Inajua ni nchi ipi duniani iliyowahi tumia atomic bomb?unyama wa hali ya juu kwa kumiliki silaha ndogo ndogo tu
Inajua ni nchi ipi duniani iliyowahi tumia atomic bomb?unyama wa hali ya juu kwa kumiliki silaha ndogo ndogo tu
Meandu, ni kweli dunia inabadilika lakini Mungu habadiliki.
Hata dunia nzima ingeunda jeshi moja dhidi ya Israel haitafanikiwa.Israel itashinda tu.
Lazima ajikombe kwa mabwana zake. hana ujanja hapo.The values that unite us are more strong than the values that divide us:Nyetanyau kwa US