Yo Yo
JF-Expert Member
- May 31, 2008
- 11,217
- 1,702
Dr F. Ndugulile ----naunga mkono hoja
Last edited by a moderator:
Kuna fungu la ajabu sana hapa liinaelekea kupitishwa, hili ni fungu la kutumia 29 Billion kwa ajili ya kuanzisha chombo cha ufwatiliaji wa Miradi ya Kitaifa. Chombo hiki kazi kubwa itakuwa ni kufwatilia utekelezaji wa haraka wa miradi ya kitaifa kazi ambayo sasa hiv inafanywa na Tume ya Mipango. Hivi kweli hii hoja ina mashiko na maswahi kwa wananchi??? Hivi kweli sisi shida yetu ni chombo cha kufwatilia miradi???? Hiyo fedha 29 Bilion ingeweza maliza Miradi mingapi ya maana kabisa kwa wananchi???
Kwanini wasijengewe uwezo hao wanaosimamia sasa hvi na wakizembea kwa nini wasiwajibishwe?????Inasikitisha sana. Wananchi hawana maji, hawana madawa, hatuna madawati,walimu wanadai miaka nenda rudi, serikali imepuuza yote haya na inaamua kutenga 29 Bilion kwa matumiz yasiyo ya lazima kabisa. Hili huitaji kufika chuo kikuu ili kuona ni la kipuuzi.
Haya wabunge wa CCM wameshapitisha matumizi ya 29 bilions na hivyo chombo hicho kitaundwa na kutumia ma bilioni hayokwa ajili ya kufwatilia utekelezaji wa Miradi.
Ndugu zangu watanzania, kama hatutajipanga vizur na kuongeza idadi ya wabunge wa upinzani bungeni na kuwatoa CCM madarakani, maendeleo nchin kwetu ni ndoto za alinacha. Shime watanzania tujipange kuingia Bungeni mana kwa kuwaachia Bunge watu wasio na uzalendo ni kujimaliza wenyewe.
wasambaa tuna msemo wetu ''mfena gemo aweeea kigha''
CCM wanaangalia maslahi yao kwanza.
Camoon F**ck u.....
Ni kweli waziri kasema hivo, lakini kila mradi wa serikali uwe wa kijiji, wilaya, mkoa au taifa tangu huko nyuma una wasimamizi na wafuatiliaji wa kutosha wakiwa ni pamoja na Technical auditors wa ndani na nje. Hakuna haja ya kuongeza wasimamizi tena kwa pesa nyingi kama hizi hata kama ni miradi ya Nchi nzima wakati Taifa linazihitaji pesa hizi kwa miradi mingine muhimu zaidi. Kama kuna kasoro kwa wasimamizi waliop sasa zilipaswa kubainishwa na wachukuliwe hatua za kisheria. UMENIELEWA MKUU?sijui kama umeuelewa vema huu mpango make waziri kasema miladi itakayolengwa ni miladi ya kitaifa na tukisema kitaifa inamaana ni nchi nzima sasa wewe unachojadili kipi mkuu au hukuelewa hotuba ya waziri vzuri.
Tatizo lenu huwa hamjiamini kwa hoja zenu toka vichwani mwenu(Independently) mnapenda kumezeshwa hoja, nawashangaa sana, Yaani Mnyika kupinga sio lazima na wewe upinge, waweza kujitegemea kuwaza mambo yenye tija katika nchi acha kuburuzwa kijana, jisimamie,tafuta facts kabla hujapost ushabiki.
Presidential Delivery Unit unajua maana yake? unajua umuhimu wake? kama hujui basi uliza Great Thinkers wakusaidie wewe Great Prepitator ili baadae ujue wapi usimame, unless utaburuzwa hata kwa jambo la hovyo!
na kwa nini hizi habari tupate from ALL AFRICA.COM
Wewe ni great thinker au ni great drinker??Kijana mimi nifwatilia sana mijadala inayoendelea, nimesikia pia alichosema Rais wakati ana copy hilo jambo toka Malaysia na nimemsikia vizuri sana wakati Wassira anajiumauma kuelezea ni nini hasa hiyo Bureau itafanya.Tatizo lenu huwa hamjiamini kwa hoja zenu toka vichwani mwenu(Independently) mnapenda kumezeshwa hoja, nawashangaa sana, Yaani Mnyika kupinga sio lazima na wewe upinge, waweza kujitegemea kuwaza mambo yenye tija katika nchi acha kuburuzwa kijana, jisimamie,tafuta facts kabla hujapost ushabiki.
Presidential Delivery Unit unajua maana yake? unajua umuhimu wake? kama hujui basi uliza Great Thinkers wakusaidie wewe Great Prepitator ili baadae ujue wapi usimame, unless utaburuzwa hata kwa jambo la hovyo!
Wewe ni great thinker au ni great drinker??Kijana mimi nifwatilia sana mijadala inayoendelea, nimesikia pia alichosema Rais wakati ana copy hilo jambo toka Malaysia na nimemsikia vizuri sana wakati Wassira anajiumauma kuelezea ni nini hasa hiyo Bureau itafanya.
Kama ulifwatilia mjadala, kabla Mnyika hajashauri vinginevyo, alitoa wasaa kwa Wassira kuelezea hiyo Bureau itafanya nini.
Naweza nikaielewa tu hoja yako kama wewe ni Mmalaysia, mana Huenda unaufahamu huu mpango from the scratch. Ila kama na wewe ni msoma magazeti hapa nchini na unajifunza toka malaysia huna sifa ya kulitetea hili jambo. Unafahamu sababu zilizowafanya Malaysia kufanikiwa kwa kutumia huo mpango???Kwa taarifa yako tu mafanikio ya Malaysia yametokana na haya mambo: -
- Uongozi shupavu na ulio tayari kwa mabadiliko ya kuipeleka nchi mbele.
- Kuweka mipango ya kimaendeleo kwa kuzingatia vipaumbele vya kitaifa
- Nidhamu katika utendaji na utekelezaji
- Uwajibikaji wa serikali na kuwa tayari kukiri madhaifu yake.
Uonavyo wewe sisi hapo tunaweza lipi???? Au unadhan ukishaanza kuiga huo mpango regardless ya haya mauoza yetu tutafanikiwa tu??? Hizo ni ndoto, every model has its assumptions na miiko yake. Tulitakiwa tujiridhisha kuwa system yetu na ya malaysia zipo sawa ndio tufanye hiyo horizontal shift, wenzetu malaysia walifanya utafiti kuiaccomodate hiyo system kulingana na mazingira ya kwao hawakukurupuka tu tokea kwenye Dinner.
Great Drinker wewe, unachotaka kusema sisi toka tumepata Uhuru miradi yetu ilikuwa haifwatiliwi wala kusimamiwa??? Hicho chombo kitafanya lipi jipya zaid ya usanii??? Kwann basi wasingeanzisha kajikitengo tu ndani ya Tume ya Mipango iliyopo ili kufwatilia hilo kama halifanyiki???? Na tumefikaje hapa kama hayo yalikuwa hayafanyiki??? Tatizo ni kutokutaka kuwajibishana. Wasimamizi wa miradi wanapewa rushwa wanalala mbele.
Msirukierukie mambo na kupinga kila wazo la upinzani, mnatupeleka pabaya. Naimani wewe ni mmoja kati ya magreat drinkers wanaosupport Bilioni moja itengwe kwa ajili ya kuandalia maeneo ya kuzikia viongozi hawa wezi na mafisadi wa kitaifa. Are you really using your brain au mmeshakuwa fifty bricks short of the full load??? Wewe unaweza ukaelezea kunafaida gani ya hilo jina jipya. Kilichokuchanganya wewe ni jina jipya na sio kuwa kuna jipya hapo katika utekelezaji wake. Kama unakumbukumbu nzuri, kwenye sekta ya kilimo tumepitia Abracadabra hizi hizi.
Tulianzaga na kilimo ni uti wa mgongo wa Taifa, Tukaja kilimo cha kufa na kupona, Tukaja mapinduzi ya Kijani, sasa hiv tupo Kilimo kwanza. Je wewe unaona kunatofauti katika output???Acheni mambo ya ajabu, hiyo ni kauli mbiu tu, nchi hii haisogei kwa vile viongozi wetu tuliowaamini ni wezi, hawana dhamira ya dhati ya kututoa hapa na pia hawataki kuwajibika. Mafanikio hayaletwo na aina ya jina la mpango flani.
Anaunga mkono hoja kwa vile yeye ni CCM au kwa vile anaona chombo hicho kinamanufaa kwa wananchi wako wa Kigamboni??? Sisi tunakaa hapa kigamboni tunafukua maji kwa majembe hutadhani hatukatwi kodi. Yeye anakula kipupwe hapo anaitikia tu ndiooooooooooo, hayo ndiyo tuliyomtuma ayatetee??? Kupitisha Bilioni moja kwa ajili ya kutenga eneo la kuzika viongozi wa kitaifa ndio Priority ya Taifa hili???? Shame on you. Hiyo Dr. yake na mambo anayoyafanya inaonekana ni kama Dr. ya Mganga wa jadi, Dr gani cant think independently and stand for the rights of his people.Dr F. Ndugulile ----naunga mkono hoja
Hoja hujibiwa kwa hoja, hoja haijibiwi kwa matusi, mimi wazazi wangu hawakunifundishwa matusi kama ulivyofundishwa wewe na wazaz wako. Wewe unayejifanya unaujua sana huo mpango as if hiyo model uliidevelop wewe ndo utueleze huo mpango unafaida gani kwa hili taifa.Kwa kuwa hujui na hujui kama hujui, wewe ni mpumbavu, lakini ungekuwa hujui lakini ukajijua kuwa hujui ukatamani ujulishwe ungekuwa Mjinga ambaye ukieimishwa tu utaelewa.
Ninachokiona kwenye pango la ubongo wako na uboho wa mifupa yako ni kumezeshwa uzinduzi wa kanda maalumu kama sera ya chama chako ibada ya Mtandao wako wa Kigaidi.
Nitajie Majukumu mawili ya Tume ya Mipango na Mipaka yake.
Nakushauri tembelea Parliament of Tanzania, kisha tafuta jina langu. Hapo utapata michango yangu Bungeni.Anaunga mkono hoja kwa vile yeye ni CCM au kwa vile anaona chombo hicho kinamanufaa kwa wananchi wako wa Kigamboni??? Sisi tunakaa hapa kigamboni tunafukua maji kwa majembe hutadhani hatukatwi kodi. Yeye anakula kipupwe hapo anaitikia tu ndiooooooooooo, hayo ndiyo tuliyomtuma ayatetee??? Kupitisha Bilioni moja kwa ajili ya kutenga eneo la kuzika viongozi wa kitaifa ndio Priority ya Taifa hili???? Shame on you. Hiyo Dr. yake na mambo anayoyafanya inaonekana ni kama Dr. ya Mganga wa jadi, Dr gani cant think independently and stand for the rights of his people.
Dr. kwenye zile ndiooooo yako haipo pale??? Kama haipo ule mpango wa kutenga bilioni moja kwa ajili ya wafu wewe unaona ni akili ya kawaida imetumika hapo??? Uliupinga vipi mpango wa kitoto kabisa ule???Kwa faida ya nani mlipitisha zile fedha??? Yaani mnaacha kupitisha fedha ili wananchi walio hai wafaidike, mnatenga fedha kwa ajili ya kuwanufaisha watu hata tusiowajua maana hatujui ni lini nyie viongoz wetu wa kitaifa mtakufa. Hii akili ya ajabu sana.Nakushauri tembelea Parliament of Tanzania, kisha tafuta jina langu. Hapo utapata michango yangu Bungeni.
Kwa Hoja yoyote ya maendeleo kwenye Jimbo la Kigamboni nakukaribisha muda wowote kuwasiliana nami. Mmenichagua kuwatumikia na nami nitajitahidi kutimiza wajibu huo.