Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

Huyu bwabwa kweli... kwanza Maalim Seif hataki hata kumuona... huyu ni CCM kabisa... na muuaji wa upinzani Tz... na CUF inatakiwa wamfukuze kabisa kabisaaaa uanachama... ana gundu sana Lipumba..!!

CUF fukuzeni MSALITI KUBWA HUYU KAMA ZITTO... tena hafai kabisa... wakati wa mapambano anaondoka.. anajidai kurudi...!!! Anaanza kujidai yeye ni CUF... shit
 
Kwa hiyo anamaanisha kuwa Umoja wa Ukawa ni batili? Kwamba CUF imepata mafanikio bila nguvu ya Lowasa mwaka huu? Kwa hiyo kama Chadema imepoteza dira, tuwaachie wao peke yao mapambano ya Zanzibar?

Kama anatoa press conferences zake Buguruni & anakubaliwa, naamini hiki akisemacho ni msimamo wa CUF. Sijawahi kuiamini CUF, nilisema hili mapema kabla hata ya kampeni.
 
Msiumwe na vichwa Lipumba zake zimekwisha tena, kwisha kabisa ndembe ndembe kifo cha mende.,baada ya kushika fedha kipindi kile alijuwa UKAWA ameupasua katikati lakin CUF hawakutetereka hatimae majimbo 10 bara kwa ticket ya CUF yamekuja ni mafanikio makubwa mnno tangu kuanzishwa CUF kwa upande wa bara.

Mwenzake sasaivi H. Rashid alichukua ahadi kwa CCM Zanzibar atapunguza kura za Maalim Seif Unguja na Pemba ili Dr Shein awe Rais., watu walikula pesa mbaya hatimae Unguja na Pemba kote alipata kura 495 tu.

Sasaiv hana uso tena majigambo na makeke yamekwisha lilobaki sasaivi anapika chokochoko usiku na mchana eti uchaguzi urudiwe Zanzibar.
 
Nd'o gia yake ya kurudia CUF, huyo nd'o Lipumba bana, wasiomfahamu na mazwazwa ya wengi tu watamuunga mkono, huyu jamaa haaminiki kamwe ni kama JK tu.
 
Naona huyu yuda anataka arudishiwe uenyekiti

Hapati kwanza hatumtaki kwa sababu ataleta unafiki mwingine aende amerika kama yule msalit mwenzake au amemaliza utafit kule kigali hili zee halifai kabsa
 
Nadhani akinyamaza sisi wengine ambao tumeendelea kumuheshimu tutaendelea kufanya hivyo .Yeye na CUF ipi? Mtu muungwana huheshimu maamuzi ya kikatiba kupitia vyombo vya juu vya vyama vyetu vinapofanya maamuzi .
Mkuu vipi maendeleo ya ng?ombe huko monduli, nilisikia wakati fulani mzee alivyosema kuwa kama ataukosa urais basi atakwenda kuchunga.
 
Nd'o gia yake ya kurudia CUF, huyo nd'o Lipumba bana, wasiomfahamu na mazwazwa ya wengi tu watamuunga mkono, huyu jamaa haaminiki kamwe ni kama JK tu.
 
Kwa hiyo ajenda yenu ni ipi?
CCM wanakemea ufisadi.....mmeporwa hoja yenu.

ACT- utu, miiko na uzalendo

CUF- haki sawa kwa wote....hapa haki tu.

We unazungumzia agenda au kauli mbiu? Hivi chama kinaweza kuwa na agenda moja? Mmmmmhhh!! Elimu elimu elimu
 
Tuta endelea kuwa ma mbulula mpaka cku ya mwisho kwa siasa za kufuata mkumbo huyu akiwa kwetu mnafki akiwa kwenu mtu poa tena anafaa akiwa kwetu msafi akija kwenu fisadi Na kwaupumbavu tunakubali bila kufikili mala mbili mbili
 
Mzee anazidi kupoteana anaona anavizia kurudi ila pa-kuingilia hapaoni kabisa,ivi hana mke au famila ikawa inamshauri angalau.
 
Chadema wanachekesha sana yani ukiwabonyeza kidogo wanalipuka, kesho lipumba akija kivingine awa awa ndio watamdekia barabara . Big up kwa Mkapa aliwajua vizuri.
 
Mie sikubali kupinduliwapinduliwa Na kauli zenu,mlisema lowassa Ni fisadi Naye alikubali kwa kuachia madaraka,baada ya hapo mkaja kumpamba eti alisingiziwa WAHAYA WANA USEMI USEMAI:MWANAUME ANABADILIKA KITANDANI TU LKN SIO KWENYE KAULI

LOWASSA NI FISADI IMETOKA HAKUNA WA KULIBADILISHA HILO.
Nalog off
 
mcubic unadhani tatizo letu kama taifa ni "ukemeaji" wa masuala ya Rushwa? Tatizo letu ni dhamira ya dhati ya kupambana na rushwa. Na rushwa ya tanzania ni ya kimfumo bila ya kuufumua huo mfumo tutaishia kuwa na matamko yasiyoisha na kuoneana bila ya sababu. Agenda dhidi ya ufisadi CHADEMA walikuwa wanaifanya kuwa ni ya taifa nyie mmeigeuza kuwa ilikuwa ni ya CHADEMA. Aibu ilioje!!
 
Last edited by a moderator:
wakati akiongea kupitia azamtwo television, prof. Lipumba amesikika akisema, chadema kimepoteza dira ya kisiasa kutokana na mtafaruku uliojitokeza ndani ya ukawa baada ya kumpokea lowassa na kumfanya mgombea urais wa tanzania.

Prof. Lipumba amesema, ''sisi ndani ya cuf tunaweza kukijenga vizuri chama chetu kwa sababu msingi wetu ni kusimamia haki kwa wote lakini wenzetu wa chadema wamepoteza dira kwa sababu itakuwa ni vigumu kuzungumzia suala la mapambano dhidi ya ufisadi''.

''msingi wa sera zetu ni haki sawa kwa wote, rais magufuli anasema hapakazitu na sisi tunasema hapa ni haki tu'' alisema.

Aliendelea kusema, ''tuna mahala pazuri pa kuanzia, kutazama namna ya kuikosoa serikali katika kutekeleza hizi sera za hapakazitu, je tunalinda haki za kila mmoja wetu, tunafuata utaratibu mzuri wa sheria''

alimalizia kwa kusema, ''wenzetu chadema wamepoteza dira''.

video:

na wewe unapenda sana uchochezi, hii ishu si naliisema kitambo ndio akajiuzulu uenyekiti wa cuf? Sasa unaipost utafikiri ndio kasema jana? Mpuuzi kweli wewe, waza maendeleo yako na ya familia yako, achana na ya wanasiasa
 
Last edited by a moderator:
MsemajiUkweli

Nadhani akinyamaza sisi wengine ambao tumeendelea kumuheshimu tutaendelea kufanya hivyo .Yeye na CUF ipi? Mtu muungwana huheshimu maamuzi ya kikatiba kupitia vyombo vya juu vya vyama vyetu vinapofanya maamuzi .
Ben Saanane
Ninawapinga wale ambao hawaheshimu maamuzi ya vyombo vya juu lakini wakaendelea kuwepo kama viongozi wa vyombo hivyo.

Prof. Lipumba alikataa kukubaliana na maamuzi ya CUF kuhusu Lowassa kuwa mgombea wa tiketi ya UKAWA. Kwa kudhihirisha msimamo wake, akaamua kujiudhuru uongozi.

Kwa sasa ni mwanachama wa kawaida na ana haki na uhuru wa kutoa maoni yake kuhusu mwerekeo wa CUF na siasa za Tanzania kwa ujumla.

Hata wewe una haki na uhuru wa kupingana naye kifikra na kimtazamo bila kuvunjiana heshima!

Kuyaheshimu maamuzi ya mtu mwingine ni uungwana kama Prof. Lipumba alivyoheshimu maamuzi ya CUF/UKAWA na kuamua kubaki kama mwanachama wa kawaida.
 
Last edited by a moderator:
Lakini alishakiri kuwa pamoja na yote yy hakuridhika na ndio maana alijitoa uli kujiepusha na kumnadi mtuhumiwa wa Ufisadi!

kama hoja ni kukataa kumnadi lowassa basi angenadi hata wabunge na madiwani wa ukawa,kosa kubwa ni kuwakinbia watu wakiwa kwenye hatua za mwisho kuelekea uchaguzi,binafsi nilimpenda sana Lipumba lakini kwa sasa sina imani nae kabisa,hana tofauti na mtu anayeaminiwa kugombea na mwisho akashindwa kurudisha fomu
 
Back
Top Bottom