Prof. Kikwete aenda Marekani

Prof. Kikwete aenda Marekani

Ile ndege ambayo Mramba alikuwa radhi tule majani ili inunuliwe iko gereji au!!
Siku ishirini Kikwete atatumia zaidi ya milioni mia moja kwa matanuzi!!
Million 100? Au una maanisha billion 100? Maana 100m ana ikata within few hrs.
 
Kila mara Waisraeli walipomkosea Mungu alikuwa anawapa Adhabu kali kwa kuwaweka chini ya itawala ambao unawatesa,na Mungu alikuwa anaweza waweka chini ya utawala kandamizi hata kwa miaka Arobaini.Nadhani pia watanzania tulimkosea Mungu kwa madhambi mengi tutendayo,adhabu yetu tuliyopewa na kuletewa huyu mtu Le Professeri ili tutubu na kumrudia Mungu.Atuepushe na utawala wa Style ya Le Professeri
 
Mbona marais kama Museveni na Kenyata hawana safari kama za huyu professor? kweli Tz tuna maprof wa ajabuajabu!
 
Kuzurura dunia nzima ndiko kulikompatia Uprofesa.Nyinyi mtasoma wee na Uprofu hamtaupata,mwenzenu JK kiulani tu kaupata!
 
Hospitali zetu wamezitelekeza hazina vifaa vya kileo, hazina madawa sasa wote wanazikimbia. Kuangaliwa afya zao au kutibiwa ni lazima waende US, moja ya EU countries hasa UK/Ujerumani au India.

Si angeunganisha hukohuko China afanye check up au wachina ni fake mkuu anaogopa watamcheki kifakefake
 
Ndege ya rais ya bilioni 40 ina matatizo?
Kwa hiyo ndo siku 20 hivyo!
Huyu rais ana matatizo kwelikweli...sijui tuliletewa na nani!!!!

Mkuu umesahau?huyu ni tumeletewa na Mungu au haukumbuki wale wanaojiitaga watu wa mungu waliposema huyu mtu ni chaguo la Mungu?
 
Zinapotea ndege zilizobeba watu wema na wenye manufaa then wanazopanda akina kikwete hazipotei dah
 
Si angeunganisha hukohuko China afanye check up au wachina ni fake mkuu anaogopa watamcheki kifakefake

Marekani ndio nchi pekee ambayo mkuu wa nchi au Rais ye yote anaweza kuingia kwa shughuli binafsi (mapumziko, biashara, matibabu, nk) na kukaa hata mwaka mzima bila kuwepo protokali yo yote ya kiserikali (na wakati mwingine hata WH ya Obama bila kujua wala kujali yuko wapi). Kwa hivyo inakuwa rahisi sana kuwazuga wananchi wake kama anataka kuficha shughuli yake ya binafsi - Rais amekwenda mapumzikoni Marekani. Basi, na wananchi kama WaTz waliozoeshwa ombaomba ni kitu cha hadhi huko nyuma wanabaki wanashangilia kuwa Rais wao yuko Marekani kwenda kuwaombea misaada! Angekwenda India au China au Russia 9(by the way Putin anawasili lini?) kwa kisingizio cha mapumziko, isingechukua muda kila mtu angejua amekwenda hospitali ya Appolo!!
 
Mpiga pasi nguo za kikwete asipojenga kwenye utawala wa kikwete hatajenga tena.Maana Per Diem zipo za kutosha.
 
Safari za Kikwete zimesababisha Uchumi wa Taifa umepaa.

"Siku moja akitokea kiongoziwa Taifa letu akatuambia huko nje kuna hela nyingi kuliko nyumbani mwambieni wewe ni MPUMBAVU"-Mwl.J.K Nyerere.

Hivyo ulitakiwa kumwambia maneno hayo huyo jamaa yako Prof wa KICHINA.
 
Akirudi atawahutubia wazee wa darisalama........kichefu chefu sana huyu Prof Msafiri
 
Akirudi atawahutubia wazee wa darisalama........kichefu chefu sana huyu Prof Msafiri

Kwanini asikae huko amalize mambo yake kwenye hayo mataifa arudi mwakani hata october wakati tunaelekea kwenye uchaguzi mkuu?
 
Back
Top Bottom