Mzee
JF-Expert Member
- Feb 2, 2011
- 13,597
- 5,788
- Thread starter
- #21
<br />Mi namkumbuka mwalimu wangu wa sayansi alikuwa anapenda sifa huyo,basi anaingia darasani anaandika ubaoni,SAYANSI,halafu anasema kwa wale watakaoenda sekondari,somo hili linaitwa SCIENCE,TUNGAMO mtaita MASS,UZITO mtaita WEIGHT n.k,yaani alikuwa anajifanya anajua sana!
<br />
sio kujifanya alikuwa anajua kweli.