Prof Janabi awekwa mtu kati

Prof Janabi awekwa mtu kati

Wewe unataka mtu achambuliwe yale ma bond then itaongeza Nini akijua..?
Sio kuchambuliwa, simple tu angesema ukweli, Sukari ya Nyumbani ni mchanganyiko wa Glucose na Fructose ,sio lazima ataje formulas

Ila kutulisha uongo kuwa ni Glucose hapo lazima ahojiwe
 
Ningetamani sana kama Janabi angejibu uongo wake kwa maelezo kama hayo ya huyo jamaa.

Mi najiuliza kwanini wana mnadi Afrika nzima? Akishinda tunapata faida gani, kuna upigaji au kujipendelea ?

Na gharama za kumzungusha Afrika nzima zinatoka mfuko gani nchi hii? ni zake binafsi au za umaa?

CAG atueleze mwakani tulitumia Bilioni ngapi kumnadi Janabi Afrika na tumepata faida gani au hasara kiasi gani.
Mi najiuliza kwanini wana mnadi Afrika nzima? Akishinda tunapata faida gani, kuna upigaji au kujipendelea ?--Faida zipo nyiingi yaani akiajiriwa Hapo mshahara wake wakutupwa, familia Yake nzima inakula mema ya nchi,ana weza kuajiri Watu wengine hio idara yaani Mkurugenzi ni cheo kipana Sana tunaweza tusimalize hapa faida

Na gharama za kumzungusha Afrika nzima zinatoka mfuko gani nchi hii? ni zake binafsi au za umaa--Fedha ni zako ww na mm
 
Sio kuchambuliwa, simple tu angesema ukweli, Sukari ya Nyumbani ni mchanganyiko wa Glucose na Fructose ,sio lazima ataje formulas

Ila kutulisha uongo kuwa ni Glucose hapo lazima ahojiwe
Matango yapo wapi hapo mkuu...
Alafu kitu hujui ni kwamba mwenzako ni prof achana na hyo jamaa ana mda mrefu katika hiyo fani anajua anachosema hvi kweli hilo la glucose ndo la kukamia hvi as if kasahau mkasi tumboni kwa mtu
 
Matango yapo wapi hapo mkuu...
Alafu kitu hujui ni kwamba mwenzako ni prof achana na hyo jamaa ana mda mrefu katika hiyo fani anajua anachosema hvi kweli hilo la glucose ndo la kukamia hvi as if kasahau mkasi tumboni kwa mtu
Tanzania tuna ma professor wapumbavu wengi tu
 
Fursa zipi? Nchi itafaidikaje? Kulinganisha na hizo pesa za kupigia kampeni???
Fursa nyiingi mamaaa mfano kuweza kuajiriwa wabongo international kwa ticket Yake Simu moja Tu,kuboresha huduma za afya...ngazi ya Nchii anakuwa na connection na ma nchi meeng Africa, kuboresha afya za mamilioni...Pesa za kampeni Hapo cjui ila mshahara wake ni mnene million 100+,Mkewe analipwa Nusu Yake ,watoto wanasomeshwa n.k(Yaani kama rais hivi) maana anakuwa Mkurugenzi WA WHO Africa
 
Fursa nyiingi mamaaa mfano kuweza kuajiriwa wabongo international kwa ticket Yake Simu moja Tu,kuboresha huduma za afya...ngazi ya Nchii anakuwa na connection na ma nchi meeng Africa, kuboresha afya za mamilioni...Pesa za kampeni Hapo cjui ila mshahara wake ni mnene million 100+,Mkewe analipwa Nusu Yake ,watoto wanasomeshwa n.k(Yaani kama rais hivi) maana anakuwa Mkurugenzi WA WHO Africa
Kwamba akipata nafasi atapiga simu mtu wa kawaida aajiriwe??? Ikitokea hivo wataajiriwa watoto wa vigogo..... Ukizingatia born town ndo kampeni meneja jua tu hapo ni maslahi binafsi.

Huo uchu walionao sio wa kawaida
 
Nilipoiona hiyo clip week iliyopita nikaitupia kwenye group la nadaktari ambalo Prof. Janabi yumo, jamaa zake janabi walicheka sana.

Maana prof huwa akitoka kutoa hayo masomo yake ya usinywe juice glass mbili utamaliza shamba la matunda huwa wanacheka sana, na huwa wanamtania.

Ingawa prof naye huwa anachemka sana, maana hata ukinywa 2ltrs za juice ya embe bado mwili utachukua kiasi chake kidogo na inayobaki inatupwa nje.
 
Prof yuko sahihi sana mwisho wa yote baada ya hizo sukari alizosema mzungu kuvunjwa moja ya zao ni glucose, ambayo hii sasa ndio huleta hayo matatizo ya kiafya kulingana na changamoto mbalimbali za mtu
Msisahau hata asali ina glucose
Hiyo 'basic biochemistry kabisa ambayo hata mhitimu wa kidato cha nne anaweza nga'mua,
Nyinyi si mlitest glucose kwa kuweka HCL kwenye mixture hapa lengo lilikuwa kupita na double sugar sio ili mpate brick red ppt?
 
alisema kwanza KULA ni umama, mwanaume ukimaliza kunyonya maziwa ya mama yako, mwili wako hauhitaji tena msosi ni mwendo wa maji na mwanga wa jua tu kama JADUU wa koy mil gaya,....😳😳🙌😂🤣🤣🤸
Hajui bio chemistry yule mzee, anawambia watu wanywe kijiko kimoja cha ujii😂, wakati mtu mume, anatakiwa ale calories si chini ya 2700 Sasa pigia kijiko kimoja ninkama mls 20 ivi, si ni bangi hiyo
 
Ila Janabi ni wa kumstukia. Eti kuchanganya matunda ni vibaya. Daah
Yaani!!! Vinginevyo huko vijijini watu wangeangamia sana, maana huko unakuta mtu anaamka na ndizi, haijakaa sawa anatandika embe tatu, mara unamuona anachakata papai Kisha anajituliza na muwa. Lakini hutosikia amedhurika. Sasa hii habari ya kwamba kuchanganya matunda ni vibaya.... Loooh!
 
Mwafrika anavyo jichukia ni balaa hasa akiona mafanikio ya mwenzake.
Huyo mzungu zuzu hana lolote ajuwayo. Hapa mjadala ulikua juu ya madhara ya sukari kwa mwili wa binaadamu na sio kemia ya sukari
 
Prof.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Dr Janabi amepata maadui wengi sijui kwa nini

Swala la kuchanganga concepts ni swala la kawaida tu, hilo halihitaji utaalamu kwani ni NUTRITION ya form two au BIOCHEMISTRY ya form five ( so hapo hamna cha utaalamu wa Biochemistry kama mnavyomsifu jamaa.

Pia kwenye swala la kuchanganya vyakula baadhi na kutokuchanganya huenda isiwe makubaliano ya wataalamu ila research na baadhi ya wataalamu wanakubali

Kwenye mambo ya ulaji Kuna variation sana kwa wataalamu

Ndio maana Kuna wataalamu wanasapoti
1. Ketogenic diet ( protein rich foods)
2. Plants based food
3. Mixture
4. Blood group based nk

Hizo challenges ni za kawaida, na mtu akifuata hivyo lazima afya ikae vizuri kwa kupunguza overall intake ya sukari

Japo changamoto ni complication tu kwenye ulaji
 
Prof.Janabi akiambiwa uongo wake na Mkali wa Bio-Chemistry View attachment 3309840
Chatgpt ameichambua hyo video na huu ndo mtazamo wake.
1000033172.jpg
 
alisema kwanza KULA ni umama, mwanaume ukimaliza kunyonya maziwa ya mama yako, mwili wako hauhitaji tena msosi ni mwendo wa maji na mwanga wa jua tu kama JADUU wa koy mil gaya,....😳😳🙌😂🤣🤣🤸
😄😄😄Nimecheka sana..
Kwamba mwanaume ukimaliza kunyonya maziwa ya mama yako, mwili wako hauhitaji tena msosi ni mwendo wa maji na mwanga wa jua tu..Janabi loooh
 
Back
Top Bottom