Presidential Delivery Unit - Kitengo kipya chini ya Rais - chatengewa Bilioni 29!

Hoja za Mnyika zilikuwa za msingi sana; kitu pekee ambacho hakukisema japo kilikuwa kimeashiriwa katika hoja yake ni duplication of entities. Hoja ziko hivi:

a. Kila mradi una mfumo wake wa Monitoring and Evaluation. Hakuna mradi wowote wa serikali ambao umeanzishwa bila kuwa na mfumo wa kufuatilia au kuwajibika. Wapo watu kuanzia Wizarani ambao wana wajibu wa kufuatilia miradi hii na kuona inakamlika kwa vipindi vyake vyote (phases)

b. Endapo kuna tatizo la utekelezaji basi haja ni kuviwezesha vyombo vilivyopo sasa kufanya kazi zake; hizo bilioni 29 zinaweza kabisa kutumika kuboresha TUme ya Mipango, Takukuru, CAG n.k kuweza kuhakikisha kuwa fedha zinatumika na thamani ya miradi inaendana nafedha zilizotumika.

c. Mnyika na wengine walishindwa kuuliza swali moja la msingi pia - hao watumishi wa hiyo PDU watatoka wapi? Je watakuwa tayari ni watumishi wa umma waliopo sasa au wataletwa kutoka nje? Kama watatoka ndani humu humu nani atawasimamia wao (who will watch the watchers)?
 
Eti "Miradi ambayo haikuwa na chombo cha kusimamia"!!! ndiyo miradi ipi hiyo!?....Miaka minane imekatika hakufuatilia utekelezaji wa mradi wowote, sasa amebakisha miaka miwili kumaliza awamu yake ndiyo anakumbuka kama kuna "ufuatiliaji"!!!! Wizi mwingine huo kama wa EPA ambao ulitokea katika miaka ya mwisho ya awamu ya fisadi Mkapa.

Kumbe muda wote serikali ya CCM inapanga na kutekeleza miradi mbalimbali haikuwa na chombo cha kusimamia miradi hiyo ili kuhakikisha matokeo. Sasa wameamua kuwa ili matokeo ya miradi hiyo yaonekane basi wameamua kuunda chombo kipya ambacho kazi yake itakuwa ni kufuatilia utekelezaji miradi mbalimbali.
AllAfrica
 
Ujinga huu!!

Kuna wafanyakazi kibao wa serikali wanadai malimbukizo, na hadi leo hawajalipwa na serikali haijali mitu. Kuna wastaafu wa iliyokuwa East Africa Community wameandamana we kudai haki zao na mwishowe wameamua kujifia zao....
 
kisha tukija JF kusoma vutu vya maana unakuta ugomvi wa kike btn CHADEMA na CCM

huku watu wanakula pesa kimya kimya

I think JF is also part of the problem. Hakuna substance kabisa kwenye jukwaa hili anymore

brain+wash.jpeg
 
.......c. Mnyika na wengine walishindwa kuuliza swali moja la msingi pia - hao watumishi wa hiyo PDU watatoka wapi? Je watakuwa tayari ni watumishi wa umma waliopo sasa au wataletwa kutoka nje? Kama watatoka ndani humu humu nani atawasimamia wao (who will watch the watchers)?

....arroooo.....nyie vipi wakuu? .........mbona mnataka kutuminyia ulaji.....kwani nyie hamkuona tangazo?.....mbona wengi wenu mlituma CVs sasa mnafikri mtalipwa vipi?.......acheni hizo!.......lol
 
This is daylight theft! Whats the use of flash reports? Vote books? Statement of vote? Appropriation acc? National Audit Office? Pay Master General? Accounting Officers? RAS? DAS? RCs? DCs?

Books say half the story,there is need to conduct physical audit of projects too.
 
huu ni wizi tu hakuna kingine anayepisha tusubiri kama kuna mtu ataona jipya zaidi ya magorofa yasiyo na viwango kujengwa dar na miji mingine mikubwa kwa fedha hizi hizi
 


Serikali jana imekataa katata wazo la John Mnyika la kuhamishia 29 bilioni kwenye miradi ya maji na umeme vijijini badala ya kuanzisha kitengo cha upelembaji na tathimini katika ofisi ya Rais.

Kila mradi unaoanzishwa huwa unainisha Upelembaji na tathimini yake itafanika vipi iweje wanzishe kitengo pembeni cha kufanya kazi ambayo tayari hufanywa?

Napata wasiwasi kuwa serikali imeanza kudunduliza fedha kwajili ya uchaguzi ujao. Mara hela za kuzika viongzi na mara fedha za Kuanzisha kitengo cha Upembaji na Tathimini.

 
With the same kind of attitude hata tuunde chombo gani tunapoteza muda tu. Lets be sincere to ourselves that we are corrupt and not serious
 
hii methali imebeba ujumbe mzito sana, yaani wakati naangalia huu upuuzi unaoitwa bunge nusura litoke maana point za CDM na CMM mmmhhhh ni kilio tu yaani CCM wanataka waifilisi nchi kabisa

Elli ni kweli kabisa maana chikija kihagha chiwea shafu(kikila(chikija) kisigino(CCM)(kihagha) kinaangalia(chiwea) paja(shafu)
hivyo CCM inataka kula lazima iangalie hela zitoke wapi(jinsi ya kuiba)
 
Kwa kuwa hujui na hujui kama hujui, wewe ni mpumbavu, lakini ungekuwa hujui lakini ukajijua kuwa hujui ukatamani ujulishwe ungekuwa Mjinga ambaye ukieimishwa tu utaelewa.
Ninachokiona kwenye pango la ubongo wako na uboho wa mifupa yako ni kumezeshwa uzinduzi wa kanda maalumu kama sera ya chama chako ibada ya Mtandao wako wa Kigaidi.
Nitajie Majukumu mawili ya Tume ya Mipango na Mipaka yake.

Hapa ndio huwa natamani kuwe na kitufe cha dislike, yaaani mkuu ametoa maelezo yaliyoshiba we unakuja na pumba na matusi
 
kisha tukija JF kusoma vutu vya maana unakuta ugomvi wa kike btn CHADEMA na CCM

huku watu wanakula pesa kimya kimya

I think JF is also part of the problem. Hakuna substance kabisa kwenye jukwaa hili anymore

FYI kuna watu wameajiriwa rasmi kuja kuvuruga hapa JF
 
Kumbe muda wote serikali ya CCM inapanga na kutekeleza miradi mbalimbali haikuwa na chombo cha kusimamia miradi hiyo ili kuhakikisha matokeo. Sasa wameamua kuwa ili matokeo ya miradi hiyo yaonekane basi wameamua kuunda chombo kipya ambacho kazi yake itakuwa ni kufuatilia utekelezaji miradi mbalimbali. Sasa najiuliza kama miaka yote hii hawakuwa na vyombo vya kusimamia na kufuatilia miradi hiii walikuwa wanafikiria nini wakati wanaandaa miradi hiyo.

Wenyewe wanaita "Big Results Now"...

Halima Mdee kasema kweli hili ni "chaka la ulaji tu" na kasema yote yanayofanywa na Malaysia siyo lazima na sisi tuige tu kwa 'kucopy na kupaste". Sasa sijui ni wazo la nani hili.

Uchunguzi wangu wa haraka haraka unaonesha kuwa hili ni wazo la wafadhili ambao wanatoa kiasi kikubwa cha fedha; wafadhili wanatoa bilioni 25 na ni vigumu serikali kukataa.

Ilianzia wapi?

Dodoma — TANZANIANS should expect reformed leadership and government in its delivery of development programmes, President Jakaya Kikwete said on Sunday.
The president said this in his closing remarks of a two-day seminar on implementation, monitoring and evaluation framework of National Development Plans and Programmes.
President Kikwete said a team that will evaluate the existing structure will be established and propose an effective delivery unit in the Tanzania context, learning from the Malaysian model.
He has directed all ministries to start setting up and organising their own system of supervision, monitoring and evaluation, as they wait for the national system to be set up by the team.
"The seminar has made a huge difference from the way the government delivers its duties, we have learnt that we need to be focused with clear goals and targets and we already have the Vision 2025.
"We have learnt hat we cannot do everything at the same time," he noted. He said the team will present its report in another government retreat in October, which will kick start the process of adopting and customising the Malaysian Big Fast Results model to suit Tanzanian environment.
"The proposed team will come up with proposals on best way to adopt the Malaysian model so that we can deliver our duties better," he explained. He said 50 years ago, Malaysia was at the same level with Tanzania, but 50 years down the line, Malaysia has made big strides in development.
"The important thing, we have learnt from this is that, we can also make it," he added. President Kikwete expressed gratitude to the Malaysian team that provided the knowledge, noting that they have been generous in sharing the knowledge and experience.
"We have come out of this historic and ground breaking seminar transformed. The public should expect transformed delivery of government responsibilities from now on," he added.
He said the Malaysians took all participants slowly through process of the mechanisms of how to make things happen, analysing issues, and agreeing on how to solve problems, monitoring and evaluation. "It's not rocket science; it's not hard to comprehend. It's simply easy to understand and do. You gave us the ABCs of doing it, I promise we will do it," he stressed.
Reading out the resolutions, the Chief Secretary, Ambassador Ombeni Sefue, said the government commits itself to improve delivery and accountability by emulating the Malaysian model. He said the participants learnt from the experience of Malaysia on framework for implementation monitoring and evaluation of their economic and government transformation programmes to achieve fast results.
He said the way forward a multidisciplinary team drawn from a wide spectrum of stakeholders will be established that will propose and prepare a roadmap for operationalisation of an effective delivery government unit, learning from the Malaysian model.

AllAfrica
Mkuu huyo mheshimiwa Raisi na wapambe wake wa CCM hawana huruma kabisa na wananchi wa Tanzania, gharama za maisha zinazidi kuwa juu, bei za vitu juu, usafiri bei juu, walimu na wafanyikazi wanadai mishahara na marupurupu hakuna!!!
Wao wanabuni mbinu mpya ya kufilisi nchi, (29Billlion) kwani kama kuna tume ya mipango kwa nini uweke kitengo kingine cha kufutilia utekelezaji wa miradi huo si ndio wizi???? Hiyo ni mbinu ya wizi na kufilisi nchi, kutokujali masaibu ya maisha magumu yanayo wapata Watanzania!!
Hawa watu ni janga la taifa letu yatubidi tushikamane ili tuwatoe kwenye hizo nafasi, tuweke serikali yenye uadilifu itakayojali watu wake!!!

 
Back
Top Bottom