Wewe majizi unayajuwa ?! Walipokuwa huko CCM mliwapigania hamkusikia la mtu. Na Kikwete aliwasafisha sasa kinachokukera nini ?! Mahakama ya mafisadi tunayo mbona hawachukuliwi hatua ??!Kati ya Lipumba na Mbowe nani yuko bize kupokea majizi na wauza madawa ya kulevya??
Kama Nape aliyeiba hadi kura ili malaika mtukufu ashinde lkn Leo anatolewa bastola ili auwawePROF LIPUMBA yupo sahihi SLAA alipigania chama sana ila alilipwa mabaya ila ipo siku chadema watajuta dhambi walio ifanya itawarudia
Kila MTU anao Uhuru wa kuingia au kuondoka kwenye chama cha siasa.Tukubal tukatae, chadema tulibugi kumtema dr slaa kisa lowasa
Endelea kutetea huo ujinga, labda utawasaidia kushinda uchaguzi wa ufipaWewe majizi unayajuwa ?! Walipokuwa huko CCM mliwapigania hamkusikia la mtu. Na Kikwete aliwasafisha sasa kinachokukera nini ?! Mahakama ya mafisadi tunayo mbona hawachukuliwi hatua ??!
Madawa ya kulevya ni maigizo ya Bashite na boss wake wala hamna la maana,
Angefanywaje ?! Ametumiwa wazee na viongozi wa imani lakini bado alikubali kutumika kupitia Mwighulu na kwenda ughaibuni !!!. Maamuzi ya vikao yaheshimike, kama huko CCM vikao vilivyotumika kunyonga wengine kwa maslahi ya wengine nani anahoji ?! Au mkuki ni kwa nguruwe ?!Tukubal tukatae, chadema tulibugi kumtema dr slaa kisa lowasa
Hayo majizi na mafisadi ni nani mwenye mamlaka ya kuyadhibiti? Hivi yule aliyeahidi kuyadhibiti mpaka akayaundia mahakama maalum yupo nchi hii au amehamia Trinidad and Tobago?Kati ya Lipumba na Mbowe nani yuko bize kupokea majizi na wauza madawa ya kulevya??
Democrasia hamna kabisa ndani ya chadema, Mbowe ndio Mungu wenu na maamuzi yake hayahojiwi popoteAngefanywaje ?! Ametumiwa wazee na viongozi wa imani lakini bado alikubali kutumika kupitia Mwighulu na kwenda ughaibuni !!!. Maamuzi ya vikao yaheshimike, kama huko CCM vikao vilivyotumika kunyonga wengine kwa maslahi ya wengine nani anahoji ?! Au mkuki ni kwa nguruwe ?!
Democracy ipo CCM ?!Democrasia hamna kabisa ndani ya chadema, Mbowe ndio Mungu wenu na maamuzi yake hayahojiwi popote
Uchaguzi wa Wenje, Masha umefanyika wapi??Democracy ipo CCM ?!
Mwenyekiti wako amesema wakiimba akiwa mwenyekiti atawapoteza wote , ndiyo democracy hiyo ?! Hataki mawazo mbadala ndani ya chama. Kungekuwa na democracy akina Sophia na kina Nape wangepewa nafasi ya kujitetea lakini mhhh.