FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 91,909
- 107,196
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hebu tuondolee uajuza wako hapa !!!! Hivi magufuli nae ni al-queda tena kama mkwere?Uislam hauna kujifanyisha, amma Muislam amma ka.firi. Black or White, no gray shades.
Uhuni wao haushindani na wa Padri Daktari wa kanoni Dr.W.Slaa aliyekiuka kanuni zote alizosomeshwa na kanisa!
Mke wa Prof ni mchaga na ni mkristu mkatoliki kwa dini..
Ishu ni kwamba yeye ni Answarisuna na ameoa na anaishi na ------!!!
kudadadeki lipumba funiko,nadhani katika wanasiasa wa tanzania lipumba anaongoza kwa mke mzuri
r u really a great thinker??
Lazima itakuwa made in Tanga. Kwahili natangaza kumpigia prof. Lipumba kura ya NDIYO
hii sura na rangi kichaga hata mtu akitoka usingizini anajua
kuwa huyu si mdigo wala msambaa
Uislam hauna kujifanyisha, amma Muislam amma ka.firi. Black or White, no gray shades.
Uhuni wao haushindani na wa Padri Daktari wa kanoni Dr.W.Slaa aliyekiuka kanuni zote alizosomeshwa na kanisa!
kudadadeki lipumba funiko,nadhani katika wanasiasa wa tanzania lipumba anaongoza kwa mke mzuri
Mtoto wa kiume kutaka kujua mambo ya ndani ya mwanaume mwenzako inaleta ukakasi sana... ChakulaWadau amani kwenu,
Ninafahamu vyema swala la Privacy na personal affairs, lakini ukishakuwa public figure basi wananchi tuna Haki ya kufahamu maisha yako.
Mimi nimevumilia kwa muda mrefu lakini leo nimeona niwaulize wadau maana JF ni jungu kuu.
Huyu baba kusema ukweli tangu nimfahamu sijawahi hata siku moja kumuona na mwanamke wala kuambiwa huyu ni mtoto wa Lipumba.
Hata kwenye viwanja vya watoto wa mjini baba huyu sijawahi kumuona huwa nawaona mawaziri na viongozi waandamizi tu wakijiachia na totoz.
Hivyo basi mwenye taarifa sahihi za baba huyu ni vyema akitujuza maana kwenye Mkasi wa Salama J hawajawahi kumuita.
Hata kwenye maktaba yangu nikiangalia sioni picha yoyote hata akiserebuka na ke bali nyingi anakuwa amewakumbatia wanaume wenzake tu.
Nitafurahi nikipata taarifa kutoka kwa Mzee Mohammed Saidi katika uzi huu.
Haya tiririka.......
Sawa miye chakula,, sasa huyo mlaji mwenyewe ana uwezo wa kula hicho chakula? Swali linabaki palepale.Mtoto wa kiume kutaka kujua mambo ya ndani ya mwanaume mwenzako inaleta ukakasi sana... Chakula