Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

Prof. Lipumba: CHADEMA wamepoteza dira

Kuwa prof Tanzania ni rais sana alichoongea anakijua yeye miaka yote yupo Cuf hakuna jimbo lolote dar wala tabora ameondoka cuf wamepata majimbo 10 ajipime
 
alishiriki kumpokea kwa kummwagia sifa kem kem,baada ya kulambishwa vipande thelathini kabadilika,sijui hawa wazee wanatudharau watanzania kwa kiasi gani!!yani anaona sisi mapopoma kuwa tumeshasahau...njaa mbaya!!!!!
 
Lakini alishakiri kuwa pamoja na yote yy hakuridhika na ndio maana alijitoa uli kujiepusha na kumnadi mtuhumiwa wa Ufisadi!

Kwa hiyo aligundua kuwa lowassa ni fisadi baada ya kumpokea!!!!!hawa wazee wamepitwa na wakati kwa kucheza siasa za kizamani.Siku hizi watanzania ni waelewa sana.
 
Allen Kilewella

Kwa hiyo ajenda yenu ni ipi?
CCM wanakemea ufisadi.....mmeporwa hoja yenu.

ACT- utu, miiko na uzalendo

CUF- haki sawa kwa wote....hapa haki tu.
 
Last edited by a moderator:
Ukawa walisahau ule usemi wa "ukipata chungu kipya usitupe cha zamani "

Maana hujui ni lini utakihitaji tena
 
Mwambieni akiwa muongo asiwe msahaulifu. Clip za mapokezi ya Lowasa Ukawa zinaonyesha ushiriki wake ila lililomuuma ni kule kuenguliwa katika kazi yake ya kudumu ya " Mgombea Urais"

alishajisafisha na akasema anajutia nafsi yake na akaamua kuachia ngazi ya uenyekiti cuf
 
Hizi siasa hizi..looh....kila mtu anacheza wimbo anaoukuta dimbani whether anaupenda au la. Ukiwapatiliza hawa watu unaweza kunywa sumu ukifikiri unawasapoti huku wao wanakula biriani...
 
We Lipumba ndio umepoteza dira umewasaliti wapinzani Leo unaanza kututafuta maneno we we tangaza kujitoa cuf Na kujiunga Na CCM siulikwenda Ikulu kujipendekeza?
 
Unafiki ni mbaya sana, naogopa kuamini watu. Hata kama ni maprofesa.
 
Lipumba ndugu yangu atukuelewi sisi wana cuf.umeondoka umekiacha chama kikiwa na wabunge wawili tu huku bara now ujio wa lowasa tumeunganisha nguvu sasa tunao zaidi ya 20 hivi ulitakaje ndugu yetu au unamengine mara ya mwisho ulipata kura laki 4 tu ktk urais ndugu tuache sisi tunataka mageuzi ya ukweli nani msafi unaemjua?
 
Yuda huyu si wa kuchekea hata kidogo, anajipendekeza kwa viongozi wa CUF apewe ulaji! Tangu awe Mgombea CUF haijawahi kua na viti vingi kama mwaka huu. Huyu kupata uongozi labda Maalim Seif aondoke CUF, Katika watu waliomuudhi sana maalim Seif ni huyu msaliti.yaan wenzi wako katika kipindi kigumu wewe unawakimbia!

Nilimuheshimu sana prof Lipumba. Lakini tangu awakimbie wenzake katika kipindi kigumu alichohitajika nimempuza. sasa anyamaze tu.kuna msemo kwamba elimu ya mtu hata iwe ya kiwango cha Juu haindoi ujinga we kuzaliwa.
 
ukawa wapo Masasi cdm cuf na nld wanampigia kampeni kundambanda prof yupo lumumba
 
Anajikomba kwa kufikiri kuwa huenda Magufuli atampa ka nafasi ka Uwaziri!!!!!!

Yeye ndiye aliyepoteza DIRA katika siasa. Tuemshamsahau
 
Lipumba hana hata aibu. Anadai sisi CUF ................... CUF ipi wakati alijitoa kabla ya kupigwa boot!!

Dhambi ya usaliti inamtesa ............ hata Yuda alitaka kurudisha vile vipande 30 vya sarafu ili jamaa wamuachie Yesu lakini ilikuwa too late ............ mwisho wa siku akajinyonga!!!

alijitoa CUF lini bwana nyumbu msahaulifu?
 
Lakini alishakiri kuwa pamoja na yote yy hakuridhika na ndio maana alijitoa uli kujiepusha na kumnadi mtuhumiwa wa Ufisadi!
hiyo ilikuwa ni kejeli na kukosa msimamo inawezekanaje umkaribishe mtu nyumbani kwako unawataarifu jirani zako kuwa ni raia mwema halafu usiku ukimbie nyumba eti mgeni wako ni mhalifu?:angry::angry:

kwanini hakumzuia toka mgeni akiwa mlangoni akajitoa kwanini hakufanya hivyo?
 
Back
Top Bottom