angoje kufa tu afya yenyewe spana mkononi.
Mkuu, kwa mujibu wa Chabruma, huo ni mchango wa Mwandosya katika kuboresha Katiba Mpya
 
Mimi nazan kinachomtisha mwandosya ni system ambayo yeye kw kuwa hana historia ndefu na utumishi na chama ameshindw kupata uungwaji mkono na sasa anaogopa kuukosa uraisi kwa mala ya tatu.
Mkuu, kwani umesikia Mwandosya anataka kugombea tena?
 
Kwa kuwa hakuna sheria inayowabana wastaafu hao then huo ni ushauri wake tu ambao ningependa UPUUZWE.

Alikuwa wapi kina Tibaigana walipojitosa kwenye ubunge.

Huyu mzee hana lolote kwa sasa angoje kufa tu afya yenyewe spana mkononi.

Busara ni pale mtu mjinga anapokosa cha kuandika huamua kukaa kimya. inabaki siri yake. kuliko ukatumia muda wako kukashifu michango yenye tija kwa Taifa
 
Eti huyu naye ni Professor, hizi njaa zenu zilizohamia vichwani zinawafanya kuonekana watu wa hovyo. Bora hata huyo Kessy STD VII ana busara kuliko huyu professor njaa!

Umepewa fursa yote you can imagine in this world ya kurekebisha hiyo kasoro ya viongozi wastaafu wa majeshi wanaohudumiwa na kodi zetu kutojiingiza kwenye siasa. Including kuteuliwa kuwa mabalozi, RC, DC, etc Badala ya kupendekeza hicho kipengere kiingizwe kwenye RASIMU YA KATIBA, hili Li-Professor linabaki kulalamika like headless chicken, shame on your face Prof(SIC) Mwandosya.

Eti nalo ni president material la CCM.
 
Busara ni pale mtu mjinga anapokosa cha kuandika huamua kukaa kimya. inabaki siri yake. kuliko ukatumia muda wako kukashifu michango yenye tija kwa Taifa

Kama huo mchango unatija kwako uchukue lakini hautabadilisha kitu kwa sasa.
Hiyo tija kwa taifa ameiona leo?

Weka basi busara zako nizione maana sioni mahali ulipochagia zaidi ya kuninukuu au ndo umeamua kuficha vyote (Busara na Upumbavu wako)

Being wise means calling things by their real names upo hapo? na kutofautiana kwa hoja sio ujinga bali
kukubaliana.
 
Kama huo mchango unatija kwako uchukue lakini hautabadilisha kitu kwa sasa.
Hiyo tija kwa taifa ameiona leo?

Weka basi busara zako nizione maana sioni mahali ulipochagia zaidi ya kuninukuu au ndo umeamua kuficha vyote (Busara na Upumbavu wako)

Being wise means calling things by their real names upo hapo? na kutofautiana kwa hoja sio ujinga bali
kukubaliana.

Ukiona jina la mtu linaanzia na herufi Mwa...... basi usipate shida juwa huyo ni Mnyakyusa hawa ni wakabila mno lakini hawavumi.
 
Mkuu, kwa mujibu wa Chabruma, huo ni mchango wa Mwandosya katika kuboresha Katiba Mpya

Mchango wa kuwanyima wastaafu haki zao za msingi?

Kwa hoja alizotoa bora apuuzwe tu hazina mashiko.Sana Sana anawewesekea makundi ndani ya chama chake.
 
Wenye digrii za sheria nijuzeni, Kwani sheria inasemaje kuhusu wastaafu kama Apson kujiunga na siasa? wanakatazwa?
 
Mchango wa kuwanyima wastaafu haki zao za msingi?

Kwa hoja alizotoa bora apuuzwe tu hazina mashiko.Sana Sana anawewesekea makundi ndani ya chama chake.
Kwwni katika nchi hii watu wote ni wanasiasa?
 
Mimi nilisema tangu mwanzo kuwa Apson amekosea sana kujiingiza kwenye siasa ametia aibu heshima yote aliyokuwa nayo itapotea ngoja kampeni zianze mtaniambia wenyewe,mwandosya kafanya vema.

Kwa hiyo Mwandosya ni Malaika kwamba analosema ndo sahihi?

Kweli bora kuwa mtumwa kuliko kuwa mjinga!
 
Wenye digrii za sheria nijuzeni, Kwani sheria inasemaje kuhusu wastaafu kama Apson kujiunga na siasa? wanakatazwa?
Mkuu, nadhani upo nje ya tukio. Mwandosya alikuwa akitoa mchango wake kwenye bunge maalum la Katiba
 
labda wanasiasa nao wastaafu miaka 60. kwanza abson hajatangaza kugombea chochote kwenye siasa. kama inaonekana anamuunga mkono mgombea mmojawapo au hata kugombea mwenyewe kikatiba ni haki yake. kama akitaka kugombea mwenyewe urais inawezekana kumzuia kutumia ujuzi na uzoefu alio nao? wapo wastaafu wa ngazi yake huko nyuma wamegombea ubunge etc kwa nini alaumiwe yeye? inaelekea mwandosya anatumia bmk kujisafishia njia 2015.
 
Back
Top Bottom