Hivi hizi ziara huwa wabunge hawana mamlaka ya kuhoji bungeni juu ya hizi safari?
safari njema rais wetu MUNGU awaagizie malaika wake wakulinda na ufike salama
Si angeunganisha hukohuko China afanye check up au wachina ni fake mkuu anaogopa watamcheki kifakefake
Anaenda kutafuta wa kukarabati hiyo ceiling board iliyotoboka hapo juu
mbona wewe huendi kulala kama mlikesha wote?Mkuu kalale,pole na uchovu wa kukeshea uzi.
halafa camera nazo zimeshindwa hata kuficha kidogo?Duh watu wafukunyungu hadi mmeiona hiyo suspended ceiling iliyoharibika lakini ukweli wa mambo ni kuwa inaakisi utamaduni tulionao wa kutajali kufanya marekebisho (repair & maintanance) na hapo utakuta yupo mwajiriwa kwa kazi hiyo ila hakuna anachofanya ni fedheha kwa kweli
Ameitwa na Obama.
Ee Mungu lini utamchukua huyu mbayu wayu hoko huko angani
safari njema rais wetu MUNGU awaagizie malaika wake wakulinda na ufike salama
Ni kama Mungu ametuadhibu kutuletea huyu VDG...!
Sijui hii adhabu tutaacha kuitumikia lini ee Mungu tusamehe tulikosea
halafa camera nazo zimeshindwa hata kuficha kidogo?
Hivi hizi ziara huwa wabunge hawana mamlaka ya kuhoji bungeni juu ya hizi safari?