sixgates
JF-Expert Member
- Mar 19, 2011
- 3,979
- 1,667
Sio uongo wewe ni underground ambaye huna kazi (jobless) mbowe na slaa wanakutumia kwa payrol ya 300000 kwa mwezi
Ila mkuu Ben Saanane ni mysterious creature kwa sababu alienda india kufnya masters kalipiwa na serikali (scholorship maalumu hii) amerudi hajulikani anaishi wapi, anafanya nini, ila nasikia anajenga lijumba imefika kwene lenter, anatembelea luxury car, muda wotekashinda facebook, twiira, targid, bbm, watsap, JF, linkeding, hi5 na kwenye blogs. Bora @yericko analima matikiti maji, na ana kampuni ya ujenzi... Huyu ben saanane anawezekana akaw ni kama Ned Lude wa kwenye Luddism movement.
Last edited by a moderator: