NDESSA
JF-Expert Member
- May 2, 2013
- 1,946
- 1,800
Swali gumu siku ya leo kwake.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Swali gumu siku ya leo kwake.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Swali gumu siku ya leo kwake.
Profesa wangu Kitila Mkumbo uko wapi unisaidie kujibu hapa?Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Mwandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima
mkuu vipi bado unahisi kati ya sisi na wewe nani ana matatizo ya akili?Ni ushauri mzuri na atakayempinga anamatatizo ya akili
weeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee, nani kakwambia. Uogozi mtamu wwe. acha kabisaYetu macho tukisubiria mkumbo akatae uteuzi ili kusimamia kauli yake yakupinga wahadhiri kuteuliwa teuliwa hovyo.
Keshateuliwa ngoja tusubiri kama atakataaYeye akiteuliwa ATAKATAA?
Itampa wakati mgumu ila hawezi kukataaTusubiri tuone atalijibu vipi. Kama ataamua kusimamia kauli yake na hivyo kukataa uteuzi au ataonyesha unafiki.
Nayeye akikubali uteuzi atakuwa ana matatizo ya akili pia?Ni ushauri mzuri na atakayempinga anamatatizo ya akili