Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji
Wameapishwa tayari leo mzee wangu!Acheni uongo kikwete yupo dar na kesho atawaaposha wakuu wa mikoa
Hilo dari linahakisi use wa airport yetu ya Julius Nyerere!Siku hizi haitwi tena Dkt?
Halafu hilo dali hapo juu kwenye picha ya kwanza niaje?
Anaenda Marekani kufanya nini? Kuhudhuria tamasha la Jay Z, Beyonce, na Blue Ivy?
Acheni uongo kikwete yupo dar na kesho atawaaposha wakuu wa mikoa
Ebu nitajie hata nchi moja yenye maendeleo kwa ziara za Rais?
Kumbuka wakuu wa mikoa hawaapishi pamoja na makatibu alafu kikwete jmosi anaanza ziara mkoani mbeyaa unajua tusiendekeze ujinga tukaacha mambo ya mcng yanayolikumba taifa kila kukicha kufatilia ziara hzo sio siasa.
Safari za Kikwete zina manufaa sana.kwa Taifa
Mwache akatutafutie misaada pamoja na wawekezaji