Pride Comes Before the Fall: CHADEMA inabidi wajipange upya

Pride Comes Before the Fall: CHADEMA inabidi wajipange upya

Kabla ya uchaguzi wa CDM, baadhi yetu tulisema CCM ilitaka Lissu ashinde kwa sababu ni rahisi zaidi kum handle kuliko Mbowe. Mojawapo ya sababu ya kusema hivi ni campaign za wazi ambazo wafuasi maarufu wa CCM walikuwa wanamfanyia Mbowe. Lengo lao lilikuwa watu wahisi kuwa Mbowe ni kibaraka na hivyo wampigie kura Lissu. Walijua kuwa Lissu ni passionate, ana confidence kubwa juu ya uwezo wake, hawezi kukaa na washauri kwa sababu hapendi kukosolewa na ni mtu mwenye visasi.

Mbowe ni tofauti. Ni pragmatic (anaisoma hali halisi na kucheza nayo vizuri hata kama ni kula matapishi yake), ni ruthless katika kufikia lengo la chama chake, ana ego lakini yuko tayari kuwa nyuma ya pazia, ana base nzuri ya washauri na wafadhili kwa sababu anawasikiliza. Pragmatism ya Mbowe inamuwezesha kufanya kazi na hata wale waliomkosea ili mradi chama chake kielekee kwenye kutimiza lengo lake.

Team Lissu ilipozua mambo ya pesa za Abduli ilikuwa wimbo mzuri kwa CCM. Lissu na Heche waliposhinda ndoto yao ikatimia.

Amandla...
 
Kila chama kikuu cha upinzani kilichopata kuwepo Tanzania kilifanya kosa moja kubwa—kuvipuuza vyama vingine vya upinzani kikidhani kwamba kinaweza kuendesha mapambano yake bila msaada wa vyama vingine vya upinzani. Hii “No Reforms, No Elections” campaign ingefanikiwa very easily kama ingebebwa na vyama vyote vya upinzani. Sidhani kama uchaguzi ungefanyika bila ushiriki wa chama chochote cha upinzani.
Chief ukae ukijua hapo pia kuna vita ya kimaslahi. Kuna vyama vimeona fursa ya kuchukua nafasi ya chadema baada tu ya kuonyesha hawana mpango na uchaguzi mkuu.
 
We jamaa mbona hueleweki? Ulikuwa unamuunga mkono lissu kwenye suala zima la no reform no election. Naona dizain km umeanza kumkataa!
Mimi nilimuunga mkono Lissu? Hebu nionyeshe mahala ambapo nilimuunga mkono…..maana yawezekana ukawa ulinisoma mahali halafu hukunielewa kama ilivyo kwa watu wengi humu.

Yawezekana ulinisoma mahala ukaona nakubaliana na Lisu kwenye jambo flani basi ukadhani namuunga mkono kwa kila kitu kwa 100%.

My philosophy: no one is above criticism and no one is below praise.

If you do good, you’ll get your plaudits. If you eff up, you’ll get your lashes.

It’s not rocket science. It’s very simple.
 
Mimi nilimuunga mkono Lissu? Hebu nionyeshe mahala ambapo nilimuunga mkono…..maana yawezekana ukawa ulinisoma mahali halafu hukunielewa kama ilivyo kwa watu wengi humu.

Yawezekana ulinisoma mahala ukaona nakubaliana na Lisu kwenye jambo flani basi ukadhani namuunga mkono kwa kila kitu kwa 100%.

My philosophy: no one is above criticism and no one is below praise.

If you do good, you’ll get your plaudits. If you eff up, you’ll get your lashes.

It’s not rocket science. It’s very simple.
Je unaunga mkono no reform no election?
 
Mimi nilimuunga mkono Lissu? Hebu nionyeshe mahala ambapo nilimuunga mkono…..maana yawezekana ukawa ulinisoma mahali halafu hukunielewa kama ilivyo kwa watu wengi humu.

Yawezekana ulinisoma mahala ukaona nakubaliana na Lisu kwenye jambo flani basi ukadhani namuunga mkono kwa kila kitu kwa 100%.

My philosophy: no one is above criticism and no one is below praise.

If you do good, you’ll get your plaudits. If you eff up, you’ll get your lashes.

It’s not rocket science. It’s very simple.
Wewe ni muhafidhina tu na huna lolote ,mtu yoyote mwenye akili hawezi kuwa chawa.. wewe ni Mataga pro max
 
Chief ukae ukijua hapo pia kuna vita ya kimaslahi. Kuna vyama vimeona fursa ya kuchukua nafasi ya chadema baada tu ya kuonyesha hawana mpango na uchaguzi mkuu.
Hiyo yote ni kwa sababu ya unilateral decision ya CHADEMA. Suala la uchaguzi sio la chama kimoja. Kama CHADEMA ingewashirikisha hao wapinzani wenzao tangu mwanzo kusingekuwa na hii temptation iliyopo sasa.
 
Hiyo yote ni kwa sababu ya unilateral decision ya CHADEMA. Suala la uchaguzi sio la chama kimoja. Kama CHADEMA ingewashirikisha hao wapinzani wenzao tangu mwanzo kusingekuwa na hii temptation iliyopo sasa.
Chadema walikutana na uongozi wa act na walikutana kwenye closed door sijui waliongea nn. Ila ukae chief kwenye siasa zetu hizi za kiafrika sometimes ni bora kuwa pekee yenu maana usaliti ni kugusa tu.

Maana mnaweza kuwa mnapigania jambo lenye faida kwenu wote ila wenzako wakakusaliti asubuhi tu! Kwa pesa mbuzi.
 
Kabla ya uchaguzi wa CDM, baadhi yetu tulisema CCM ilitaka Lissu ashinde kwa sababu ni rahisi zaidi kum handle kuliko Mbowe. Mojawapo ya sababu ya kusema hivi ni campaign za wazi ambazo wafuasi maarufu wa CCM walikuwa wanamfanyia Mbowe. Lengo lao lilikuwa watu wahisi kuwa Mbowe ni kibaraka na hivyo wampigie kura Lissu. Walijua kuwa Lissu ni passionate, ana confidence kubwa juu ya uwezo wake, hawezi kukaa na washauri kwa sababu hapendi kukosolewa na ni mtu mwenye visasi.

Mbowe ni tofauti. Ni pragmatic (anaisoma hali halisi na kucheza nayo vizuri hata kama ni kula matapishi yake), ni ruthless katika kufikia lengo la chama chake, ana ego lakini yuko tayari kuwa nyuma ya pazia, ana base nzuri ya washauri na wafadhili kwa sababu anawasikiliza. Pragmatism ya Mbowe inamuwezesha kufanya kazi na hata wale waliomkosea ili mradi chama chake kielekee kwenye kutimiza lengo lake.

Team Lissu ilipozua mambo ya pesa za Abduli ilikuwa wimbo mzuri kwa CCM. Lissu na Heche waliposhinda ndoto yao ikatimia.

Amandla...
Binadamu nao wameanza kuwa kama bendera kufuata mwelekeo wa upepo.
Basi ikiwa CCM mlimuunga Mbowe na akashindwa mjue hata kwenye chaguzi huwa mnashindwa pia.Hii ina maana kuwa uchaguzi ukiwa wa haki na huru CCM inaambulia patupu.
Kusema CCM ilimuunga Mbowe ili Lissue ashinde hii pia ni mental illness nyingine
 
Kila chama kikuu cha upinzani kilichopata kuwepo Tanzania kilifanya kosa moja kubwa—kuvipuuza vyama vingine vya upinzani kikidhani kwamba kinaweza kuendesha mapambano yake bila msaada wa vyama vingine vya upinzani. Hii “No Reforms, No Elections” campaign ingefanikiwa very easily kama ingebebwa na vyama vyote vya upinzani. Sidhani kama uchaguzi ungefanyika bila ushiriki wa chama chochote cha upinzani.

Tukitoa ACT Kuna Chama gani kingine ambacho kikp serious na Upinzani? Au unataka kusema CHAUMA, Sijui TADEA, Hizo ni prpject za CCM wenyewe na wapo hapo kupiga ruzuku na kutengeneza mazingira ya vyama vingi
 
Naimani Waliwashirikisha.

Lkn kwa Hesabu za ACT, ikiwa CHADEMA itaanguka na Uchaguzi utafanyika basi wao ndo wanageuka kua Chama kikuu cha Upinzani.

Hii ni zaidi ya Fursa kwao ambayo haijawai kupotea
 
Wanazi wa CHADEMA waliopo hapa JF huwezi uka reason nao.

Wako blinded na ushabiki kupita maelezo.

Mfano yule Salary Slip utaweza ku reason naye jambo gani, kwa mfano?
😂
Wengine tukiongea ukweli tunaonekana sisi n CCM 😂

Kutwa wanaanzisha mada za kujifariji ila mwngn tukianzisha mada ya kuwakosoa wanasema wametuachia uchaguzi sasa kwann tunaendelea kuwafuatilia ila wao n ruksa kuanzisha mada kujifariji 😂 mbaya zaidi unakuta ni mijitu mizima kila muda ni kupandisha uzi mpya ety wataenda kwenye bunge la Ulaya kushtaki 😂
 
Tukitoa ACT Kuna Chama gani kingine ambacho kikp serious na Upinzani? Au unataka kusema CHAUMA, Sijui TADEA, Hizo ni prpject za CCM wenyewe na wapo hapo kupiga ruzuku na kutengeneza mazingira ya vyama vingi
Kwahy vyama vingine kutokuwa serious ni kosa la ccm?
Kwahy leo hii ww ukianzisha chama pia Tuseme n CCM B?

USA kuna vyama vingapi na vyama vinavyounda serikali kila mara ni vyama gani?
Kwahy hvy vyama vingine vilianzishwa ili kusapoti hvy vinavyounda serikali kila mara?
 
The ball is in their court. CCM and ACT-WAZALENDO are already preparing for the elections. ACT-WAZALENDO is already portraying itself as worth flag bearers of the case CDM was fighting about. This will allow some CDM to run on their ticket. If they pull it off, they will became quite formidable because they will have a strong base on the Mainland to complement their cor base in Zanzibar.

Amandla...
ACT Wazalendo kimejipanga vizuri
 
Uchaguzi ulipoisha, wenye nia njema walishauri kuwa priority ilipaswa kuwa kuponya majeraha yaliyotokana na uchaguzi. Chama chenye mpasuko ni vigumu sana kushinda. Na majeraha yalikuwa wazi kwa kila mtu.

Walioshinda hawakuona umuhimu wa kufanya hivyo kwa sababu waliamini kuwa ushindi wao ni ishara kuwa wanachama wana imani nao na sio mwengine. Ikawa ni ama unatuunga mkono au kaa pembeni wakati tunatimiza ahadi yetu kwa wanachama wetu.

Kitu kibaya zaidi wakaruhusu watu kuendelea na siasa za maji taka dhidi ya wale walioamini kuwa ni Team Mbowe. Hii ilikuwa hasa kwenye social media. Wafuasi wao wakaendelea kumzodoa Mbowe na kundi lake.

Kilele cha upotoshaji huo kilitokea Njombe ambako kuna kundi linaloamini kuwa halikutendewa haki na Mbowe na hivyo ni wakati wa kulipa kisasi. Mbaya zaidi huko huko kuna mwanachama stalwart ambae hafichi mapenzi yake kwa Mbowe. Huyu mwanachama amesingiziwa mengi pamoja na kutengwa. Hata pale alipoumizwa akiwa anataka kurudi kwenye kikao alipuuzwa. Jana nimemsikia Heche akidai yale yalikuwa maigizo na kuwa alikuwa na ajenda yake! Kama yalikuwa ni maigizo basi yalikuwa ya ajabu sana maana hakuwahi kusema kuwa CDM ndio kilimjeruhi isipokuwa ni mlinzi ambae alimtaja. Kwa vile Heche na wenzake walikuwa ndani ya kikao wakati tukio lilitokea nje ya kikao, hamna jinsi ambayo wangeona kilichotokea. Wameamini fitna za watu kwa sababu tayari waliisha mhukumu.

Kiburi ( pride) kilizidi kuonekana pale walipokataa kabisa kuwasikiliza G55 na kutaka kuwafanyia mchezo ambao wao wamefanyiwa na Tume ya Uchaguzi. Waliwataka waji commit kwenye kitu ambacho hawana imani nacho bila hata kupewa nafasi ya kutoa duka duka lao!

Amandla...
Kila mtu ni mchambuzi wa siasa.
Ikiwemo wewe hapo.
 
Back
Top Bottom