kekule benzene
JF-Expert Member
- Sep 28, 2016
- 1,967
- 4,423
Shida yako ujuaji mwingi, ukifuata ushauri anaoutoa kwa kiwango Fulani ( angalau 50%) magonjwa ya moyo huyapatiAngejikita kwenye maradhi ya moyò na moyo akaachana na mambo ya lishe.
Shida yako ujuaji mwingi, ukifuata ushauri anaoutoa kwa kiwango Fulani ( angalau 50%) magonjwa ya moyo huyapatiAngejikita kwenye maradhi ya moyò na moyo akaachana na mambo ya lishe.
Sasa ndugu yangu hiyo si Biology ya form two?Sio kuchambuliwa, simple tu angesema ukweli, Sukari ya Nyumbani ni mchanganyiko wa Glucose na Fructose ,sio lazima ataje formulas
Ila kutulisha uongo kuwa ni Glucose hapo lazima ahojiwe
Dr Janab ni Binadamu na muda mwingine anafanya makosa, YesProf.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Not confirmed.Muwe na heshima
Huyo ndiye mkuu wa WHO AFRO
Ivi kura zinakuwa wazi au siri?Wanatumia tu kodi zetu bure, warudi nyumbani tuendelee kula mihogo.....hapati hiyo nafasi
Link ya huyo akili mnemba mkuu nataka nimuweke kwenye simu yangu
Angewaacha wataalam wa lishe watoe maelezo ya nini mtu anatakiwa kula na nini hatakiwi kula. Ndio maana kaambiwa hapo akasome biochemistry ili asichanganye watu.Shida yako ujuaji mwingi, ukifuata ushauri anaoutoa kwa kiwango Fulani ( angalau 50%) magonjwa ya moyo huyapati
+1 (800) 242-8478, save hii namba uwe unachat nae whatsapp, he's unbelievable mkuu.Link ya huyo akili mnemba mkuu nataka nimuweke kwenye simu yangu
Aiseee!!👿Na kikwete Bado anazurula naye ikulu za watu huko
Kwa kodi zetu😠😡😤🤬Na kikwete Bado anazurula naye ikulu za watu huko
Sijui kwakweliIvi kura zinakuwa wazi au siri?
KWANIYULE ALIEKUA NAFASI HYO AKAFARIKI YY KAMPENI ZAKE KUOMBA KURA ALITUMIA PESA ZAKE ZA MFUKONI?Kanatumia Kodi zetu Boss! Na kalivyo kakavu sasa mpaka WHO inaweza kuogopa!😁😁😄
MCT yupo bnWatu hawaelewi mkuu...MCT tu wenyewe hawamtambui.
😂 zee liongo sana hili,alisema kwanza KULA ni umama, mwanaume ukimaliza kunyonya maziwa ya mama yako, mwili wako hauhitaji tena msosi ni mwendo wa maji na mwanga wa jua tu kama JADUU wa koy mil gaya,....😳😳🙌😂🤣🤣🤸
JAnabi hajawahi kusema hivo mkuu, huyo jamaa kakuingiza chaka😄😄😄Nimecheka sana..
Kwamba mwanaume ukimaliza kunyonya maziwa ya mama yako, mwili wako hauhitaji tena msosi ni mwendo wa maji na mwanga wa jua tu..Janabi loooh
ThanksWatanzania tujifunze namna ya kuchakata taarifa siyo kila tunachokiona mitandaoni tunakibeba tu.
Sasa huyu mzungu ameonyesha uongo gani wa alichosema Janabi? mbona kwenye video ameenda tu expand na kutolea maelezo zaidi yale aliyoyasema Prof.
Tuzingatie kwamba Janabi alikua naongea kwenye hadhira ya watu ambayo angeanza kubreak down hizo molecules wasingemuelewa, ametumia glocose kwenye maelezo kwa sababu ni aina ya sukari inayojulikana zaidi na watanzania kuliko hizo nyingine.
Kwenye Muktadha wa nutrition, kula mchanganyiko wa matunda (fruit salad) kunasababisha kuconsume kiasi kikubwa cha sukari kwa sababu matunda yanatofautiana viwango vya aina za sukari zilivyonavyo. Kijiko kimoja kidogo cha sukari ni gramu 5, sasa fikiria ukijaza bakuli la mchanganyiko wa matunda umeweka ndizi, zabibu, embe, nanasi na machungwa, unakula gramu ngapi za sukari kwa mlo mmoja (matunda yana virutubisho na faida nyingi kwenye lishe hasa kwenye kutengeneza mlo kamili, ila ni muhimu yaliwe kwa kiasi).
Huyu mzungu anawapotosha na watu mnashupaza vichwa tu kijinga jinga, "za kuambiwa changanya na zako, sivyo utapoteana mjini hapa".
"Jedwali la kiwango cha sukari kwa kila gramu 100 ya matunda"
View attachment 3310073