Privacy Law: Mwanaasha J. Kikwete kuwashitaki NECTA?

Kwa hiyo unaona ni bora kutumia majina kuliko namba? Mimi binafsi sioni sababu yoyote ya msingi ya kutumia majina na athari zake ndo tunaziona kwenye matokeo ya huyu binti - kejeli, kebehi, matusi, dhihaka, na mengine mengi tu.

Wangekuwa wanatumia namba haya yote huenda tusingeyajua kabisa na binti wa watu angekuwa spared na hii ridicule tunayoiona sasa.

She doesn't deserve it at all.

There's nothing private for a public figure!
 
Her poor performance clearly reflects her father's dullness for children inherit certain features from their parents. At least now we are made aware of the fact that our president's infelicitious approach to helping this country move ahead has something to do with his brain make up. Although high level of intelligence is not a pre-condition for efficient leadership, sometimes entrusting the presidency to a dull person like JK amounts to condemning the country to fail. That's why in European elections hopefuls are obliged to submit their academic credentials to electoral committees to be assessed for their academic qualities before being endorsed to contest major positions.
You are very right.Having an intelligent candidate as our president should be of most importance in our future elections......this is because most of decisions made by JK so far have always made people query his intelligence....As for his daughter..yes she might have inherited it from him but intelligence is inherited both maternally(Salma) and paternally(JK)....probability may have it that she inherited it(dullness) largely from her mother(maternal).....considering that some of JK's kids from other mothers(not salma)have had some share of academic achievements..e.g Ridhwani and Salama(who is a medical dr).I think presidents should also have smart(intelligent)wives...a dull wife can also mislead a man......Point to take:Michelle Obama is a very intelligent woman(both academically proved and also acknowledged by her man..Obama)....and she has been hand in hand with Obama in leading USA.(also before presidency).......
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Very good. Nimeipenda hii topic. Kweli right of privacy ni issue kubwa hata katika nchi zilizoendelea. Kwa mtazamo wangu, Katiba yetu ipo very vague on this Right. Kwanza hakuna definition of privacy. Tukichukua, the normal definition ni privacy, kwa kawaida ina-cover 'information about an individual'. Definition ya information ni very wide, na sio issue hapa hata kidogo. Na kwa kawaida lazima iwe information isiyoweza kuwa directly accessed by the public, kwa mfano number ya simu kwenye phonobook. Kweli ukitumia definitions zinatumika katika nchi nyingine, matokeo ya mitihani ni ‘information about an individual'. Sasa NECTA wana-practice ya miaka nenda rudi ya ku-publish results. Kwa hiyo wanaweza kusema matokeo ni argubly ‘public available information' na sio personal. Wangekuwa wanakutumia matokeo kwenye barua, kwa wewe mwenyewe kuyaona, hiyo ingekuwa private. Lakini to me, this is weak and doesnt justify their action/practice. Je wanaweza kutumia kifungu cha 30(2)? Kwa maoni yangu: hapana. Na hii ni kwa sababu katika sheria inayounda NECTA hakuna mahali popote inayowapa uwezo wa ku-publish matokeo. Unaweza kuiona hapa: The National Examinations Council of Tanzania. Hiyo ni procedure wamejiwekea wenyewe na sio sheria na ina uwezo wa kuwa challenged in court.
Pia kuna mkondo wa tort law, ambako nako ‘right to privacy' has been established and accepted in a number of jurisdictions. Sijui juu ya Tz.

But section 18(1) if the Act provides that in the performance of its duties and exercise of its powers, the Council may, with the consent of the Minister, make regulations generally for the Government, control, administration and management of the Council and for conduct of its business, and without prejudice to the generality of the foregoing, may make regulations prescribing, among others (g) the manner in which diplomas, certificates or other awards may be granted and (i) anything which may be prescribed under this Act or any matter or thing which, in the opinion of the Council, is necessary to prescribe for the furtherance of the functions and objects of the Council.

Kwa hiyo the Act grants NECTA with so much power including the making of regulations. Labda hizo Regulations which NECTA has made under Act zinasemaje?
 
Haya makelele yote ni kwa sababu ya maendeleo ya ICT ambayo bado penetration yake inashika kazi na haizuiliki ng'o! Mbona mimi matokeo yangu yalikuwa kwenye vitabu ambavyo vilikuwa kwenye ofisi za wakuu wa mikoa nchi nzima, sema access kwa kila mtu ilikuwa ni ngumu lakini leo hii hata ndani ya smartphone mambo yanajipa!!!

Hii ni changamoto bomba kwa wazembe wa elimu!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
Privacy my foot! Wanafunzi wangapi majina yao yameanikwa ije kuwa huyu mbumbumbu?!!

Hapa ulichofanya, huja address issue ya privacy. Umei dismiss. Umeihalalisha kwa sababu privacy imevunjwa kwa wote.

Hujasema kwamba lack of privacy ni nzuri au mbaya.

Ni kama vile mtu mmoja akilalamika kwamba mtoto wake kauawa katika genocide ya Rwanda halafu wewe ukaja kusema "genocide my foot, wangapi wameuawa uje kusema wewe tu"

Two wrongs don't make a right. Kitu kibaya ni kibaya tu, kikifanyika kwa mtu mmoja au wengi. Tatizo ni kile kitu nilichokisema mwanzo, wabongo wengi tunaogelea katika maji ya kukosa privacy. Hewa tunayoivuta imechafuliwa na kukosa privacy na wala hatujui hili.

Bongo si ajabu mtu kukosa concept ya personal space na kukuongelesha all up in your face!! Hatuna sense of privacy.

Wewe mtu anakaa chumba kimoja na baba na mama yake pamoja na wadogo zake watatu, chumba kimepigwa pazia upande wa pili wanalala baba na mama. Huyu by default ukimwambia kwamba matokeo ya mtihani yanatakiwa kuwa private hawezi kukuelewa.

Kwa sababu nyumbani hata baba anapomjua mama hakuna privacy. Maybe this is an extreme example, lakini ukweli ni kwamba wengi tunaishi / tumeishi katika small variations za hilo. Kwa hiyo ndiyo maana ni rahisi kusema "privacy my foot". Si utamaduni wetu!

Mtu anaoga choo cha passport size ukipita nje unamuona, leo unataka kumwambia matokeo ya mtihani yanatakiwa kuwa private atakuelewa vipi?

Ndiyo predicament yetu wabongo hii. Naona watu wanaongelea sana sheria, ni vizuri. Lakini sheria bila utamaduni tutabaki na sheria kwenye vitabu.

Kinachotakiwa hapa ni kuimarisha uchumi na kubadili utamaduni.
 
Hahahaaaa acha hizo wewe huyo ni mtoto wa prezdaa lazma aanikwe m sure angepata division one angeandikwa..kapata four ni haki yake kuandikwa...angepata vya wastan visingeanikwa...but tunaangalia vile vya kushangaza ambapo ni kufaulu kwa dvsn one na kufeli kwa kuskitsha
 
atamfunga nan? Jaman naomba niwe wakil wa hl suala nijichukulie umearufu hata kwa bure kwa mshitakiwa! Nimetoka kumaliza skul f law nimefaur vzr tu sema cna umaarufu nkachukuliwa na firm za sheria hapa tz za wachakarikaji au mafisadi pls msininyime hii chance nawaomba!
 
Wewe! ondoa mtindio wako hapa! Umelazimishwa kuandika kingereza! Uwezo wako wa akili inaonekana ni mdogo kuliko Wa huyo unaemtetea! Hapa jf hulazimishwi kutumia kingereza wala Kiswahili, lakini uashauriwa kutmia lugha ambayo utaeleweka kwa ufasaha! Unapochagua lugha gani utumie ni vema ukakumbuka kuwa jf ni house of great thinkers, watu wenye uelewa mkubwa, hivyo hutarajiwi kutuletea kingereza chako cha std 3 st kayumba!

Kwa kifupi kingereza chako kinatia kichefuchefu, mbaya zaidi nipale ambapo unajitumbukiza kujadili hoja ya kisheria ambayo kimsingi is too technical kwa uwezo wako!

Kwa kifupi huyo kilaza wako hana cause of action yoyote dhidi ya necta!


y
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha

 
Very good. Nimeipenda hii topic. Kweli right of privacy ni issue kubwa hata katika nchi zilizoendelea. Kwa mtazamo wangu, Katiba yetu ipo very vague on this Right. Kwanza hakuna definition of privacy. Tukichukua, the normal definition ni privacy, kwa kawaida ina-cover 'information about an individual'. Definition ya information ni very wide, na sio issue hapa hata kidogo. Na kwa kawaida lazima iwe information isiyoweza kuwa directly accessed by the public, kwa mfano number ya simu kwenye phonobook. Kweli ukitumia definitions zinatumika katika nchi nyingine, matokeo ya mitihani ni ‘information about an individual'. Sasa NECTA wana-practice ya miaka nenda rudi ya ku-publish results. Kwa hiyo wanaweza kusema matokeo ni argubly ‘public available information' na sio personal. Wangekuwa wanakutumia matokeo kwenye barua, kwa wewe mwenyewe kuyaona, hiyo ingekuwa private. Lakini to me, this is weak and doesnt justify their action/practice. Je wanaweza kutumia kifungu cha 30(2)? Kwa maoni yangu: hapana. Na hii ni kwa sababu katika sheria inayounda NECTA hakuna mahali popote inayowapa uwezo wa ku-publish matokeo. Unaweza kuiona hapa: The National Examinations Council of Tanzania. Hiyo ni procedure wamejiwekea wenyewe na sio sheria na ina uwezo wa kuwa challenged in court.
Pia kuna mkondo wa tort law, ambako nako ‘right to privacy' has been established and accepted in a number of jurisdictions. Sijui juu ya Tz.

Sasa kama hujui kuhusu Tanzania una-argue nini?!
 
But section 18(1) if the Act provides that in the performance of its duties and exercise of its powers, the Council may, with the consent of the Minister, make regulations generally for the Government, control, administration and management of the Council and for conduct of its business, and without prejudice to the generality of the foregoing, may make regulations prescribing, among others (g) the manner in which diplomas, certificates or other awards may be granted and (i) anything which may be prescribed under this Act or any matter or thing which, in the opinion of the Council, is necessary to prescribe for the furtherance of the functions and objects of the Council.

Kwa hiyo the Act grants NECTA with so much power including the making of regulations. Labda hizo Regulations which NECTA has made under Act zinasemaje?

Mkuu nimetafuta regulation zake sijaziona sijui zitakuwa zimeandaliw aila hazijawa published au vipi
hapo ndio tungepata wanatoa wapi power zao za kutangaza
Ila ukiangalia duties na power zao wanasema wanaweza kufanya jambo lolote ambalo liko chini ya mamlaka yao au limekuwa assigned kwao kulingana na sheria iliyoanzisha Baraza
 
  • Thanks
Reactions: EMT
mtoto mwenyewe wakati wenzie wanasoma yeye anafatili shows: cheki hapa

LIONS%2BPRESIDENT%2BFRANK%2BGOYAYI%2B%252C%2BFIRST%2BLADY%2BSALMA%2BKIKWETE%2BAND%2BMWANAASHA%2BKIKWETE%2BFOLLOWING%2BTHE%2BEVNT%2BATTENTIVELY.JPG

Edson bana hizi sasa ni chuki binafsi. Unataka kusema hata hao waliofaulu walikuwa hawaendi kwenye some entertainments? Acha bana!
 
Like a father like a daughter.

Nani aliwaambia familia ya JK wana akili nyingi kama za wengine? Yeye alichukua za mbayu wayu akachanganya na zake, alipoenda kwenye mtihani akajitahidi 'akafaulu'. Kumbukeni kwa mujibu wa NECTA aliyepata div 0 ndo kafeli, wengine woote 'wamefaulu'.
 
for your information mleta mada....unapojaza form ya necta ili ufanye mtihani ni kama unasign contract of some kind.
necta ndiyo wanaweka masharti na wewe unayakubali kwa kusign personally na kufanya mtihani. angeweka hizo pingamizi kabla ya kusign form hizo.....
lakini hata wangetumia namba tu bila majina bado tungejua tu..you know what? best student ametoka shule hiyohiyo na the div FOUR she got is a record for FEZA...and any record is aught to be known publicly.
hongera sana MwanaAsha i have my sister who got a div ZERO pt 35 shule moja ya kata huko mwishoni mwa nchi and you managed a FOUR pt 27!!!!
 
  • Thanks
Reactions: EMT
It is sad to concede that in NECTA there is no comprehensive privacy legislation. To disclose the names and results of students NECTA go against the constitution of URT . It brings bad picture to see results of other students and a daughter of President of URT being disclosed without approval from a person concern.

Of course this does not mean that right to privacy is not recognized in Tanzania. The United Republic of Tanzania (URT) Constitution of 1977 as amended form time to times defines privacy as follows:

‘…Every person is entitled to respect and protection of his person, the privacy of his own person, his family and of his matrimonial life, and respect and protection of his residence and private communications…’

Article 16(2) goes further stipulating that:
‘…For the purpose of preserving the person’s right in accordance with this Article, the state authority shall lay down legal procedures regarding the circumstances, manner and extent to which the right to privacy, security of his person, his property and residence may be encroached upon without prejudice to the provisions of this Article…’

Article 16(1) and (2) of United Republic of Tanzania Constitution of 1977 as amended from time to time provides for right to privacy. Article 16(2) of URT constitution provides for possibility of other laws to encroach the right to privacy. The said article stipulates clearly that the law maker will enact law to stipulate how privacy right may be protected, pursued or encroached by government agents.

Mytake; Mwanaasha atashitaki Necta?
:nerd:
Nawakilisha


Du! wewe si ndiye ulileta mabandiko ya elimu ya Dr Slaa hapa? Au huyo si binadamu?
Baba kuwa raisi, basi watoto wote wako juu ya sheria? Na bado yule chipukizi , anaweza zungusha kabisa yule!
 
Kwani huyo Mwanaasha ni mtoto wa Rais wa wapi? Na atashtakije wakati hajatangazwa peke yake bana? Ah! Napita tu!
 
Mimi nafikiri wengi wetu tunajibu kutokana na either chuki au tunaichukulia kisiasa (may be kwa kuwa imewekwa kwenye jukwaa la siasa na mtoa mada ameipersonalize kwa Mwanaasha) but pengine ingekuwa jukwaa la sheria tungewezaelimishana pasipo itikadi zetu.
Uko right. Hili ni suala la kisheria zaidi ya kisiasa. Wengine tunafanya assumptions tuu. Hatujui kwa nini amefeli. Anaweza akawa na genuine reason. We haven't had opportunity to hear from her. But that is not the issue anyway.

Namshkuru EMT ameweka wazi kisheria sababu zoinazopelekea hili kuwa hivi. Katika kipengele cha privacy sijaona (au ni ukilaza wangu wa sheria) sehemu inayomuexemt mwanafunzi kutokuwa na privacy. Sawa umejua nimefeli kwa jina langu so?! Unless tuseme kuwa ni for future use kama kunikashfu baadae nikiwa kiongozi mbovu (of which hata ikitumika namba, ukiwa mdadisi utanijua tu).

Kipengele cha privacy kwenye katiba kina-apply generally kwa watu wote. It is not specific. It has general application to everyone. Kama umesona humu kwenye issue ya mgomo wa madaktari kuna possible information za some patients ziliandikwa humu. Kama ni za kweli hatujui ni nani aliyezi-release. Lakini kama ni daktari then, kuna breach of privacy and the right to private life let alone the breach of medical ethics.

Hata kama NECTA wanatoa nafasi ya wanafuzni kujaza form za consent lakini wanafunzi hawa wanaelewa maana yake? Je ni kwenye maswala ya tafiti tu ndipo consent ya kijana aliye chini ya miaka 18 inatakiwa kutolewa na mzazi?
Natangulia kwa kukubali kuwa mimi ni kilaza kwenye mambo haya so naomba kuelimishwa

Sidhani kama wanaelewa. Pia sidhani kama wanaelezwa implications za kukubali matokeo yao yatangazwe kwa majina.
 
Haya makelele yote ni kwa sababu ya maendeleo ya ICT ambayo bado penetration yake inashika kazi na haizuiliki ng'o! Mbona mimi matokeo yangu yalikuwa kwenye vitabu ambavyo vilikuwa kwenye ofisi za wakuu wa mikoa nchi nzima, sema access kwa kila mtu ilikuwa ni ngumu lakini leo hii hata ndani ya smartphone mambo yanajipa!!!

Hii ni changamoto bomba kwa wazembe wa elimu!!

Of course unapoongeza access kwenye internet inabidi ujue kuwa protect the innocent.

Pia inafaa ujue kufeli mtihani hakusababishwi tu na "uzembe wa elimu". Hii ni sawa na kusema "tuweke wazi wenye HIV tujue wazinzi" wakati HIV inaweza kuambukizwa hata kwa kuchangia nyembe.

Mtu anaweza kufeli kwa sababu kaamka vibaya siku hiyo, anaumwa etc. I am not saying this is what happenned kwa huyu binti, lakini tushaona kashapewa stigma tayari.

Watu waungwana wataona hili kama tatizo, lakini kwa sababu Wabongo wengi - kwa sample space ya hapa at least- kujisumbua kufikiri vitu vipya na kubadilisha mambo ni kazi, na hatuna utamaduni wa privacy, kulielewa hili ni vigumu.

Mie actually nililifikiria hili miaka kadhaa nyuma walivyoanza kuchapisha majina kwenye mtandao. Utakuta una google jina la mbunge or some public figure, yanakuja matokeo ya mtu ya form four. Ridiculous.

I have a strong suspicion that this has a lot to do with schadenfreude, just because it has to do with Kikwete.
 
Miaka yote matokeo ya sekondari yamekuwa siyo siri. Hata kabla ya kuingizwa kwenye mtandao, mtu ulikuwa unaenda kwenye shule iliyo karibu unaomba buku la majibu unaanza kupekua. Sasa kesi hapo ni ipi? Kwa vile ni mtoto wa JK?
 
Back
Top Bottom