nakumbuka siku ya kwanza kuanza std one pale jangwani pr school swanga siku iliahirishwa kesho yake tukaja anza rasmi, kitendo cha kuahirishwa kwa siku ya ufunguzi wa shule kimeishi kwenye mind yangu kila shule niliyopita nilitamani hiyo kitu irudie. nikiwa std four Songea huko tulikuwa na mtindo wa kuwakatia viuno watoto wa kike darasani hasa wakiinama basi unakimbilia nyuma yake unamkatikia km mambo flani hivi. mbaya zaidi mwl alituchanganya kila dawati mnakaa msichana na mvulana basi mie nakimbiia kukaa mwanzoni mwa desk naacha demu akae upande wa ukuta na nahakikisha nawahi kukaa kabla yake, anapokuja yeye si atapita mbele yangu basi namvuta ananikalia basi namkatikia darasa zima linashangilia huo ulikuwa mtindo wa wavulana wote. kuna demu alikuwa mbaya na mchafu wavulana wote walikuwa hawamkatikii hata iweje, ktk kutafuta kuchekesha darasa, kuna siku nilimnyang'anya eni yake nikaitupa chini mbele ya darasa yeye hakujua nachotaka kufanya alipokwenda kuokota hakujua nipo nyuma yake ile kainama tu nikakamata kiuno style ya mbuzi kagoma kwenda katiiiiiiika mtoto darasa zima linashangilia. cha ajabu hakuna hata siku moja mtoto wa kike alishtaki kwa mwl. nikikumbuka namuomba tu mungu anuisamehe!