Mbwa dume
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 5,550
- 9,103
Mkuu ulivyokomment nimeishia kucheka tu maana akili zetu wabongo
Soon tutaibuka na chanjo yetu ya kupaka sio sindano tena.
Nchi yetu ina wanasayansi "kimu" wengi kama alivyokuwa babu wa Loliondo
Mkuu ulivyokomment nimeishia kucheka tu maana akili zetu wabongo
WachinaNani ataithibitisha?
Ya Madagascar na zetu /pamoja na nyungu, zilituokoa kwenye Covid - 19 ya mwanzo na ya pili! Hiii cha tatu, nafikiri chanjo yetu itatuokoa.Kipaumbele siyo tena ile 'dawa' ya Madagascar?😁😁😁
View attachment 1895949
Nimecheka sana hii commentkama ya USA tumeshindwa kuiamin ya tz ata kumsogelea mtu aliechanja tutaogopa
Iko chanjo ya newcastle ya kuku ile ya matone.Chanjo za mifugo hawajawaji tengeneza....mmhh
Kuna chanjo ya kuku 3in1,ambayo imetengenezwa SUA na imekuwa bora sana na kukubalika dunia nzima! Kwa hiyo na ya binadamu itakuwa bora, shime wataalamu wetu.Chanjo za mifugo hawajawaji tengeneza....mmhh
Huu utani mwingine unaudhi badala ya kufurahisha.Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.
Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.
Source: ITV habari
Marekani na WHO wakiikataa?Katibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.
Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.
Source: ITV habari
Tuiite jiwevacKatibu mkuu wa wizara ya afya Prof Makubi amesema kama taifa tunakaribia kupata chanjo yetu ya Corona.
Prof Makubi amesema wanasayansi wazalendo hawajalala katika utafiti na wako mbioni kutupatia chanjo ya Corona ambayo itakuwa ni ya kwetu wenyewe.
Source: ITV habari