Kama kuna kitu kibaya mwanadamu aliumbiwa ni njaa tu!Ngoja nisubiri profesa anapokataa uteuzi
Daaaa hili ni jaribu tosha kwa prof kitila!
Ila sidhani kama atakataa uteuzi huu
We mtabiri nini au ndugu na Yahaya ?? Yametokea tusubiri km atakaa.Yeye akiteuliwa ATAKATAA?
Mechancal?![]()
Kwani kutumikia taifa mpaka uwe kwenye cheo?Mwacheni Prof Kitila atumikie Taifa.
Kwani kutumikia taifa mpaka uwe kwenye cheo?
Mbona hata kufundisha wanachuo ndio anlitumikia zaidi!
Wana jamvi Salaam
Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.
Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).
Chanzo: Tanzania Daima

