Pro-Hillary leo wako wapi?

Pro-Hillary leo wako wapi?

Nyani Ngabu

Platinum Member
Joined
May 15, 2006
Posts
98,145
Reaction score
143,764
Teh teh teh....mbona wale pro-Hillary walokuwa wanashangalia opinion polls pamoja na 'ushindi' wa Hillary kwenye debates leo siwaoni humu?

Manake walikuwa na ngebe kama wale wapenzi wa Golden State Warriors Raimundo lakini leo kimyaaaaaa.

Trump ni kama Cleveland Cavaliers....against all odds kaishangaza dunia😀😀😀.

Watu walivyokuwa wanaziamini opinion polls utadhani uchaguzi huwa unafanyika kwa hizo polls.

Somo la huu uchaguzi:

1] Upendeleo wa waziwazi wa vyombo vya habari ni mbaya sana. Unaweza ukatengeneza backlash.

2] Opinion polls si lolote si chochote. Ziamini at your own risk.

3] Kushinda debates si kushinda uchaguzi. Niliseme hili mara ngapi?

4] Trump kawashikisha adabu wengi kwa kutumia nguvu ya umma

5] Wamarekani mara nyingi huwa hawatoi mihula mitatu kwa chama kimoja. Hili nalo niliseme mara ngapi?
 
Donald+Trump+Donald+Trump+Campaigns+Raleigh+jCIraucjQTQl.jpg
 
Teh teh teh....mbona wale pro-Hillary walokuwa wanashangalia opinion polls pamoja na 'ushindi' wa Hillary kwenye debates leo siwaoni humu?

Manake walikuwa na ngebe kama wale wapenzi wa Golden State Warriors Raimundo lakini leo kimyaaaaaa.

Trump ni kama Cleveland Cavaliers....against all odds kaishangaza dunia😀😀😀.

Watu walivyokuwa wanaziamini opinion polls utadhani uchaguzi huwa unafanyika kwa hizo polls.

Somo la huu uchaguzi:

1] Upendeleo wa waziwazi wa vyombo vya habari ni mbaya sana. Unaweza ukatengeneza backlash.

2] Opinion polls si lolote si chochote. Ziamini at your own risk.

3] Kushinda debates si kushinda uchaguzi. Niliseme hili mara ngapi?

4] Trump kawashikisha adabu wengi kwa kutumia nguvu ya umma

5] Wamarekani mara nyingi huwa hawatoi mihula mitatu kwa chama kimoja. Hili nalo niliseme mara ngapi?

mkuu nakudai pesa mbona unakimbia?
 
Ingekua Tz pro Hillary wangesema kura zimeibwa. Ila kwavile ni kule democracy ilipozaliwa, wamebaki wamenyeshewa mvua.

Viva Trump
Viva Putin
Viva Rodrigo
Viva Kim
Viva Magufuli


Heheeee
 
Teh teh teh....mbona wale pro-Hillary walokuwa wanashangalia opinion polls pamoja na 'ushindi' wa Hillary kwenye debates leo siwaoni humu?

Manake walikuwa na ngebe kama wale wapenzi wa Golden State Warriors Raimundo lakini leo kimyaaaaaa.

Trump ni kama Cleveland Cavaliers....against all odds kaishangaza dunia😀😀😀.

Watu walivyokuwa wanaziamini opinion polls utadhani uchaguzi huwa unafanyika kwa hizo polls.

Somo la huu uchaguzi:

1] Upendeleo wa waziwazi wa vyombo vya habari ni mbaya sana. Unaweza ukatengeneza backlash.

2] Opinion polls si lolote si chochote. Ziamini at your own risk.

3] Kushinda debates si kushinda uchaguzi. Niliseme hili mara ngapi?

4] Trump kawashikisha adabu wengi kwa kutumia nguvu ya umma

5] Wamarekani mara nyingi huwa hawatoi mihula mitatu kwa chama kimoja. Hili nalo niliseme mara ngapi?

Mkuu, hapo kwenye rangi nyekundu:

Kwa kweli BBC nimewadharau sana kupitia uchaguzi huu wa USA kwa jinsi walivyokuwa PARTIAL!
Salimu Kikeke, Zuhura Yunus, nk. nadhani kwa sasa mnaomboleza pamoja na bibi yenu. Hadhi ya BBC mmeishusha sana to negative plane kwa upendeleo wa wazi na wa kijinga mkasahau kwamba wasikilizaji wenu ni mashabiki wa wagombea wote! Shame on you BBC, your credibility has been reduced to negative!
 
Watoto wabibi wamekimbia janzi.
Leo nimeongeza one more joint kwa ajili ya baba Mkubwa Trump.
 
usiwe unaahidi kahuwezi timiza, nakusamee na kukupa hio pesa kama msaada...........
[emoji102] [emoji102] [emoji87] [emoji144] [emoji144] [emoji144] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Ingekua Tz pro Hillary wangesema kura zimeibwa. Ila kwavile ni kule democracy ilipozaliwa, wamebaki wamenyeshewa mvua.

Viva Trump
Viva Putin
Viva Rodrigo
Viva Kim
Viva Magufuli


Heheeee
Mtoe magufuli tafadhali hafanani na hizo level
 
Tunaambiwa Trump kashinda mbona kura hazitangazwi? Mama clinton naimani kapokwa ushindi, tunapewa maelezo ya jumla jumla, uchaguzi gani hauna waangalizi wa kimataifa.
 
Mkuu, hapo kwenye rangi nyekundu:

Kwa kweli BBC nimewadharau sana kupitia uchaguzi huu wa USA kwa jinsi walivyokuwa PARTIAL!
Salimu Kikeke, Zuhura Yunus, nk. nadhani kwa sasa mnaomboleza pamoja na bibi yenu. Hadhi ya BBC mmeishusha sana to negative plane kwa upendeleo wa wazi na wa kijinga mkasahau kwamba wasikilizaji wenu ni mashabiki wa wagombea wote! Shame on you BBC, your credibility has been reduced to negative!

Mimi nimeichukia CNN maana hiyo ndo cable network pekee ambayo nilikuwa naiona haina upendeleo wa waziwazi lakini mwaka huu wameniboa.

I am done with it.

Na nimefurahi sana wameangukia pua.

Wengine [FOX na MSNBC] wala sina ugomvi nao maana nilishaachana nao zamani sana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom