johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
- Thread starter
- #181
Fedha walitoa wenyewe.Kwa nini tulichukua hela zao..?....Kuwa mkali haisaidii
Ndio maana hawatuulizi sisi bali wanaulizana wao kwa wao!
Fedha walitoa wenyewe.Kwa nini tulichukua hela zao..?....Kuwa mkali haisaidii
😂😂 ukiona ARVs zimekata,Nashauri wasitishe msaada wa ARV!Yaani tuanze kununua ARV kama tunavyonunua madawa ya Cancer,patamu hapo!!!!
Alishatangulia.Prof. D. Mwaga ilikuaje ? Mwl wangu huyu
Na ambao tayari wako kwenye guest list vipi?😂😂 ukiona ARVs zimekata,
hata raia tutajichunga na ngono zembe na ndio itakuwa dawa tosha 😂😂
Maana kwa sasa raia wanadungana tu wakijua watakunywa ARVs 😂😂
Tunachotaka ni demokrasia, utawala Bora na kuheshimiwa haki zetu, ambazo Serikali imeziridhia na kuzikubali Kwa maandishi.Kwa hiyo nyie Chadema mpo tiari kuyumbishwa na kupoteza heshima yenu kwa sababu ya vitisho vya kunyimwa misaada.
Hivi wewe ni msomi?Kwa hiyo nyie Chadema mpo tiari kuyumbishwa na kupoteza heshima yenu kwa sababu ya vitisho vya kunyimwa misaada.
Nchi yetu inajiweza, tutanunua tu, alafu ndipo uozo wao wa kupandikiza magonjwa kwa mtu mweusi ili watimize adhima zao za kuiumiza Africa ndipo utajulikana sasa hadharani na dunia italijua hilo 😂😂Ngoja wapige BAN dawa za Ukimwi tu kwa miezi japo 6 tu...Tutaheshimiana!
Hahaha mjinga sana,Alikuwa anawajibu nyie wa mitandaoni
watakunywa dawa ya mitishamba aka kikombe cha Babu Loliondoooo,Na ambao tayari wako kwenye guest list vipi?
Jidanganyeni!watakunywa dawa ya mitishamba aka kikombe cha Babu Loliondoooo,
na NIMR pia wanadawa mbadala
Alimwambia hiyo takataka ya jalalani kuwa awe anatembea na mwamvuli.Prof. D. Mwaga ilikuaje ? Mwl wangu huyu
Ivi kwnn unashadadia pesa usizojijua zilipatikanaje kwa hao Wazungu?Jidanganyeni!
Nakufunga wapinzaniHahahaha
Sovereign state ya kuua raia na kuiba kura!?
Well, thats look not sovereign to me....and you have to pay by these killings!