Press Conference - CHADEMA HQ

Press Conference - CHADEMA HQ

Status
Not open for further replies.
Hapo kwenye muda mkuu ndio palinitatiza si unajua sisi huku Kilindi saa hizi inakaribia kabisa saa 4 asubuhi nikajua nimeshapitwaa...! Ahsanteni kwa taarifa ila msisahau muda huo ukifika mumwambie Yericko awahi kama alivyowahi Mahakamani

Na ASIKIMBIE! Yeriko Siku Ile Hakutujuza Hukumu Alikimbia
 

Attachments

  • 1388909377667.jpg
    1388909377667.jpg
    35.8 KB · Views: 127
Acha wivu wa kike

mkuu.ben saanane hana kazi yoyote mjini hapa.anashinda kwajosefin mushumbusi kumsaidia kumnywesha uji junior. mara moja moja anaenda kijiweni kwa fundi mchundo yeriko nyerere kupiga ripu. ki ufupi ni jobless
 
Mkuu naona kisu kimeingia kunako mfupa..

Yaani mimi nitishike kwa siasa nyepesi?By the way leo namaliza adhabu yangu ya mwaka 1 ya kusimamishwa kugombea cheo chochote.What a Coincidence?
 
Juzi alinichekesha kweli ndio nikajua wasomi wetu wengi hawana tofauti kubwa na yule msomi wa Orijino Komedi "Le Profeseri" wamekaa kitahira tahira wanpelekeshwa tu eti anataja nyuzi joto alipokuwa mahakamani sasa sijui ilikuwa inahusu nini pale?

yeah ! Yule ndiye YERICKO halisi , ilikuwa lazima atujulishe hali ya nyuzi joto , maana ilitegemewa mahakama kutakuwa na umati mkubwa , kwahiyo ilikuwa tahadhari ya vikwapa vya wale MWANDIGA TEAM .
 
Mkuu tz kwa sasa ilipofika inahitaji chama kama CDM . . . . . . . . hata USA na ulaya yote wanakimezea mate wakitamani kiwe cha mataifa yao maana wanajua fika kuwa hata wao wamefika hapo walipo kutokana na think tank kama ya CDM!!
Zitto bye bye!

Heheheeee! Hii ni zaidi ya Ushabiki.
 
Ila mkuu Ben Saanane ni mysterious creature kwa sababu alienda india kufnya masters kalipiwa na serikali (scholorship maalumu hii) amerudi hajulikani anaishi wapi, anafanya nini, ila nasikia anajenga lijumba imefika kwene lenter, anatembelea luxury car, muda wotekashinda facebook, twiira, targid, bbm, watsap, JF, linkeding, hi5 na kwenye blogs. Bora @yericko analima matikiti maji, na ana kampuni ya ujenzi... Huyu ben saanane anawezekana akaw ni kama Ned Lude wa kwenye Luddism movement.
Sometimes huwa siwaelewi blacks wenzangu kabisa! Yaani wewe badala ya kukubali kuwa Ben Saanane ni zaidi ya mashine na mitambo ya NASA wewe unaanza kuponda kwa kutoa data za kusadikika ...Huo mshahara wa elfu thelathini unao msingizia unaweza kununua kifurushi cha kiasi gani? Unafikiri ni kwanini Zitto alikuwa anamatumaini kwa Ben kuliko wale wachumia tumbo wengine? Kwa taarifa yako Ben ni bingwa wa kakati ni si mvivu wa kusoma na kujiendeleza kama akina Shonza wenye kuamini viungo vyao zaidi!... Mpe Ben Heshima yake anayostahili hata kama humpendi! Haya yanayotokea leo ni utaalam na ujuzi wa Ben wa kuweza kuwatoa virus wote kwa utaalam wa hali ya juu... Edo Snowden alichukizwa na mfumo...Ben amechukizwa na CCM inayouza madini yetu yote kwa wageni, amechukizwa na CCM kwa kushindwa kuwapatia maendeleo yanayolingana na utajiri wetu...Tuko wengi tulioandaliwa vizuri chini ya Mwl na sasa CCM mtaipata fresh...
 
Yap! Ninao. Unapatikana kwenye gazeti gani ili nikufuatilie? Nakusikia tu hapa JamiiForums nje ya hapa sijawahi kukusikia popote.

Ni kwa sababu unasoma magazeti ya udaku tu na huna uwezo pengine wa kusoma articles
 
Sasa wewe uzao wa watumwa walioshindikana kuuzwa hata kwa dinar moja unauhalali gani wa kuwanyooshea kidole hao wachagga wenyekujulikana dunia nzima kama Jews wa Africa?
Nimemuuliza uyo ----- anaewaponda wachagga wakati kutaja kabila lake anaona soo...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom