Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

Usiombe kuwekwa kiporo na baba jesca.. huko ni kumsuta ki utu uzima...!!!!
 
Njaa mbaya sana.! Nimegundua siasa zinaendeshwa na njaa, kila mwanasiasa anaongea ili apate ugali..!
 
Profesa wangu Kitila Mkumbo uko wapi unisaidie kujibu hapa?

hapa ndo napoukubali ule msemo weka akiba ya maneno yakusaidie siku za usoni kama silaha ya akiba
Weeee ujue ukatibu mkuu unakula vxv8 na dreva juu, nyumba na mazaga zaga kibao..Nani anapenda kuteseka na kuandaa vipindi, kusahihisha na kukumbizana na chaki lecture theater?
 
Mtasubir sana akatae, kisha hiyo ni kumdhibiti Zitto alishaonekana anashirikiana na Ukawa ngoja tuone movie ikiendelea tuko break ss mbona mengi yatakuwaja
 
Wizara ya Maji PS ambaye si professional yake ndio naiona leo sikujua kama inawezekana.
Hiyo Wizara ya Maji ilishawahi kupata Katibu Mkuu ambaye alikuwa Profesa wa Matibabu, Al marhum Profesa Idris Ali Mtulia, mkapa alimtoa Muhimbili akampeleka kuwa katibu mkuu wa maji nishati na madini wakati huo.
Historia hujirudia
 
  • Thanks
Reactions: SDG
magufuli.anapenda kudhalilisha watu jaman hapo anataka amteue afu kisha aje amtumbue ili mradi tu amdhalilishe aseme wapinzan hawafai always
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Teh ndio ujue tumbo ni kitu cha aina yake ngoja tuone kama atakana hiki alicho kisema na kuuvaa ukatibu mkuu
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom