Prof Kitila: Magufuli usiteue Wahadhiri

Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
Sasa yeye Magu anwataka maprofessor na PHD holders kuna wasio wahadhiri?
 
Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
Kwa wazo hili utakuwa hujui hata succession plan inavyoandaliwa na kutekelezwa.
 
Ni kweli.
QUOTE="a4apple, post: 19375933, member: 312473"]Naunga mkono hoja, anaathiri wanafunzi wa vyuo vikuu kwa kukosa wahadhiri. Chuo kikuu Dar ndicho kinachoathirika zaidi maana wahadhiri wengi wameteuliwa. Idara iliyoathirika zaidi kwa teuzi ni ile ya kemia UDSM.[/QUOTE]
 
Ile sheria ya watumishi wa umma kutojihusisha na masuala ya siasa hasa ya kiuongozi haimuhusu huyu jamaa?
 
Kweli kabisa, gharama inayotumika kusomesha hawa watu ni kubwa mno, lengo likiwa wao watumike kutoa elimu kwa Watanzania wengine. Lakini serikali ya viwanda inaamini uongozi ni uwingi wa degree.
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima

Na kwa kuongezea, wahadhiri wengi ni too academicians au idealists, wala sio viongozi wala watendaji. Ukiangalia nafasi nyingi alikowajaza mpaka sasa huoni leadership wala vision yoyote.
 
Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
Katika zoazoa hii ya wahadhiri unafikiri succession plan itasaidia?
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
Chuo kinaweza kuajiri mhadhiri mwingine kutoka hata nje ya nchi, lakini Rais hawezi kufanya hivyo kwa nafasi ya uwaziri. Kwahiyo hoja ya profesa haina mantiki yeyote. JPM yupo sahihi.
 
Kwani hivyo vyuo havina SUCCESSION PLAN? Haviandai watu wa kushika nafasi iwapo mmoja akiondoka aliye chini apande? Hivyo vyuo vina tabia ya one man show kwenye vitivo ?
Aisee! Naona umeiwekea capital letter kabisa kuonyesha ujuzi wa kiingereza! Sasa, kwani na serikali nayo haina hiyo uliyoiita succession plan, ili iktumbua mmoja aliye chini yake achukue nafasi?
 
KAMA ANATEUA AHAKIKISHE CHUO HUSIKA KINAMPATA MTU WA KUSHIKA NAFASI YAKE.
UNAMTEUA FULANI, UNASEMA NAFASI YAKE ITASHIKWA NA FULANI.
 
Thamani ya wasomi inashuka katika awamu hii.
Nchi inoongozwa na mwenye PHd na taasisi nyingi ziko chini ya ma-dr na maprofessa lakini bado nchi ndio inaonekana inayumba kuliko wakati wote.
 
Wana jamvi Salaam

Mhadhiri Muandamizi wa Chuo kikuu cha Dar es Salaam, Prof. Kitila Mkumbo amemshauri Mh Rais Magufuli aache kuteua Wahadhiri katika nafasi za kisiasa ama majukumu mengine kwa kuwa vyuo vikuu vimeanza kukabiliwa na uhaba wa wahadhiri baada ya wengi wao kupewa teuzi mbalimbali.

Aidha Prof Kitila amesema vyuo vikuu vilivyoathirika zaidi baada ya wengi wa wahadhiri wake kuteuliwa ni Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) na Chuo kikuu cha Dodoma (UDOM).

Chanzo: Tanzania Daima
UDOM amechukua wangapi kwani??
 
Back
Top Bottom