Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

huyu jamaa anakimbia skendo ya escrow huyu....report inaonekana sio nzuri...upepo ukipoa atageuka
 
Mtakumbuka mwaka jana Mida kama hii alikuja kwa Safari iliyoitwa ya mapumziko na kucheck afya yake, na mwaka huu tena katika tarehe Zile Zile anakuja bila kubainisha anachokuja kufanya, kwa ufupi nyakati hizi ndio ambazo ibada za kifreemason huchanganya !!! Na ibada hizo huzidi baada ya sherehe kubwa ya kipagani(kishetani) ya Halloween kuwa imesherekewa ijumaa iliyopita, hivyo kuufanya mwezi mzima kuwa wa makafara na waabudu shetani kushika kasi
 
Safari za Kikwete zimesababisha Uchumi wa Taifa umepaa.
 
Siku ishirini kwa marekani kwa raisi wa nchi ni Nyingi mno , kazi gani atakayokuwa anafanya hapa!!tz kuna matatizo mangapi ya kushugurikia,rais hakai ofisini ndio maana hata watendaji wanaona upuuzi wanapiga deal zao na kuendelea na kazi zao nyingine
 
Nahisi Membe anaona anafanyiwa mchezo mchafu na bosi wake. We umeona wapi hapa duniani rais ana act kuwa Waziri wa Mambo ya Nchi za Nje na Ushirikiano wa Kimataifa at the same time anakuwa rais? Mimi ningekuwa Membe ningejiuzuru kwani anaonekana hajuwi kazi.
ana haki kuutamani urais sababu kazi yake inafanywa na bosi asipokuwa tajiri membe basi na yeye ni mzembe. Sababu muda wa kupiga mishe zake anao mwingi sana
 
Ni moja kati ya laana za Mwl. Nyerere. Mtu kagombania Tanzania iwe huru mpaka akafungwa na wakoloni, leo hii anakuja msanii kuwa rais unafikiri Nyerere huko aliko ana Raha?

Usitake kumfanya Nyerere ni mungu.Wewe unajuaje kama hata ruhusa ya kuyajua ya duniani anaipata?
 
Hebu tuache utani jamani, hii nchi ina watu wa ajabu kweli kweli. Heri laki si pesa tumemzoea lakini sasa vipi huyu hatibu juma ambaye anakataa kuamini hata picha anazowekewa hapa?
Acheni uongo kikwete yupo dar na kesho atawaaposha wakuu wa mikoa
Kumbuka wakuu wa mikoa hawaapishi pamoja na makatibu alafu kikwete jmosi anaanza ziara mkoani mbeyaa unajua tusiendekeze ujinga tukaacha mambo ya mcng yanayolikumba taifa kila kukicha kufatilia ziara hzo sio siasa.
Halafu badala ya kuwashukuru wanaojaribu kumuelewesha anakuja na utetezi huu...
Mbona kuna vyama tangu vmepewa ubunge hawajawahi kukaa majimboni n kuzungukazunguka mikoani kwenye maandamano mbona hatulalamiki jamani hiii nchi tutaiua ss wenyewe kwa kujifanya tunajua siasa kuzidi marekani maana imekuwa kero kila kukicha kulalama tu bila kutoa solution
hatibu juma, unaonaje ukikaa kimya; ukikaa kimya hakuna atakayekushangaa na kweli ulijitahidi sana hapo nyuma...miezi 32 posti 64 sawa na post mbili kila mwezi, hakuna aliyeweza kukushtukia! Huu ni ushauri tu; unaweza kuufuata au ukaupuuza, siku njema/usiku mwema.
 
Last edited by a moderator:
Ni kama Mungu ametuadhibu kutuletea huyu VDG...!

Sijui hii adhabu tutaacha kuitumikia lini ee Mungu tusamehe tulikosea

Ee Mungu lini utamchukua huyu mbayu wayu hoko huko angani
 
Huyu jamaa ashakuwa mgalatia, mbona anapenda Sana Marekani sijawahi kusikia Syria au Iran?

cc faiza Foxy
kahtaan
 
Last edited by a moderator:
Ana nyumba New York nini? Mbona safari haziishi huko? Siku 20 hotelini kwa hela ya walipa kodi ni kutuibia mchana kweupe.

Akifika huko awekwe chini ya ulinzi.
 
Back
Top Bottom