Habari za saa hizi wadau, vipi PPF hawajaanza kuita watu kwenye oral interview?
Mwenye update atujuze basi maana dah!
Mwenye update atujuze basi maana dah!
Habari wakuu, PPF wameanza kuita watu kwa usaili wa awamu ya pili.
Mimi nimetumiwa Email (CONTRIBUTION TRAINEE) kuwa nitokee kwenye usaili huo wa pili (Hawakusema kama ni oral au laa) siku ya Jumamosi tar 27/06/2015 Jengo la Taasisi ya Elimu ya Watu Wazima Mkabala na Maktaba ya Taifa.
Naomba kuwasilisha