Victoire
JF-Expert Member
- Jul 4, 2008
- 24,141
- 56,601
Dawa ni za kununua. Itakuwa hawakuwa na mkwanja.Sampuli tu unatuma ndege, mbona ni matumizi mabaya ya pesa za watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Dawa ni za kununua. Itakuwa hawakuwa na mkwanja.Sampuli tu unatuma ndege, mbona ni matumizi mabaya ya pesa za watanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Atkuwa kachukua box lake mapema maana kwa box zile 13 hana chake pale zote zinaenda CHATTLE.Kabudi mwenyewe alikuwa hana uhakika wa kupata ya kunywa akanywa kabisa...
Sisi ni Taifa la masihara ..kila kona
Afu wanataka tuzidi kuwaombea pia!
Negativity brainYaani ulitarajia waende wizara ya afya kwani umesikia mzigo ni wa wizara ya afya ule?
Mzigo unaenda Chato ule jombaa!!
Yaani Jiwe atoe ndege yake hadi Madagascar kufuata kikombe halafu awape nyie kabla hajahakikisha umeshatosheleza Chato?
Kule kwa wajomba zangu wangekuambia ".. kalaghabao...!"
Sijui matokeo ya vipimo vya sampuli zikibani ukitumia Madagascar African Magic Covid Medicine inapofusha macho baada ya miezi miwili atamlilia nani bila tashwishwi.Na ameona bora anywe sampuli kabisa hata kabla ya huo anaouita uchunguzi..
Yaan unamlaumu Kabudi vile umemuona tu kwenye picha?Juzi Kabudi aliiongoza ujumbe uliofuata dawa nchini Madagascar kwa ndege yetu. Inasemekana zimeletwa maboksi 13 zikiwemo dawa za aina mbili. Hapo hapo tukaonyeshwa akijaribisha kwa kunywa na pale tukaona chupa mbili. Jana ameongea na vyombo vya habari na pia tukaonyeshwa walioshiriki akiwemo Mganga Mkuu wa Serikali...
Wewe mwenye positivity brain jibu maswali yafuatayo...negativity brain
Siku hizi sample ni miksi kwa miboksi... sample za utafiti ja kujaa kisoda hazitoshiProf Kabudi aseme ukweli kuwa wamepigwa mikwara na wazungu, hii dawa ilikuwa kwaajili ya matumizi ya watanzania na walichukua cotton za kutosha.
Watu wanashindwa kucheza beat moja na wazungu... Hii dunia ina wenyewe hii
Kweli kabisa Mkuu. Angeweka wazi tu kwamba imeletwa kwa kazi maalum kwa watu maalum. Kwani hata ndege iliyokwenda kuchukuwa huko ni ya Rais na siyo ile ya ATCL. Na hata yeye siyo Waziri wa Afya. Tumsubiri Dada yetu wa Wizara ya Afya nae aruke na ndege ya ATCL kutuchukulia mzigo wetu.Nilisema mimi, amekunywa dawa za mwenye dawa zake akidhani ni Vimto. Ila sasa kama zililetwa kwa ajili ya utafiti ilikuwaje yeye akafungua chupa na kuanza kuinywa hadharani?
Hivi hawa majamaa yameshawaoneni kwamba Watanzania ni maamuma sana au?
Yeye ndiyo Tester Mkuu. Utafiti unaanzia hapo.Kama utafiti haujafanyika aliwezaje kunywa tena hadharani?
Nani kamruhusu Kabudi kunywa??ni sahihi kwa wataalam.wa bongo kuifanyia utafiti na kama wakiona inafaa ndo waanze kuiruhusu itumike sizani km sahihi kuiamini madagasca moja kw moja bora wajilizishe kwanza ....
Wa kudanganyana na kuonana WAJINGA. We mungu tuonee huruma waja wako🤣 🤣 🤣 mwanzo mzuri wa kufanyaje??