Prime Minister Netanyahau speech on Congress

Prime Minister Netanyahau speech on Congress

Obama kajikuta yupo peke yake.

Yeye kabakisha Miaka Miwili na Wamarekani wamemstukia Liislam Obama... kuwa ni jitu hatari kwa maslahi ya Marekani ndio maana wamemualika Kusudi Netanyahu... kumuonesha yeye si lolote kuhusu Usalama wa Israel na Marekani ni kitu Kimoja.

Netanyahu alishaidhinisha Ndege zikamalize Mitambo yote ya Irani ya Nuclear Obama akatia Kibessi kuwa ataitungua Ndege yeyote itakayokatisha anga la Iraq ambalo lipo chini yake.. Netanyahu akaagiza ma pirot waanze mazoezi ya kupita chini kwa chini hadi Marekani alipoomba utulivu kuwa ataongea na iran asimamishe huo Mpango.

Mpango ukaanza huku Obama akiacha Muda usogee ili Irani imalize Mipango ya Makombora... Sasa Mpango huo ndio upo Njiani kukamilika na Irani kesha Nunua silaha na kuzimodify sana hadi ishakuwa Tishia na Kwa marekani pia... huku Russia akichochea moto huu.

Netanyahu kaona isiwe Shida kama Obama anakwepa basi Wamarekani wa Kweli wanaihitaji zaidi Israel maana Marekani inaendeshwa na Jews sio Kenyan.

Ushindi upo Mbele Iran lazima apigwe.
 
Kile kichwa noma sana....katema nondo za haja leo....standing ovation 24
 
MEANDU

Kama waarabu wameonyesha unyama wa hali ya juu kwa kumiliki silaha ndogo ndogo tu, itakuwaje wakiwa na nuke? Netanyahu yuko sahihi sana tu. Acha wabaki kuwa human �� bomb tu, inawatosha
 
Last edited by a moderator:
Netanyahu is a John Mccain of Israel, Warmongering.
 
  • Thanks
Reactions: kui
Nyenyere

Obama kashamjibu na kumwambia hana jipya stori zake ni zile zile za kila siku ambazo ni kulaumu tu bila suluhisho kulitoa.
 
Last edited by a moderator:
hawa waisrael wanataka kuwafanya watu waamini kila kitu chao. kwani sisi tuna uhakika gani na hizo stori za moses? hizi stori zake za kila siku hana jipya na akumbuke dunia inabadilika haiwezi kuganda kila siku.

Meandu, ni kweli dunia inabadilika lakini Mungu habadiliki.
Hata dunia nzima ingeunda jeshi moja dhidi ya Israel haitafanikiwa.Israel itashinda tu.
 
ndikulonda

Obama naye kamwambie netanyau aachane na mawazo mgando yaliyopitwa na wakati. Nadhani wewe huwajui wisrael vizuri. Usipende kulazimisha kila kitu unachosoma au kuambiwa.
 
Last edited by a moderator:
ndikulonda

Kama hivyo asingeenda kuangukia marekani wamlinde dhidi ya Iran.

Bila ya usa hawa washenzi hamna kitu.

Na USA inawalinda kwa maslahi yao kwani huko ndio kuna ghala kubwa la silaha za usa nje ya ardhi yao.

Mbona hitler mmoja tu aliwavuruga kama mbwa koko.
 
Last edited by a moderator:
crabat
Hujui historia, 1981 esrael ilishambulia kinu cha iraq pekeyake bila kumhusisha us, na kutikana na us na france kutojali remarks za mosad sasa wakipoona wanampuuza akamshughulikia sasa na hili la iran ni swala la mda tu.
 
Last edited by a moderator:
I like this guy NETANYAHU hana woga and he can express himself international also he is committed to protect ISRAEL.

He once said Israel will not allow Iran to have nuke weapon, and if other country wont participate to stop Iran, then Israel will know what to do! And in so doing, Israel will know that It is doing for the safe of many many others, and let it be clear that no confusion on our response.

I think Mr Obama hamfaham vixuri Netanyahu, that he has some outstanding za Republicans who always like wars and wish their country could remain high.

I believe with this Netanyahus speech and pressure to the white house, Iran will soon find itself being bombing if it doesnt comply to curb it nuke weapon programme. If the US wont do, Israel will do.
 
crabat

Ikiliza hotuba ya netanyahu huko UN 2012 na 2014, he has swear that if mataifa ya kikaa kimya dhid ya IRAN then Israel itajua cha kufanya yenyewe.

Just type netanyahu speech on youtube utamjua who is netanyahu and israel in deep.
 
Last edited by a moderator:
MEANDU

Wengi tu yule mama mbunge wa democrats kutoka California anasema Netanyahu ni arrogant...low minded
 
Last edited by a moderator:
Hotuba anayosema Netanyahu imethibitisha kuwa israel hawezi survive bila USA.
 
MEANDU

Kwa wake wajuao wamarekani ni jews hivyo Hivi no vita ndani ya Marekani yenyewe supported na Iran.
 
Last edited by a moderator:
MEANDU

Wewe ndiwe hujui historia ya Israel.Suala la Israel ni zaidi ya siasa. Israel imemdharau Obama na wanajua hana lolote ni mpayukaji tu na ndio maana Netanyahu ameingia nchini kwake bila yeye kuwa na taarifa.

Israel itakisambaratisha kinu cha nyukilia cha Iran wakati wowote, ni suala la muda tu.

Mungu hakika amesema "Amebarikiwa anayeibariki Israel na amelaaniwa anayeilaani Israel" Na kumbuka maneno ya Mungu ni AMINA.
 
Last edited by a moderator:
mwanda-mbo

Wakati huo iraq ilikuwa tayari imk dhoofu sana kutikana na vita yake na Iran.

Pia alipata msaada mkubwa kutoka kwa USA.

Iraq haikuwa na uwezo wowote kulipa kisasi.

Iran inaweza kuipa israel tabu.

Chukuwa mfano Iran iki target kinu cha nergev cha nulear ambacho tayari kina zalisha urenium ya kutosha jee huoni isreal itakuwa hatarini kutokana na mianzi ya nuclear?

Na iran imesema itarusha maroketi elfu 10 dakika tano tu israel ikiharibu mitambo yake na yote yakielekezea kwenye mitambo ya israel ya nuclear.
Huyu Netanyahu ni kichaa kabisa si wa kusikilizwa ni hatari kwa usalama wa israel yenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom