sifongo
JF-Expert Member
- Jun 5, 2011
- 4,895
- 5,308
Anamuitaje mwanaume mwenzie.
Mkuu we acha tu........Hawa jamaa sijui ni watoto wa JK wa nje ya ndoa au,mbona wanatetea sana upuuzi?
Anamuitaje mwanaume mwenzie.
Matibabu ya nini? Ebola?
Na hivi kuna nchi ambayo profesa hajawahi kufika kweli?
Sijawahi kusikia kaenda Pyongyang (North Korea) akiwa rais.....
....
Halafu hilo dali hapo juu kwenye picha ya kwanza niaje?
.....
Atibiwe mwimbili rais Wa nchi?
Ili kesho iwe matangazo magazetini kuwa rais anaumwa?
Matibabu ya nini? Ebola?
Na hivi kuna nchi ambayo profesa hajawahi kufika kweli?
Sijawahi kusikia kaenda Pyongyang (North Korea) akiwa rais.....
Hawezi tibiwa Muhimbili?
Okey dokey...nimekuelewa...
Ila Profesa kwa kweli anastahili Nobel Prize kwa kuwa Rais Profesa aliyetembea kila kona ya dunia hii.
Hivi 'frequent flyer' yake itakuwaje huyu Profesa? Unaweza kuta anasafiri bure ati...maana mileage ya Profesa siyo mchezo.
Pyongyang alikwendaga kwenye mafunzo..Enzi akiwa mjeda na kada 80 's early
Hospitali zetu wamezitelekeza hazina vifaa vya kileo, hazina madawa sasa wote wanazikimbia. Kuangaliwa afya zao au kutibiwa ni lazima waende US, moja ya EU countries hasa UK/Ujerumani au India.
Mkuu,kwa nini unapenda kutafutia watu ban??. shenzy type kabisa!!
Profesaaaa...
![]()
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari pamoja na
wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo
Novemba 6, 2014
![]()
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meneja wa Emirates katika
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege
ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
PICHA NA IKULU[/QUOTE
Siku marubani wakigoma kusafirisha abiria huyu jamaa ataugua maana ana allergy na maisha ya nchikavu. Amezoea maisha ya angani kama Mbayuwayu na popo.
Mwache akanunue suti na mkufu. Halafu siku marubani wakigoma kusafirisha abiria huyu jamaa ataugua maana ashazoea kuwa angani kama popo na mbayuwayu.![]()
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akiagana na askari pamoja na
wafanyakazi katika uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere
kabla ya kupanda ndege ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo
Novemba 6, 2014
![]()
Rais Profesa Jakaya Mrisho Kikwete akisindikizwa na Mkuu wa Mkoa
wa Dar es salaam Mhe Said Meck Sadik na Meneja wa Emirates katika
uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere kabla ya kupanda ndege
ya shirika la Emirates kuelekea Marekani leo Novemba 6, 2014
PICHA NA IKULU
Wewe ni 0 kabisa. Huyu 0 mwenzako anaenda kutafuta misaada kutoka kwa nani wakati nchi wahisani wameshakataa kutoa misaada mpaka CCM warudishe zile Billion 250 za IPTL walizotafuna kwa ajili ya kuibia kura mwakani.Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji
Wewe unapata manufaa Lumumba si wanakulipa buku 7Safari za Kikwete zina manufaa sana.kwa Taifa
Wewe unapata manufaa Lumumba si wanakulipa buku 7Safari za Kikwete zina manufaa sana.kwa Taifa
Mazishi kwa Rais wa Zambia ataenda VP wetu lkn angekuwa kafa Rais wa Ulaya angeenda JK mwenyewe!
Katiba mpya itaje safari za Rais kwa mwaka la sivyo kuna hatari ya kuja kumpata JK mwingine hapo baadae!
Muhimbili hawapati dawa toka bohari kuu sababu hakuna hela za kununua madawa lkn JK na msafara mkubwa wapo USA wakitumia zaidi ya Tsh Milion 300 kwa siku!!
JK ni janga la kitaifa