Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 54,127
- 43,195
Nakushauri ungejikita kwenye fani yako ya udaku kipaji chako ndiyo kipo huko siasa hauwezi, mtafute Shigongo.Salma hajaambatana nae safari hii. Naona Mkulu anaenda kukamilisha 'zamu'. Si kule Marekani kuna mtoto wa ASAS?
CC: Pasco
Last edited by a moderator: